MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kama miaka 15 ya mfumo wa vyama vingi Maalim Seif kawa hana mpya, vp chama chetu kitukufu cha Mapinduzi(CCM) katka miaka zaidi ya 40 ya utawala wake,kuna lolote la kujisifia kwa mwananchi wa kawaida, mlala hoi bin miguu juu kama mm?(sjuwi ww mwenzangu)
Kwa hiyo mkuu tunaangali whose worse and whose the worst? Kama nae miaka 15 hajafanya kitu tutajuaje hiyo miaka 40 akipewa atafanya chochote. Sina ubaya na Maalim ila naona hoja uliyotoa haina nguvu. Mtazamo wangu tu.