Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,830
Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) limetangaza kuwa Wananchi wa maeneo yote ya Unguja wamekosa huduma ya umeme leo Ijumaa ya December 8, 2023 kuanzia saa 4:15 asubuhi hadi sasa ambapo ZECO imesema tatizo hilo limesababishwa na hitilafu iliyotokea Tanzania Bara ambapo Wataalamu wa Shirika la Umeme (TANESCO) wanafuatilia tatizo hilo.
ZECO imesema maeneo yote ya Unguja kwa sasa yanakosa huduma ya umeme na imeomba radhi kwa usumbufu unaoendelea kujitokeza.
ZECO imesema maeneo yote ya Unguja kwa sasa yanakosa huduma ya umeme na imeomba radhi kwa usumbufu unaoendelea kujitokeza.