Ulikutana wapi na mwandani wako?

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Kila mtu ana kumbukumbu ya mahali au mazingira yaliyomkutanisha na mwandani/honey/mahabuba/mpenzi n.k wake wa sasa., mfano mie nakumbuka kilichotuunganisha ni "madesa" kwa wale waliopitia mazingira ya UDSM watakuwa wanaelewa vizuri hili, nilibahatika kuwa na madesa mengi kiasi basi huyu mpz wangu akatengeneza ukaribu na mimi ili nae aweze kubenefit kwa njia hiyo..basi madesa yakawa madesa mpaka uchumba na hadi sasa tupo pamoja.

Hebu wadau na nyie mwageni xperiece zenu hapa jamvini tufurahike pamoja.,ni vizuri sana kukumbukia ya kale.
 
mi sijaoa lakini kna demu mmoja nimezaa nae,

nilkutana nae njiani nkiwa na kadi ya harusi ya mwalimu wangu iliyokuwa ikifanyika siku hiyohiyo jioni pale NSSF waterfront. sasa kadi ilikuwa ya mr&mrs, nilipompigia mpenzi wangu tutoke nae, akasema hana muda muda siku hiyo, ndo nikaamua kutafuta mwingine chapchap. nilipokutana na huyu maeneo ya sayansi k/nyama nikamwomba anisaidie shida yangu, kwa vile alikuwa hanijui nilimbembeleza sana na alikubali, alinisindikiza na mawasiliano yakakolea, siku chache zilizofuata alisaula tukamega tunda na muda si muda alipata ujauzito akanizalia mtoto ninayeendelea kunjali na kumtunza kwa moyo na uwezo wangu wote hadi leo.

sikumuoa kwa sababu viwaango vyake havikutosha
 
mi sijaoa lakini kna demu mmoja nimezaa nae,

nilkutana nae njiani nkiwa na kadi ya harusi ya mwalimu wangu iliyokuwa ikifanyika siku hiyohiyo jioni pale NSSF waterfront. sasa kadi ilikuwa ya mr&mrs, nilipompigia mpenzi wangu tutoke nae, akasema hana muda muda siku hiyo, ndo nikaamua kutafuta mwingine chapchap. nilipokutana na huyu maeneo ya sayansi k/nyama nikamwomba anisaidie shida yangu, kwa vile alikuwa hanijui nilimbembeleza sana na alikubali, alinisindikiza na mawasiliano yakakolea, siku chache zilizofuata alisaula tukamega tunda na muda si muda alipata ujauzito akanizalia mtoto ninayeendelea kunjali na kumtunza kwa moyo na uwezo wangu wote hadi leo.

sikumuoa kwa sababu viwaango vyake havikutosha

Duu..hatari lakini salama.Utabaki hivyo hivyo bila kuoa.
 
Kila mtu ana kumbukumbu ya hahali au mazingira yaliyomkutanisha na mwandani/honey/mahabuba/mpenzi n.k wake wa sasa., mfano mie nakumbuka kilichotuunganisha ni "madesa" kwa wale waliopitia mazingira ya UDSM watakuwa wanaelewa vizuri hili, nilibahatika kuwa na madesa mengi kiasi basi huyu mpz wangu akatengeneza ukaribu na mimi ili nae aweze kubenefit kwa njia hiyo..basi madesa yakawa madesa mpaka uchumba na hadi sasa tupo pamoja.

Hebu madau na nyie mwageni xperiece zenu hapa jamvini tufurahike pamoja.,ni vizuri sana kukumbukia ya kale.


Je, alikuwa na uzoefu kwa kiasi gani?

