Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
inaonesha serikali yako kichwani mwako ni ya kifisadi 100% wewe, nina mashaka hujitambui
hahaha mkuu ufisadi tena??????????????// hayo ni malavidavi, ndivyo tunavyoita hapa jf!!!!!!!!
inaonesha serikali yako kichwani mwako ni ya kifisadi 100% wewe, nina mashaka hujitambui
chuo. it was 1st aug 2002. alikuwa ni mwanaume wa kwanza kunisemesha pale chuo wakati naanza, yeye akiwa 2nd yr
sio ananimega tu! tumehalalisha ndoa kanisani tayari.Duh si mchezo kwa hiyo mpaka leo anakumega?
sio ananimega tu! tumehalalisha ndoa kanisani tayari.
Hongera sana naona mlikuwa mmeweka malengo kweli na sasa yametimia.
thanks.Hongera sana naona mlikuwa mmeweka malengo kweli na sasa yametimia.
I think nyie mnaenjoy kwenda bar na night club always.First time nilikutana nae pale "MRINA BAR" - Arusha, akanilezea kuwa maskani kwao Moro,.....nikachua namba ya simu yake baada ya kumalizana...Kama mwezi hivi, nikiwa kikazi Moro, nikakutana nae tena "KAUMBA NIGHT CLUB" . Siku zikasongea kama miezi sita hivi, akanipigiana kunieleza yupo mitaa ya "SEWA PUB" Buguruni ndio alikuwa ameingia kutokea "KILI TIME" sinza...na hiyo ndio siku ambayo nilitangaza kumchukua jumla ili awe mamsapu kwa kuwa niliona ni mwanamke anayeendana nami na milimwonea huruma kwa mahangaiko yake!.
Naona unatoa hongera huku moyo ukikuuma kiaina...!
first time nilikutana nae pale "mrina bar" - arusha, akanilezea kuwa maskani kwao moro,.....nikachua namba ya simu yake baada ya kumalizana...kama mwezi hivi, nikiwa kikazi moro, nikakutana nae tena "kaumba night club" . Siku zikasongea kama miezi sita hivi, akanipigiana kunieleza yupo mitaa ya "sewa pub" buguruni ndio alikuwa ameingia kutokea "kili time" sinza...na hiyo ndio siku ambayo nilitangaza kumchukua jumla ili awe mamsapu kwa kuwa niliona ni mwanamke anayeendana nami na milimwonea huruma kwa mahangaiko yake!.
First time nilikutana nae pale "MRINA BAR" - Arusha, akanilezea kuwa maskani kwao Moro,.....nikachua namba ya simu yake baada ya kumalizana...Kama mwezi hivi, nikiwa kikazi Moro, nikakutana nae tena "KAUMBA NIGHT CLUB" . Siku zikasongea kama miezi sita hivi, akanipigiana kunieleza yupo mitaa ya "SEWA PUB" Buguruni ndio alikuwa ameingia kutokea "KILI TIME" sinza...na hiyo ndio siku ambayo nilitangaza kumchukua jumla ili awe mamsapu kwa kuwa niliona ni mwanamke anayeendana nami na milimwonea huruma kwa mahangaiko yake!.
..I like this!!!Mimi nilikutana naye Jolly club
Kila mtu ana kumbukumbu ya mahali au mazingira yaliyomkutanisha na mwandani/honey/mahabuba/mpenzi n.k wake wa sasa., mfano mie nakumbuka kilichotuunganisha ni "madesa" kwa wale waliopitia mazingira ya UDSM watakuwa wanaelewa vizuri hili, nilibahatika kuwa na madesa mengi kiasi basi huyu mpz wangu akatengeneza ukaribu na mimi ili nae aweze kubenefit kwa njia hiyo..basi madesa yakawa madesa mpaka uchumba na hadi sasa tupo pamoja.
Hebu wadau na nyie mwageni xperiece zenu hapa jamvini tufurahike pamoja.,ni vizuri sana kukumbukia ya kale.
.... na hall 5 na 6 ndipo palikuwa "matrimonial home"
First time nilikutana nae pale "MRINA BAR" - Arusha, akanilezea kuwa maskani kwao Moro,.....nikachua namba ya simu yake baada ya kumalizana...Kama mwezi hivi, nikiwa kikazi Moro, nikakutana nae tena "KAUMBA NIGHT CLUB" . Siku zikasongea kama miezi sita hivi, akanipigiana kunieleza yupo mitaa ya "SEWA PUB" Buguruni ndio alikuwa ameingia kutokea "KILI TIME" sinza...na hiyo ndio siku ambayo nilitangaza kumchukua jumla ili awe mamsapu kwa kuwa niliona ni mwanamke anayeendana nami na milimwonea huruma kwa mahangaiko yake!.
Mimi nilikutana naye kazini kwangu...