chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu