G_crisis
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 723
- 244
Sijui nitakutana nae wapi mie
tukutane kwenye PM
Sijui nitakutana nae wapi mie
thaya saa ngapitukutane kwenye pm
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
<br />hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
siku hizi nimepunguza mkuu, si unajua na utoto ulikuwa unanisumbua? na kitisho cha ukimwi nacho ndio hivyo tena imebidi tu tushike adabu, hatuna jinsi!
<br />nilikutana nae home kwetu my mom used to be her friend so we used to play together while our moms were making stories. One day in when i was in std 6 her mom was travelling and she asked my mom to look over her girl (my current wife) so mama akasema leo ..... atakuja kukaa for a week, hehehhee my heart jumped we did nothing than play cards and stories but something kept growing. Another clicking instance was those days when getting a dawati la kukaa primary school was an issue, so every morning i used to make sure i look for her a dawati to sit (nilikuwa 4 classes mbele yake) I dont know how love grew but i felt some responsibity to take care of her tangu enzi hizoooo. So to cut the story short, mama ake alikuwa tooo relogious so she went to seminary schools till F.6 but i kept waiting, when she joined UDSM nikamtamkia waaaaazi and we started dating officialyy, i married her when she was in 3rd year kuogopa kunyakuliwa and guess what she was still pure and genuineeee. I believe some couples are made in heaven, when i look at our photos when we were young it just makes me love her more. we are happily married with twins (boy +girl) And our moms are still the best of friends.
<br />Mmh,jaman,stor za wengn nzur,mimi bdo nasubiri km bebii tu
<br />hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....
Iliniuma saana.........
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine