Umeme wakatika tena sehemu kubwa ya nchi?

Ww acha uwongo mtwara umeme haujakatka wiki sasa, na huo mgao ni kwamba upo mwenye hayo ma'jiji, Mtwara wanatumia kitu cha gesi
 
Umeme shida,then maji hakuna coz pampu zinatumia umeme kitu ambacho kinasababisha foleni kwenye mabomba na visima.je haya ndo maisha bora kwa kila mtz?
 
Inasemekana chanzo cha kukatika huko kwa gridi ni "Overvoltage".
Kwa maana hiyo jihadharini na vifaa vyenu vinavyotumia umeme. Kuungua nje nje!
 
siyo kweli niko mtwara na hakuna mgawo ?huku kwani huku ni
kampuni ya power light na siyo tanesco huku na lindi mgawo
hakuna ni gessi tu na cha ajabu naambiwa kuna vinu 7 vya
gesi ya atmas ipo vipo tu avitumike umeme unaotumika hapa
ni robo tu ya kinu kimoja kama vyote saba vikitumika umeme unaweza
kutosha kenya ,uganda ,rwanda,burundi tanzania na bado ukabaki
nikauliza sasa tatizo nini nikaambiwa wakumbwa hawataki kwani wana
maslahi makubwa kwenye iptl ,na dowans hivyo kuruhusu ni kuuwa dilii
yao kidumu cha chamapinduzi

 
Ni kwel hata hapa mkoani kote wamekata umeme kwel mwaka huu nitapata hasara.
 
Poleni jamani niko China nilitania but wakati nasema na Arusha umeme ulikatika nikapoteza mawasiliano ndiyo nikapewa sms kwamba umeme hakuna .I am sorry for my bad joke .
 
Poleni jamani niko China nilitania but wakati nasema na Arusha umeme ulikatika nikapoteza mawasiliano ndiyo nikapewa sms kwamba umeme hakuna .I am sorry for my bad joke .

Then you are in a wrong forum.
Jukwaa kwa ajili ya mambo hayo lipo. Ulipaswa kuyafanya hayo huko.
 
Nimewasilia na mtu muda mfupi kutoka dodoma amasema umeme upo so inawezekana ni sehemu kubwa ya tz na siyo yote.magamba yatoke jamani yanakera.
 
Poleni jamani niko China nilitania but wakati nasema na Arusha umeme ulikatika nikapoteza mawasiliano ndiyo nikapewa sms kwamba umeme hakuna .I am sorry for my bad joke .
hiyo china ni kilabu cha pombe za kienyeji nini?
 
Nimewasilia na mtu muda mfupi kutoka dodoma amasema umeme upo so inawezekana ni sehemu kubwa ya tz na siyo yote.magamba yatoke jamani yanakera.

Ilikuwa ni nchi nzima (gridi). Huyo wa dodoma atakuwa ameona umeme wa diesel generator.
Inasemekana Tanesco wanajitahidi kurudisha lakini umeme unaokuja ni mkubwa kuliko vipimo vinavyotakiwa (overvoltage). Huu ni hatari, unaweza kuunguza hadi nyumba.
 
Ilikuwa ni nchi nzima (gridi). Huyo wa dodoma atakuwa ameona umeme wa diesel generator.
Inasemekana Tanesco wanajitahidi kurudisha lakini umeme unaokuja ni mkubwa kuliko vipimo vinavyotakiwa (overvoltage). Huu ni hatari, unaweza kuunguza hadi nyumba.

Kumbe tuna umeme wa kutosha.
 
siyo kweli niko mtwara na hakuna mgawo ?huku kwani huku ni
kampuni ya power light na siyo tanesco huku na lindi mgawo
hakuna ni gessi tu na cha ajabu naambiwa kuna vinu 7 vya
gesi ya atmas ipo vipo tu avitumike umeme unaotumika hapa
ni robo tu ya kinu kimoja kama vyote saba vikitumika umeme unaweza
kutosha kenya ,uganda ,rwanda,burundi tanzania na bado ukabaki
nikauliza sasa tatizo nini nikaambiwa wakumbwa hawataki kwani wana
maslahi makubwa kwenye iptl ,na dowans hivyo kuruhusu ni kuuwa dilii
yao kidumu cha chamapinduzi


Duuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Back
Top Bottom