Nawashauri hasa wanasiasa na waislamu, tusishinde kwenye maofisi ya vyama tu katika kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani. Ni muda wa kusoma Quran mwezi huu wa Ramadhani.
Tujifunze walikuwepo wengi lakini hivi sasa imekua history. Maisha baada ya kufa ndio maisha kuliko haya ya duniani.
Pia tupungezeni kushinda ktk masocial media. Tutumie siku hizi chache kufanya ya kheri mengine tuyaache.
Shukran.
Tujifunze walikuwepo wengi lakini hivi sasa imekua history. Maisha baada ya kufa ndio maisha kuliko haya ya duniani.
Pia tupungezeni kushinda ktk masocial media. Tutumie siku hizi chache kufanya ya kheri mengine tuyaache.
Shukran.