Acha ushamba wewe. Hongera kwa jema lipi wakati tumeweka historia ya hovyo kuchukulia kombe la kimataifa kizani.!! Jibwaa....!!!!Ila hongera yanga kwa kutwaa ubingwa hongera sana wana yanga woote.
Acha ushamba wewe. Hongera kwa jema lipi wakati tumeweka historia ya hovyo kuchukulia kombe la kimataifa kizani.!! Jibwaa....!!!!Ila hongera yanga kwa kutwaa ubingwa hongera sana wana yanga woote.
spika wa bungeIvi mgeni rasmi alikuwa nani?
shikamoo tanesco
WanaJf wenzangu ni wazi kwamba kilichotokea leo uwanja wa taifa ni aibu kubwa na fedheha kwa nchi yetu!! Kitendo cha Tanesco kukata umeme kwenye tukio kubwa kama la leo tena linaloshuhudiwa na ulimwengu mzima kupitia DSTV tena fainali ya kombe la kagame inadhihirisha wazi kua Tanesco wamedhamiria kuiabisha serikali na viongozi wetu na katika tukio la leo nazidi kuwapa hongera ksbb wao wanaonekana kuishinda serikali!!! sasa tuone hatua zitachukuliwaje na nani atawajibishwaa hapa!?
Kazi kwa Ngeleja aibu yako hii na ndugu yako January makamba