Ujumbe Wa Maalim Seif Shariff Hamad Kwa Wazanzibar

Maalim Seif Shariff Hamad na Ibrahim Lipumba maadamu wanakubaliwa kugombea Urais wa Zanzibar na Tanzania na wanachama wao wa CUF kwa mujibu wa katiba ya chama chao,
wana haki ya msingi ya kugombea nafasi hiyo kwa miaka 26 na zaidi. Haki hii hata Julius Nyerere alikuwa nayo katika TANU na CCM pia.

Kukatazwa kugombea hawakatazwi lakini je are they electable? CUF ndiyo kinapungua umaarufu hivyo. Nguvu yake imebaki Pemba. Uamuzi ni wao kama wanataka maendeleo ya chama na nchi au maendeleo yao binafsi. Lakini ukweli usiofichika ni kwamba popularity ya CUF is on the decline.
 
.....maana nionavyo hapo pana mtego ikiwa watakaokataliwa watafika laki basi hata walioandikishwa nao watajiunga nao na kuzidi kupeleka hati za madai kunakohusika juu ya madai ya kuwepo kwa Taifa la Pemba ,au hamlioni hilo ?
Mkuu hayo hapo juu yawe ni maoni yako tu, hayawakilishi(wala yasionekane kuwakilisha,kuunga mkono,ku-comment ujumbe uliotelewa na Kurugenzi ya Uenezi ya CUF, wala si msimamo wa chama cha wananchi CUF.
Chama kitaendelea kudai na kupigania haki na mabadiliko kwa njia na taratibu za kinchi kikiamini mabadiliko ya kweli yataletwa kwa kuwahamasisha wananchi kujua haki zao na njia sahihi ya kuzipigania haki hizo.
Kadhalika, kikiamini kuwa mageuzi ya kweli yanapatikana kwa gharama na jasho na kwa njia ya kushindana kwa sera na itikadi sahihi,bila ya kupigana na kugombana au kutengana kwa namna yoyete isiyokidhi maslahi ya wananchi na kukubaliana kama wananchi.
Kasumba na sumu za kujitenga kwa Pemba zimeanza kutumiwa na "maadui" wa chama cha CUF(wanajuulikana) wakisaidiwa na "vyombo vya usalama na Propaganda" ili kuipa jina baya CUF ionekane kuwa ni chama cha watu wa Upande fulani tu na si chama cha kitaifa kwa mujibu wa sheria, kinacholenga kuleta utengano wa jamii ya watanzania jambo ambalo si kweli. Imesemwa kuwa ukitaka kumuuwa mbwa mpe jina baya. CUF imeanza kuwa na hadhari na kauli hizi zinazoelekea kutumiwa kujenga chuki kwa chama, wapenzi na wanachama wa CUF.
Sumu hizi zinatafutiwa mashiko kwa nguvu hasa suala la baadhi ya wananchi wa Pemba kudaiwa kutaka kuwa na taifa lao lilipo ibuka, na kuihusisha CUF ambayo imeshatoa tamko kuwa haihusiki na maoni binafsi ya wananchi na si msimamo wa chama kwa kuwa kila mwananchi anayohaki na uhuru wa kutoa maoni yake kwa mujibu wa sheria na CUF inaheshimu uhuru huo.
CUF haiendeshwi na maoni ya watu wa kawaida wa mitaani bali ni chama chenye katiba, kanuni na miongozo yake iliyokubaliwa na vyombo sahihi vya chama kwa mujibu wa sheria za nchi, na kama kuhukumiwa na ihukumiwe kwa katiba na kanuni zake.
Wakati umefika sasa watu wasioitakia mema CUF waache kuihusisha na kauli na madai binafi ya watu wa kawaida kwa malengo ya kuidhofisha na kuhujumu umaarufu wa chama hicho kwa visingizio vya kipuuzi vya ubaguzi, ukabila na udini.
CUF ni chama cha wananchi wote(haki sawa kwa wote) na si chama cha mtu, watu, kundi la watu, jamii ya watu au eneo la watu fulani.
Haitakuwa busara na haki kuporoja mambo yasiyohusika na itikadi, mtazamo na sera na siasa za CUF.
Naomba ujumbe wa Maalim Seif Shariff Hamad usomeke, ueleweke na ufahamike kama ulivyo na kichwa cha habari hapo juu.
HAKI SAWA KWA WOTE.
 
