UMEME WAKATIKA UWANJA WA TAIFA!!!Ngeleja jiuzulu

Status
Not open for further replies.
Ahsantum . Nimekuja Zanzibar toke ijumaa tano taarih 6 Jly kuhudhuria harusi ya Member mwenzetu humu JF Engineer Hosam M Hafif huko unguja ambapo ilifanyika ijumaa na leo ijumaa pili ndio nimekuja dar kuangalia hii fainali na kesho inshallah nakwenda Mwanza kwa siku mbili na ijumaa tano naondoka kurudi Doha.

hakika mpira ulikuwa mzuri sana ingawa timu zote zilikesha kubutua kubutua lakin ndio hivyo tena mshindi kapatikana japo umeme ulizimwa wakti akimchukua mwali wake.

Ni aibu lakini hongera watani wetu Young.


mnmn.jpg n601114221lkk.jpg YANGA11.jpg
 
Uongozi wa uwanja wa Taifa ni mbovu kabisa, generator zipo, zilikuwa hazina mafuta! can you believe it?

Aaah hata wewe!? Tumlaumu ambaye hakuweka mafuta au aliyetuahidi mwaka 2006 kwamba tatizo la umeme litakuwa historia? That is what u get when there is leadership vacuum!
 
Yap.....Ilitokea wakati wa AFCON ya 2000 ama 2002 kama sikosei.....

Umeme ulikatika na mpira uliendelea baada ya dakika 20....

Hata wakati wa mashindano ya Klabu bingwa Africa ishawahi tokea hii....Lakini umeme ulirudi baada ya muda na mpira kuendelea

NI KWeli ila Tusipende kujifananisha vibaya na wenzetu lazima yetu tuweke sawa Usalama uwanjani muhimu hasa siku ya upinzani kama huu heri ni Yanga ndio ilishinda ingeshinda Simba hizo fujo za sababu za Yanga kusingekalika.
 
Ila tusije kusikia sababu zengine kesho kwa oooohh watu wameiba pesa za kiingilio wakati ticket zinauziwa nje.
 
Hii ni inabidi iandikwe kwenye vitabu vya kumbukumbu ili siku moja waje wakumbushie kuwa JE WAJUA NCHI ILIYOONGOZA KWA UMEME WAKE KUKATIKA WAKATI MPIRA UNACHEZWA NA ZIADI YA MASHABIKI 60000 WAKIANGALIA????
 
Hapana mkuu....Viwanja vya wenzetu huwa vinakuwa na standby generators ambazo huwaka mara umeme unapokatika.....ikata matangazo TFF,CECAFA na uongozi wa uwanja walipaswa kuweka tahadhari ya umeme kabla ya mchezo badala ya kutegemea zaidi umeme wa TANESCO.....Ni aibu kusikia kwamba generator za uwanjani hazikuwa na mafuta......Hii ni aibu.....Thank God Super Sport walikata matangazo mara baada ya mpira kiusha na kuanza kuonesha Ligi kuu ya Kenya...
Ni kweli kabisa wawajibike TFF au hao CECAFA, ratiba ya mgao inajulikana...you know u have a big game! And u don't care for things like generators wakati hata kama hamko kwenye ratiba ya mgao nchi unajua iko katika mgaowatu makini lazima wawe na plan B!
 
Niliposoma "heading" ya thread hii nilifikiria pongezi ni kwa kuleta umeme maana hiyo ndio kazi ya tanesco kumbe ni pongezi kwa "kufumua" uvundo wa hali halisi. Maeneo yetu nawapa pongezi kwa tanesco kurudisha umeme kabla tu ya pambano hili linalovuta hamasa miongoni mwetu(wapenda soka wa Tanzania) kuanza. Asanteni kwa hilo. Du nilipokua naandika tu umeme umekatika saa moja na dakika hamsini na sita. Naona wamejua mpira umekwisha....du naondoa pongezi iwe tu nimesimulia kilichojiri
 
Uko wapi usalama wa mashabiki 60,000? Labda usalama wa taifa wanajua!
 
Hii ni inabidi iandikwe kwenye vitabu vya kumbukumbu ili siku moja waje wakumbushie kuwa JE WAJUA NCHI ILIYOONGOZA KWA UMEME WAKE KUKATIKA WAKATI MPIRA UNACHEZWA NA ZIADI YA MASHABIKI 60000 WAKIANGALIA????

wakubwa wakati napost hii post mda huu tena Tanesco wamekata umeme hapa Mwanza mda huu huu saa 7:56 duuu hii ndo nchi inayokua kimaendeleo kweli duuuuuu!!!!
 
Nimesikitika sana. Mpaka ss9 wamekata matangazo
Ni aibu. Supersports 9 ilikuwa ikiangaliwa na mamilioni ya watu Afrika na Dunia ki ujumla. It was a very good tourism advertising strategy!. Baada ya tukio hilo la aibu ss9 waliamua kuweka mechi kati ya Mathare utd na City utd kwa kutuona wa tz wajinga na tunashindwa kujipanga kutumia opportunity kama hizi. Tusubiri tuwe tunalalamika tu kwamba wakenya wanautangaza mlima Kilimanjaro wakwao na babu wa kikombe Samunge wa kwao! Shame on us!
 
Nchi hii bila kupigana hatutapata akili
Ndugu yangu nimeangalia kwa haraka nchi zote zilizopigana vita zinaendeshwa kwa misingi, viongozi wao wanafata
na kuheshimu katiba, sio ka taarab arab kama tanzania, Rais wa nchi mcheza taarab,makamu hihivyo, mawaziri ndio kabisaa, wabunge
wa chama tawala wao wapiga gita ya taarab, sasa mjomba tikitaka kumuokoa mama yetu tanzania lazima damu imwagike tu
 
mnapoteza muda wenu bure kutaka waziri ajiuzuru.Tanzania hatuna utamaduni huo kabisa.
tena si ajabu baadhi yenu mkakutana na ngeleja maeneo ya starehe akipata burudani as if nothing happened.
 
Huo uliokatika saa moja dk 56 umekatika mpaka kinondoni huku,
Wasen&e sana hawa jamaa
 
Kesho utawasikia: kunachama cha siasa kinachochea umeme kukatika! Na inawezekana Wasira ndo ataongea!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom