Tanesco wamesema kuwa umeme unaozalishwa mtera utakuwa unatolewa kidogokidogo ili angalau utusukume hadi msimu ujao wa mvua za masika.Kinachozalishwa sasa ni MW30 tu....SOURCE TBC taifa.
I love TANESCO but i hate ccm.Washenzi jana wameturudishia umeme saa saba usiku, wakaukata saa sita mchana. Yaani wiki nzima sijarudi nyumbani toka work nikakuta umeme hadi naanza kujiuliza kama umeme wa Tanesco ndo tuufanye uwe back up alaf jenereta ndo liwe linatuzalishia umeme wa matumizi ya kawaida.I HATE TANESCO.
Una uhakika na hilo kuwa once umeme ukiwa generated hauwezi kuhifadhiwa?Ebu rejea tena madaftari yako mkuu.Watakuwa wanaingiza kwenye grid kidogo kidogo!Hapo kwenye red:Mkuu umeme siyo sukari kusema ukishaizalisha unaiweka godown. Ni bidhaa ambayo unapoizalisha ni lazima uitumie papo hapo.
Una uhakika na hilo kuwa once umeme ukiwa generated hauwezi kuhifadhiwa?Ebu rejea tena madaftari yako mkuu.Watakuwa wanaingiza kwenye grid kidogo kidogo!
Inawezekana unaishi maeneo walikowekeza sana watu wa magamba!hata mimi nilitaka kuuliza asante kwa kunisaidia, niko bar moshi natoa loku one for the road on the way to AR na umeme upo ivi tanzania ziko ngapi...?
@Nyamizi,Inakuwaje Mke umtafute wewe umpende wewe Ufungenae Ndoa wewe,Kisha Umpe Mwenzako Aishinae na Atoe huduma utakazo wewe?HIYO NDIO SELIKALI NA TANESCO ZINAVYO ISHI.Ishu hapa siyo CCM! Tatizo ni utendaji mbovu wa mgt ya Tanesco! Hamna Mkurugenzi yeyote wa Tanesco anayeripot CCM! Wote wako chini ya Bodi!Tutenganishe haya mambo!
@Nyamizi,Inakuwaje Mke umtafute wewe umpende wewe Ufungenae Ndoa wewe,Kisha Umpe Mwenzako Aishinae na Atoe huduma utakazo wewe?HIYO NDIO SELIKALI NA TANESCO ZINAVYO ISHI.