Mimi nilikutana naye mbali kidogo, lakini tulipata kusoma shule zilizombali kidogo. Hivyo ilinichukua muda bila kumwona tena, na mara tulipokutana tena, ghafla kila mmoja anmwaga machozi, na kuanzia hapo ni hadi leo.
 
mimi nilikutana naye in my first job, na yeye ilikuwa his first job.. i thank God todate for this man i call my husband...8 years on we still cherish that place...eeh mgodi wa dhahabu wa bulyanhulu wakati unaanzishwa.
 
mimi nilikutana naye in my first job, na yeye ilikuwa his first job.. i thank God todate for this man i call my husband...8 years on we still cherish that place...eeh mgodi wa dhahabu wa bulyanhulu wakati unaanzishwa.
Nanyi mkaanzisha wa kwenu vizuri sana, congratulations.
 
mi sijaoa lakini kna demu mmoja nimezaa nae,

nilkutana nae njiani nkiwa na kadi ya harusi ya mwalimu wangu iliyokuwa ikifanyika siku hiyohiyo jioni pale NSSF waterfront. sasa kadi ilikuwa ya mr&mrs, nilipompigia mpenzi wangu tutoke nae, akasema hana muda muda siku hiyo, ndo nikaamua kutafuta mwingine chapchap. nilipokutana na huyu maeneo ya sayansi k/nyama nikamwomba anisaidie shida yangu, kwa vile alikuwa hanijui nilimbembeleza sana na alikubali, alinisindikiza na mawasiliano yakakolea, siku chache zilizofuata alisaula tukamega tunda na muda si muda alipata ujauzito akanizalia mtoto ninayeendelea kunjali na kumtunza kwa moyo na uwezo wangu wote hadi leo.

sikumuoa kwa sababu viwaango vyake havikutosha
inaonesha serikali yako kichwani mwako ni ya kifisadi 100% wewe, nina mashaka hujitambui
 
mi sijaoa lakini kna demu mmoja nimezaa nae,

nilkutana nae njiani nkiwa na kadi ya harusi ya mwalimu wangu iliyokuwa ikifanyika siku hiyohiyo jioni pale NSSF waterfront. sasa kadi ilikuwa ya mr&mrs, nilipompigia mpenzi wangu tutoke nae, akasema hana muda muda siku hiyo, ndo nikaamua kutafuta mwingine chapchap. nilipokutana na huyu maeneo ya sayansi k/nyama nikamwomba anisaidie shida yangu, kwa vile alikuwa hanijui nilimbembeleza sana na alikubali, alinisindikiza na mawasiliano yakakolea, siku chache zilizofuata alisaula tukamega tunda na muda si muda alipata ujauzito akanizalia mtoto ninayeendelea kunjali na kumtunza kwa moyo na uwezo wangu wote hadi leo.

sikumuoa kwa sababu viwaango vyake havikutosha

Adabu yako ndogo sana mdogo wangu.mungu akuepushe na adhabu ya dharau zako..
 
Kila mtu ana kumbukumbu ya mahali au mazingira yaliyomkutanisha na mwandani/honey/mahabuba/mpenzi n.k wake wa sasa., mfano mie nakumbuka kilichotuunganisha ni "madesa" kwa wale waliopitia mazingira ya UDSM watakuwa wanaelewa vizuri hili, nilibahatika kuwa na madesa mengi kiasi basi huyu mpz wangu akatengeneza ukaribu na mimi ili nae aweze kubenefit kwa njia hiyo..basi madesa yakawa madesa mpaka uchumba na hadi sasa tupo pamoja.

Hebu wadau na nyie mwageni xperiece zenu hapa jamvini tufurahike pamoja.,ni vizuri sana kukumbukia ya kale.

Na mara nyingi nikienda maeneo ya UDSM huwa naukumbuka sana ule mti maarufu pale wa "mdegree" katika vimbweta vya pale ndipo nilipotolea proporsal ilikuwa mida ya usiku hivi na hall 5 na 6 ndipo palikuwa "matrimonial home"
 
hueleweki

nimeandika mab ya duniani hujaelewa, je nikiandika ya mbinguni?

unajua nami natafuta mchumba sasa huyu bwana akisema hapa JF wanapatikana sie mabachelor sugu tunaweza kugeuza huu uwanja wa kutafutia wachumba a ndip kutakapokuwa chaos, thats what i meant madam
 
Adabu yako ndogo sana mdogo wangu.mungu akuepushe na adhabu ya dharau zako..

siku hizi nimepunguza mkuu, si unajua na utoto ulikuwa unanisumbua? na kitisho cha ukimwi nacho ndio hivyo tena imebidi tu tushike adabu, hatuna jinsi!
 
Back
Top Bottom