Umeme wakatika tena sehemu kubwa ya nchi?

Masikini Tanzania, nchi nyingine umeme ni mwingi mpaka umekuwa mapambo! Kwenye bustani, barabarani, siku hizi nyumbani kwangu tunaamka saa 9 usiku kupika chakula, kunyoosha nguo kuwandaa watoto kwenda shule ni mateso makubwa
 
Nachojuliza kwa kila saa moja la mgao je tanesco inapata faida au hasara kiasi gani.

Watanzania tusishangae Tanesco kama Tanesco kihasibu wanapata faida kutokana na mgao.Yaaani its profitable and cost effective kuliendesha shrika kwa mgao.

Tatizo ni nani wamgawie huo mgao ili shirika lipate faida.
 
hv kwann ngereja hajihuzuru!
Kwa nini ajiuzuru ? Sema kwa nini vilaza wa kitanzania wanagandisha maubongo yao tu? wanaojiita wasomi lakini hawawezi kutatua hata tatizo moja linalohitaji kutumia AKILI. Au tuende tukaague kwa babu wa loriondo kuhusu power crisis ?!
 
Kwa nini ajiuzuru ? Sema kwa nini vilaza wa kitanzania wanagandisha maubongo yao tu? wanaojiita wasomi lakini hawawezi kutatua hata tatizo moja linalohitaji kutumia AKILI. Au tuende tukaague kwa babu wa loriondo kuhusu power crisis ?!

Wasomi wenyewe ndo hao wamekimbilia SIHASA. Taja kunazia "wahandisi, madaktari, sijui wahasibu.....". Kunanani huko Siasani?
 
inabidi waziri aunde tume kwa ajili ya kuchunguza tatizo la kukatikatika kama walivyofanya uwanja wa taifa.
 
inabidi waziri aunde tume kwa ajili ya kuchunguza tatizo la kukatikatika kama walivyofanya uwanja wa taifa.

Tumeshaahidiwa mara kibao kuwa mgawo wa umeme utakuwa historia Tanzania. Tusilalamike jamaa wanatimiza kauli yao. Na kweli mgawo wa umeme ni historia kubwa hapa nchini.
 
Siwapendi watanzania kwa woga na umbumbumbu wao.
Siwapendi wasomi kwa unafiki wao.
Siipendi tanzania kwa umasikin wakn.
Simpendi jk kwa uongo wake.
Simpendi ngeleja kwa uzembe wake.
Lakn, zaidi, siwapendi watanzania masikini wana ccm(wapumbavu kabisa)
 
Tumeshaahidiwa mara kibao kuwa mgawo wa umeme utakuwa historia Tanzania. Tusilalamike jamaa wanatimiza kauli yao. Na kweli mgawo wa umeme ni historia kubwa hapa nchini.
Ahaa! kweli Mkeshaji umenifumbua macho na masikio. Nilidhani tatizo lingemalizika, kumbe tatizo litakuwa la kihistoria kwa jinsi litakavyokuwa sustainable, mwee!?
 
we avator yako vipi? au mm macho yangu yashaanza kuzeeka?


Macho yako wala hayajaanza kuzeeka, ulichoona ndicho. Tatizo ni huyo Abigree alitengeneza / kuchagua avitar ya kizushi. Abigree, ushindwe na ulegeeeee!!!!

Tukirudi kwenye mada kuu, mimi nyumbani umeme unapatikana kwa massa matatu tu wakati wowote kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi. Sijui wana maana gani hawa Tanesco, yaani tusubiri kupika hadi saa sita usiku, na kunywa maji yaliyopoa hadi saa tisa usiku na tuangalie TV usiku wa manane tu ambapo hata kufuatilia shughuli za bunge kushuhudiwa Ngeleja anavyoshughulikiwa tusione!!! Hivi huyo Ngeleja naye anathirika na mgao, anaishi wapi? Nina hasira na huu mgao, wee acha tu!!!!
 
Macho yako wala hayajaanza kuzeeka, ulichoona ndicho. Tatizo ni huyo Abigree alitengeneza / kuchagua avitar ya kizushi. Abigree, ushindwe na ulegeeeee!!!!

Tukirudi kwenye mada kuu, mimi nyumbani umeme unapatikana kwa massa matatu tu wakati wowote kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi. Sijui wana maana gani hawa Tanesco, yaani tusubiri kupika hadi saa sita usiku, na kunywa maji yaliyopoa hadi saa tisa usiku na tuangalie TV usiku wa manane tu ambapo hata kufuatilia shughuli za bunge kushuhudiwa Ngeleja anavyoshughulikiwa tusione!!! Hivi huyo Ngeleja naye anathirika na mgao, anaishi wapi? Nina hasira na huu mgao, wee acha tu!!!!

Pole sana mama mdogo.
Macho tunayo lakini hatuoni. Tunaambiwa serikali isilaumiwe kwani siyo iliyoleta ukame!
 
Kaka tulia usiyumbe na msimamo wako,CCM oyeee! Haya ndio mafanikio ya serikali ya CCM.
Ishu hapa siyo CCM! Tatizo ni utendaji mbovu wa mgt ya Tanesco! Hamna Mkurugenzi yeyote wa Tanesco anayeripot CCM! Wote wako chini ya Bodi!Tutenganishe haya mambo!
 
Ishu hapa siyo CCM! Tatizo ni utendaji mbovu wa mgt ya Tanesco! Hamna Mkurugenzi yeyote wa Tanesco anayeripot CCM! Wote wako chini ya Bodi!Tutenganishe haya mambo!

Mkuu serikali ina influence kubwa sana kwa tanesco. jiulize mkataba wa richmnod kwa mfano nani alisaini? Kila mradi wa tanesco ni lazima upate baraka ya wizara nishati....kwa hiyo bodi ipo hapo kama pazia tu. Maamuzi ya mwisho yanafanywa na viongozi wa kisiasa.
 
Ishu hapa siyo CCM! Tatizo ni utendaji mbovu wa mgt ya Tanesco! Hamna Mkurugenzi yeyote wa Tanesco anayeripot CCM! Wote wako chini ya Bodi!Tutenganishe haya mambo!
kama tatizo ni menejimenti na bodi ya Tanesco,je serikali inayoongozwa na CCM iliyoteua hiyo bodi legelege imechukuwa hatua gani?Ni nani aliyekwisha wajibishwa kwa ' uzembe' huo unaolitia hasara Taifa?
 
Back
Top Bottom