Kazi kwa ngeleja aibu yako hii na ndugu yako Janualy makamba
Aibu kubwa sana hapa uwanjani. Nimeshaibiwa camera yangu,
Hakika hii ni aibu kubwa kwa TFF na Taifa kijumla
Tungemla nyama mbichimbichi, lol!Dah yan nlikuwa nataman mk*ere angekuwepo. Cjui tiss wangefanyaje.
Grid ya taifa ina faida gani? nmasikia ni nchi chache sana duniani, hazifiki hata tano ambazo zina gridi ya taifa, ikiwemo India. Nadhani gridi ya taifa ndiyo inaleta matatizo kwani lazima ijae umeme kiwango kinachotakiwa ili iwashe mikoa yote iliyounganishwa nayo.
Iwapo tungeachana na gridi na serikali ikakoncentrate kila sehemu ya nchi kuwa na vianzo vyake vya nishati, nadhani mambo yasingekuwa hivi. Gridi ya taifa imeibwetesha serikali katika azma hiyo.
Dah pole sanaa kiopngoziAibu kubwa sana hapa uwanjani. Nimeshaibiwa camera yangu,Hakika hii ni aibu kubwa kwa TFF na Taifa kijumla
Aibu kubwa sana hapa uwanjani. Nimeshaibiwa camera yangu,
Hakika hii ni aibu kubwa kwa TFF na Taifa kijumla
"Msipoinunua mitambo ya Dowans, tusilaumiane nchi nzima ikiingia gizani"upi huo?
Umeme umekatka uwanja wa taifa, kombe bado halitatolewa
Umeme umekatka uwanja wa taifa, kombe bado halitatolewa