Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mimi nilikutana naye ofisini kwake. nilienda kufanya interview ya kazi, yeye alikuwa kwenye panel ya interview. kazi akaninyima, baada ya muda akanitafuta kwa masuala mengine
Wow i like this; "maswala" ni nyie kuwa pamoja ? hebu dadavua!