Vp umeme bado upo huko?Mbona umeme uko hapa Arusha kaka .Au una maana gani kusema Nchi nzima ?
cheki sasa mambo gan haya wakuu huku kunao hukku hakuna kieleweke basi kimoja ili kijulikane kifuatachoMbona umeme uko hapa Arusha kaka .Au una maana gani kusema Nchi nzima ?
Wa grid??Hapa Ikulu Magogoni pia kuna umeme.
arusha sehemu gani?Mbona umeme uko hapa Arusha kaka .Au una maana gani kusema Nchi nzima ?
Nimewasiliana na diwani mmoja wa ccm Arusha amesema muda huu kwao hakuna umeme acha unafikiMbona umeme uko hapa Arusha kaka .Au una maana gani kusema Nchi nzima ?
Arusha yote umeme upo!arusha sehemu gani?