UMEME WAKATIKA UWANJA WA TAIFA!!!Ngeleja jiuzulu

Status
Not open for further replies.
Wana Jf sijawahi sikia umeme kukatika uwanja wa mpira usiku!!JEE hakuna generator standby?mamilions ya pesa wanapata kila siku wanapeleka wapi?hiii ni aibu kwa CCM na serikali yake!!!Aibu kubwa sana!!!!Waafrika tunatia aibu isyoeelezeka.Au mpaka wachina watuletee umeme?
 
Wadau taifa ni aibu tupu, umeme umekata na mwanga unaotumika ni wa gari la kubebea wagonjwa. Loooh!
 
Sio kusikia ndio umeona sasa........mwenyeeeewe,rais kasema msimlaum ngeleja wewe unasema ajiuzuru??????nani atamwajibsha??????
 
Katika kinachoshindwa tafsiriwa katika uwanja wa taifa giza limetanda na kufanya iwe ki2ko cha mwaka.
 
Jamani inamaana kumbe mpka u/taifa umeme nako umekatika? Mi nilidhani huku kwetu uswazi wamekata dk hii tu!
 
Mod unganisheni thread hii na nyingine, naona zimeanza nyingi. Naomba muitoe hii.
 
Halafu hakuna atakaewajibishwa ktk hili. Wanatumia taa za gari hii kali ni hatari kwa usalama pia
 
Inasikitisha , inatia kichefuchefu, siku kuu ya fainali ya kagame leo uwanja wa taifa umeme unakatika! africa na ulimwengu ukishuhudia matangazo ya supersport. na bado sera ya ccm ni kuendeleza michezo, kweli ccm ipo makini?na wewe waziri ngeleja ulishindwa hata kufunika aibu ya mwenzako waziri wa michezo bwana nchimbi akiwa kama mgeni rasmi hata kombe alikuwa hajakabidhi alafu umeme unakatika , hee! ungefanya kama mnavyolindana huko bungeni kuua hoja za wapinzani!!!
Jamani, kweli nyinyi ni wezi!!! wana JF mimi imeniuma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom