Ulikutana wapi na mwandani wako?

hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....

Iliniuma saana.........
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
 
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine

pole sana funga na kuomba utapewa mwingine
 
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
<br />
<br />
Huyo alikua anakutumia tu,wala hakukupenda,upendo hauko hivyo!
 
Mrudie mama watoto wako wewe mumlee mtoto wenu vizuri!!!! You will one day remember my words.....hiyo siku utakayooa mke mwingine na pindi atakapotambua una mtoto( hata kama utamwambia kabla coz wadada wengi hubadilika ghafla waingiapo ndani ya ndoa), you will have very harzadous time!!!
siku hizi nimepunguza mkuu, si unajua na utoto ulikuwa unanisumbua? na kitisho cha ukimwi nacho ndio hivyo tena imebidi tu tushike adabu, hatuna jinsi!
 
dada pole sana na yalokukuta. That was soooo rude for him to do that. Mungu atakusaidia upate mwingine
 
nilikutana nae home kwetu my mom used to be her friend so we used to play together while our moms were making stories. One day in when i was in std 6 her mom was travelling and she asked my mom to look over her girl (my current wife) so mama akasema leo ..... atakuja kukaa for a week, hehehhee my heart jumped we did nothing than play cards and stories but something kept growing. Another clicking instance was those days when getting a dawati la kukaa primary school was an issue, so every morning i used to make sure i look for her a dawati to sit (nilikuwa 4 classes mbele yake) I dont know how love grew but i felt some responsibity to take care of her tangu enzi hizoooo. So to cut the story short, mama ake alikuwa tooo relogious so she went to seminary schools till F.6 but i kept waiting, when she joined UDSM nikamtamkia waaaaazi and we started dating officialyy, i married her when she was in 3rd year kuogopa kunyakuliwa and guess what she was still pure and genuineeee. I believe some couples are made in heaven, when i look at our photos when we were young it just makes me love her more. we are happily married with twins (boy +girl) And our moms are still the best of friends.
<br />
<br />
stor nzur mpk naona wivu
 
Yeye alikuwa hall 1 Siku moja alikuja hall 7 kumtembelea shangazi yake aliyekuwa room mate wangu.Kuanzia hapo akawa mgeni wetu kila mara.
 
mimi nilikutana naye hospital nilienda kuchoma sindano nikiwa darasa 7 na yeye ndio doctor nilipomuachia **** anichome sindano basi ikawa tabu siakanibaka mimba hapohapo nikawa sina ujanja
ikabidi nimgande kama luba hadi leo nnae father house tunaenjoy maisha.


0


00alinibaka kwa
 
Kwangu mimi wapi nilikutana nae si issue ila ni how we started to love each other. I smile whenever I recall those sweetest days of my life.
 
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
<br />
<br />
Unampenda Bujibuji?
 
hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....

Iliniuma saana.........
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine

Pole sana, siri kubwa aliiweka Mungu ni kutokujua mwenzako anafikiria nini.Any way kuanza upya sio vibaya basi tuanze upya pamoja tulisukme gurudumu hili
 
Mimi nilikutana nae SUA, kwa wale waliosoma SUA campus ya Mazmbu, kuna sehemu moja ya makabur ya Wasauz, huwa tulikuwa tunaenda kujpumzsha baada ya stres nyng. Nilimkuta maeneo hayo, nilikuwa na digital camera. Nilikuwa na mshkaj wangu tunapga picha. Akaniomba naye apige picha. Jion akazfata na flash rum kwangu, nilkuwa unit 3, hapo ukawa mwanzo wa urafk. Til this moment.
 
Back
Top Bottom