Hii ni chit chat usimhukumu aliyeta post,kama wewe hupendi kutongoza/kutongozwa usingejipitisha kwenye hii thread.
Dah we mjanja bhana,unajifanya wa kike,kwa hiyo style unaweza kumchukua mke wa mtuniko kama avatar yangu.
Acha kwanza utanipeperushia ndege wangu
kakaribia kabisa kulalia kisu nimchinje
wengine wanajifanya wapo serious na ukombozi wa taifa wakati wanamegewa wake zao.aende kwenye mapresha
siasa na tehama
mie hapa, nilishatungua ubongo
nimeupumzisha kabatini
chit chat tu na MMU kwa mbali
sitaki kuwa shahidi
labda chai ya baridi
Huyo ntoto ulontongoza hapo lazima anatokea Kiembe Samaki huyo ati!.
Habari yangu imefanyaje. . . ?Mstari wangu wa kwanza mara ya kwanza ( 1st enconuter ) huwa unaanza hivi.
Mtazamaji : " Habari yako dada ? "
nasubiri jibu tuendeleeeeeee
nikiwaza ni kama kuna kaukweli flanithere was a comedian who asid that the ebst way kutongoza ni kwenda straight na kuomba sex!!!:embarassed2:
Sikia inno hisia zangu nisha direct kwako so sioni haja ya kunitesa mi,u must knw dat i love u and i can live without u bt i dnt want it to be like dat coz my heart has choosen u...ooh baby u dnt knw wat ur missingpima uwezo wako wako mwaga mistari huwez jua labda utatoka na kimwana ama mkaka wa haja.
Habari yangu imefanyaje. . . ?