Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanishaa...Duh, Wasukuma sasa hivi mmepanda hadhi, miaka ya hivi karibuni msukuma alikuwa hatumii choo, halafu akija mjini choo cha kukalia, anauliza li nini hili, ntalipiga teke! Magu Heshima yako, hawa jamaa sasa umewapa kiburi.
hiyo fat wallet inaweza kuwa imejaa vitambulisho mbalimbali
mko poa Sana,Wanakonde mbona hamtutaji
Mkuu usione gere kutokutajwa, ukabila kwenye kuoa! Kuna makabila hata kama k yako ina almasi sioi! Wewe jifanye wa mjini unaangukia tu mwanamke yeyote.Fresh..ila point ya msingi ni kwamba wewe ni mshamba wa kutoka mikoani..huko..ndo mlivyo ninyi watu wa mikoa kuutwa kuzungumza makabilaaaa...
Naijua ndo nikasema.wewe umetumwa si bure.
my dear ushachagua kabila then unasema mwenye upendo wa kweli?Kwa wasukuma si wote you think so wako hivo ndugu si wa mwanza wala shinyanga ndo hao wa mapanga isije ikawa umewasikia tu labda kama uko kwenye mahusiano na msukuma wa tabia hiyo mshukuru Mungu lakini sivyo hivyo nilishaonja joto ya jiwe kwa ulimhola sikuamini macho yangu na niliyoyasikia.So stick kwa upendo wa kweli mum.Napenda awe msukuma,they are humble and caring na wanajali kwa kiwango chao na nnachotaka aniahidi na kutimiza ni upendo wa kweli na uaminifu na akitimiza hilo ntamkubali Mpaka kifo kinitenganishe nae..Sbabu upendo wa kweli na uaminifu ni vitu adimu sana katika kizazi hiki cha sasa...Sitaki magonjwa mie
kwann ?Nilipenda sana wanaume wa kichagga lakini nimebadili mawazo
hongera mkuuLoooooooh!!! Nimeshampata mchaga mwenzangu!
Jamani mfi..... Wangu nini my first optionUbaguzi huo...
Nini hyo?Ipo...??
Basi njoo kwangu mimi mtoto wa townHapana,watu wa iringa na mbeya ndo washamba
Basi njoo kwangu mimi mtoto wa town
Sina neno, ila maneno yako kiukweli umemaanisha.Napenda awe msukuma,they are humble and caring na wanajali kwa kiwango chao na nnachotaka aniahidi na kutimiza ni upendo wa kweli na uaminifu na akitimiza hilo ntamkubali Mpaka kifo kinitenganishe nae..Sbabu upendo wa kweli na uaminifu ni vitu adimu sana katika kizazi hiki cha sasa...Sitaki magonjwa mie
Hawa wachagga ninaokutana nao wamekuwa watoto wa mjini sana.kwann ?
ok, watoto wa mujini si ndio wazuri hao ?Hawa wachagga ninaokutana nao wamekuwa watoto wa mjini sana.
Acha roho mbaya dada..., tulikukosea nn jmn ?Napenda kanda ya ziwa na kaskazini!
Kusini yote ,ukiondoa wanyakyusa! Siwapendi even kanda ya kati!
Jmn ni mtazamo tusijenge chuki