Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,815
- 4,565
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa changamoto ya Umeme ipo mwishoni kwani kuanzia Februari 22, mgao haujatokea kwa mkoa wa Dar es Salaam kwani Serikali ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha mradi wa Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere.
PIA SOMA
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
PIA SOMA
- Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa