Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,506
- 86,055
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Godbless Lema, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hutabiri yatakayojiri
"Wewe Dkt. Pima umeshiriki wizi wa kura kwenye huu uchaguzi mkuu na umemkasirisha Mungu. Unadhani umemuibia Lema lakini hujaniibia mimi. Mwisho wako hautakuwa mzuri na Mungu atanilipa".
Godbless Lema, Novemba 17. 2020
NB: hili andiko sio langu