Mkuu hayo hapo juu yawe ni maoni yako tu, hayawakilishi(wala yasionekane kuwakilisha,kuunga mkono,ku-comment ujumbe uliotelewa na Kurugenzi ya Uenezi ya CUF, wala si msimamo wa chama cha wananchi CUF.
Chama kitaendelea kudai na kupigania haki na mabadiliko kwa njia na taratibu za kinchi kikiamini mabadiliko ya kweli yataletwa kwa kuwahamasisha wananchi kujua haki zao na njia sahihi ya kuzipigania haki hizo.
Kadhalika, kikiamini kuwa mageuzi ya kweli yanapatikana kwa gharama na jasho na kwa njia ya kushindana kwa sera na itikadi sahihi,bila ya kupigana na kugombana au kutengana kwa namna yoyete isiyokidhi maslahi ya wananchi na kukubaliana kama wananchi.
Kasumba na sumu za kujitenga kwa Pemba zimeanza kutumiwa na "maadui" wa chama cha CUF(wanajuulikana) wakisaidiwa na "vyombo vya usalama na Propaganda" ili kuipa jina baya CUF ionekane kuwa ni chama cha watu wa Upande fulani tu na si chama cha kitaifa kwa mujibu wa sheria, kinacholenga kuleta utengano wa jamii ya watanzania jambo ambalo si kweli. Imesemwa kuwa ukitaka kumuuwa mbwa mpe jina baya. CUF imeanza kuwa na hadhari na kauli hizi zinazoelekea kutumiwa kujenga chuki kwa chama, wapenzi na wanachama wa CUF.
Sumu hizi zinatafutiwa mashiko kwa nguvu hasa suala la baadhi ya wananchi wa Pemba kudaiwa kutaka kuwa na taifa lao lilipo ibuka, na kuihusisha CUF ambayo imeshatoa tamko kuwa haihusiki na maoni binafsi ya wananchi na si msimamo wa chama kwa kuwa kila mwananchi anayohaki na uhuru wa kutoa maoni yake kwa mujibu wa sheria na CUF inaheshimu uhuru huo.
CUF haiendeshwi na maoni ya watu wa kawaida wa mitaani bali ni chama chenye katiba, kanuni na miongozo yake iliyokubaliwa na vyombo sahihi vya chama kwa mujibu wa sheria za nchi, na kama kuhukumiwa na ihukumiwe kwa katiba na kanuni zake.
Wakati umefika sasa watu wasioitakia mema CUF waache kuihusisha na kauli na madai binafi ya watu wa kawaida kwa malengo ya kuidhofisha na kuhujumu umaarufu wa chama hicho kwa visingizio vya kipuuzi vya ubaguzi, ukabila na udini.
CUF ni chama cha wananchi wote(haki sawa kwa wote) na si chama cha mtu, watu, kundi la watu, jamii ya watu au eneo la watu fulani.
Haitakuwa busara na haki kuporoja mambo yasiyohusika na itikadi, mtazamo na sera na siasa za CUF.
Keep it up Junius. Wakwetu nakupongeza kwa bandiko lako hilo. Na hasa ulivyomrekebisha nduguyo (
Mwiba). CUF ingekuwa wana watu wa kweli na wenye mawazo yenye
kukijenga chama chao kama wewe wangekuwa mbali sana. Inabidi wageuke sasa CUF. Jitahidini kina Junius.
 

Kukatazwa kugombea hawakatazwi lakini je are they electable? CUF ndiyo kinapungua umaarufu hivyo. Nguvu yake imebaki Pemba. Uamuzi ni wao kama wanataka maendeleo ya chama na nchi au maendeleo yao binafsi. Lakini ukweli usiofichika ni kwamba popularity ya CUF is on the decline.
Mwanafalsafa mkuu..
Hayo ni mawazo finyu.. ikiwa wanakubalika kwa asilimi 95 ndani ya chama na wanachama wao kwa jumla inakuwaje kipungue umaarufu? ktk miaka hii 15 Cuf sasa kwa upande wa znz imekubalika kwa asilimia 90,sasa unguja Cuf imekuwa na nguvu saana na ndo maana hata uchaguzi wa 2005 ccm kupitia serikali zake walihamishia nguvu kubwa unguja kuliko pemba.. hivi sasa Maalim seif amekuwa lulu mpaka unguja yote,yaani akifanya mkutano unguja umma unafurika. kwa kweli wananchi wa znz wote wana hamu ya kumuona Maalim akiwa Rais wao kwani wanamuamini sana tena sana..
 
mwanafalsa unauliza kaa maalim seif sharif ni "electable"? sijui unamaanisha nini kwa kweli!
seif sharif kuwa electable liko wazi kwa kuwa wapigaji kura wake wamekuwa wakiendelea kumpigia kila uchaguzi na hawalalami kuwa wamemchoka!
katiba ya chama chake inamruhusu, na kura za wanaompigia zinamruhusu kuendelea kugombea.
lipumba ni suala jengine
 
Keep it up Junius. Wakwetu nakupongeza kwa bandiko lako hilo. Na hasa ulivyomrekebisha nduguyo (
Mwiba). CUF ingekuwa wana watu wa kweli na wenye mawazo yenye
kukijenga chama chao kama wewe wangekuwa mbali sana. Inabidi wageuke sasa CUF. Jitahidini kina Junius.
Kwangu mm Zanzibar inakuja mwanzo kuliko ubinafsi wangu wwote ule.
Khalid Mashal aliwambia Waisrael wazi kuwa "roho yangu ni kitu cha pili badala ya Palestina", akimaanisha mambo mawili kuwa, Maslahi ya Palestina na Wapalestina yanakuja mwanzo na halafu ndo yake yy yafuate, pili kama ikibidi afe basi afe kwa ajili ya Palestina na Watu wake.
I pray to His Almighty, Zanzibar will have good and magnficient future for the comings generations.
 
Back
Top Bottom