Kumbe wewe ni mwanamke.wamang'ati au wahanzabe
Kumbe wewe ni mwanamke.wamang'ati au wahanzabe
Hicho kDuh, Wasukuma sasa hivi mmepanda hadhi, miaka ya hivi karibuni msukuma alikuwa hatumii choo, halafu akija mjini choo cha kukalia, anauliza li nini hili, ntalipiga teke! Magu Heshima yako, hawa jamaa sasa umewapa kiburi.
Duh, Wasukuma sasa hivi mmepanda hadhi, miaka ya hivi karibuni msukuma alikuwa hatumii choo, halafu akija mjini choo cha kukalia, anauliza li nini hili, ntalipiga teke! Magu Heshima yako, hawa jamaa sasa umewapa kiburi.[/QHicho cha kupiga teke kinaingia akilini kweli?
mmh sheedah!ila sidhan kama kuna mahusiano kat ya ndoa na kabila.ntaolewa na mwanaume mwenye mapenz ya dhat na s kabilaNimeona nyuzi nyingi zikijadili wanawake kwa kuangalia makabila yao lakini wanaume tumekuwa tukikwepwa hasa linapokuja swala la mahusino. Nataka nipate "clue" huenda nikachangamkia mwanamke wa kabila fulani iwapo wanawake wataonekana kukubali kabila langu kwenye swala la ndoa na mahusiano.
Wewe mwanamke ni wanaume wa kabila gani unawakubali na ungependa mmoja kutoka kabila hilo akuoe? Na ni mwanaume wa kabila gani, hata kama awe vipi na akuahidi nini huwezi kumkubali? Na sababu ni zipi? Toa sababu moja tu kwa kila jibu.
Hebu kuwa mwaminifu katika majibu yako ili tupate ranking ya ukweli kuhusiana na kukubalika na kutokukubalika wanaume kwa wanawake hapa nchini.
NB: mwanamke wa kumi kutaja kuwa anakubali kabila langu, nitakomaa naye mpaka nimuoe, hata kama yukoje.
Unajarb kujipaisha kwa kuchafua wasukuma, unapoandika hivo maana yako nn haswa?Mie Ngosha waveja sana, na limoyo langu limekudondokea
Kutakuwa na kasoro kwenye hili kabilaSisi wahaya mbona hatutajwi?
Usichukulie kila kinachoandikwa huku siriaz vinginevyo utaishia kutokwa povu buree....hapa sio jeshi useme nimevunja sheria!!!Unajarb kujipaisha kwa kuchafua wasukuma, unapoandika hivo maana yako nn haswa?
Ok, no need to argue broUsichukulie kila kinachoandikwa huku siriaz vinginevyo utaishia kutokwa povu buree....hapa sio jeshi useme nimevunja sheria!!!
Eti kujipaisha!!! ....halafu wapi nimewachafua wasukuma???
Amani mkuu, hapa tunaondoa stress mkuu, tushapigika na mihangaiko mchana basi tunakuja ku-clear mind hapa siku zisongeOk, no need to argue bro
Fasta basi!I will use aeroplane
Ndo nimeanza hivi..Usinifungie milango tuChangamkia fursa mkuu
hiyo fat wallet inaweza kuwa imejaa vitambulisho mbalimbaliSidhani kabila lina matter sana siku hizi. Kabila pendwa kuliko yote ni "Fat wallet" tu mengine vibwagizo. Watu hawaangalii umri wala sura iwe kabila!