SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,923
- 2,003
Mnashindwaje kuyachukulia uzito matukio makubwa mawili kama haya?
Rais wetu Ndugu mueshimiwa mwinyi ametumia kukarabati uwanja wa Amani kwa usd kadhaa na tukio kubwa la Tanzania liko zenji mmetukatia sisi wa mikoani umeme tusokuwa na majereta tusione, mnauangusha uchumi wa blue ndugu zangu aijarishi nyie ni wahandis, Simba au Yanga.
La pili National team iko huko sisi wa Northern tunahitaji kuona pilika pilika Ufunguzi rudisheni umeme hata ule tunaodaiwa hata na walotukupesha bado wanatudai madeni waambieni hata leo wawashe mitambo wasichukue hela za bure tu.
Mwisho kupata wanamichezo wa Taifa hili wajalo ni watoto wasokuwa na majenereta wala TV za Sola turudishieni Umeme Taifa letu lina Mwako wa michezo leo tuna Big game 2 jamani
NDANI NA NJE
Rais wetu Ndugu mueshimiwa mwinyi ametumia kukarabati uwanja wa Amani kwa usd kadhaa na tukio kubwa la Tanzania liko zenji mmetukatia sisi wa mikoani umeme tusokuwa na majereta tusione, mnauangusha uchumi wa blue ndugu zangu aijarishi nyie ni wahandis, Simba au Yanga.
La pili National team iko huko sisi wa Northern tunahitaji kuona pilika pilika Ufunguzi rudisheni umeme hata ule tunaodaiwa hata na walotukupesha bado wanatudai madeni waambieni hata leo wawashe mitambo wasichukue hela za bure tu.
Mwisho kupata wanamichezo wa Taifa hili wajalo ni watoto wasokuwa na majenereta wala TV za Sola turudishieni Umeme Taifa letu lina Mwako wa michezo leo tuna Big game 2 jamani
NDANI NA NJE