Vyakula vinavyoliwa kipindi cha Mfungo wa Ramadhani na faida zake mwilini

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
1. Uji wa pilipili

2. Magimbi

3. Viazi vitamu

4. Tambi nyembamba

Vitu hivi vinapikwa kwa ustadi wa hali ya juu na mama ntilie mpaka hotel za kati, Nimejiuliza vina mahusiano gani na mwezi huu, Maana baada ya mwezi wa Ramadhani vinayeyuka mtaani.

Au ni Quran imeagiza kula milo hiyo kipindi cha mwezi mtukufu?


Uji wa Pilipili Manga au Chai ya Viungo Spiced Tea,hutumika saana kipindi hiki.

Na ukweli ni kwamba baada ya kufturu (Kuftari) mwili unahitaji ku gain nguvu kwa muda mfupi na virutubisho vingi sana.

Na asikudanganye mtu,we kunywa Uji wa Pilipili Manga au wenye viungo vingine uone ndani ya dakika kumi hali itakuwaje.

Mie hupendelea zaidi Uji wa Mtama au Ulezi wa viuongo,ukiunywa huo basi hata kama ni siku za kawaida mkuu utaniambia habari yake.

Chai ya viungo vilivyokamilika hutumika pia kama tiba,yaani wakati mwili hauna kitu unakuwa active saana ku absorb virutubisho muhim.

Na ndio maana utakuta kwamba wale wanao Swali Swala ya Taraweh(Suala Ndefu),hunywa Uji tu au Chai ya viungo na chapati au andazi moja au mbili kisha kujiona kuwa na nguvu saana,ili kuweza kuwa mwepesi katika Swala ya Taraweh.Ili baada ya swala wakati wa daku ndio aweze kula vizuri maana mwili utakuwa umefunguka vizuri kupokea mlo mkubwa.

Ila wale wanaofakamia kula saana,basi swala hii kwao huwa ni uvivu saana kuiweza.

Vyakula vya ziada kama
Tambi
Viazi
Njugu Mawe
Maharage
Dengu
Chooko au choroko
Kunde
Maboga
Vipopoo(hasa huku kwetu Zanzibar)
NK

Sio kwamba vinatumika saana,ila sema tu mfumo wa manunuzi na Maisha ndio unapelekea iwe hivyo. Na pia watu wengi wavivu kuvipika miezi ya kawaida.

Ndio maana unakuta miezi ya kawaida ni waliii, ugaliiii, ukipata bahati ndizii. Sasa ni vyakula vilivyo common saana.ndio maana mwezi huu watu hupenda kubadilisha

Ila kama akitokea mtu mjanja kwa nyie mliopo Dar akapika aina ya vyakula mchanganyiko kama hivi kwenye mgahawa wake, amini usiamini atapiga hela ndefu kweli.

Ila sie tumefanya mazoea ya milo iliyo common

Kwa wale Mliopo Zanzibar kuna Mgahawa unaitwa Lukmaan, pale unakuta vyakula aina mbali mbali sana kwa kadri ya uwezo wao. Na jamaa ukienda pale watu kibao hadi pa kukaa unapakosa. Na wazungu telee

So, kama upo Dar na umeona vyakula hivyo vinapendwa basi chukua Fursa mungu amekufungulia kwamba. Baada ya Ramadhani anzisha biashara ya namna hiyo kwa vyakula hivyo, na utatoka tu.

Hoja kubwa ni kwamba watu wanapenda kupika vyakula vyepesi kupika, wali, maharage, ugali.

Sasa vile vyakula vinavyomchukulia mtu muda anaona havina issue. Na Hii ipo mpaka Majumbani kwetu na ndio imetubadilisha mfumo wa kula.

We muulize mtu lini Amekula Njugu mawe au Msusa wa Karanga, utakuta mtu anakuambia sijala miaka kumi au nilipoenda mkoa fulani.

 
Jiulize kwanini ukikaa muda mrefu bila kula wanakupa kwanza kitu laini na cha moto iwe uji au chai?
Jibu ni kuwa ukanyooshe kwanza utumbo.
 
Jiulize kwanini ukikaa muda mrefu bila kula wanakupa kwanza kitu laini na cha moto iwe uji au chai?
Jibu ni kuwa ukanyooshe kwanza utumbo.

Uji tunakunywa kila siku lakini sio wa pilipili
Huu wa pilipili nauona mwezi wa ramadhani tu
 
Yaani katika vyakula ambavyo vinatakiwa kuliwa ndio hivi vinavyopatikana sasa yaani ingekuwa ndio miezi yote tunakula hivi vyakula tusingesikia maradhi ya ajabu ajabu na mapresha vyakula vya asili.
 
Bado hujaweka muhogo wa nazi,matoke ya viaz pamoja na nyAma,mtori badala ya uji kwa wale wachaga
utamaduni nzur xana futar inakuwa tamu
 


Uji wa Pilipili Manga au Chai ya Viungo Spiced Tea,hutumika saana kipindi hiki.

Na ukweli ni kwamba baada ya kufturu (Kuftari) mwili unahitaji ku gain nguvu kwa muda mfupi na virutubisho vingi sana.

Na asikudanganye mtu,we kunywa Uji wa Pilipili Manga au wenye viungo vingine uone ndani ya dakika kumi hali itakuwaje.

Mie hupendelea zaidi Uji wa Mtama au Ulezi wa viuongo,ukiunywa huo basi hata kama ni siku za kawaida mkuu utaniambia habari yake.

Chai ya viungo vilivyokamilika hutumika pia kama tiba,yaani wakati mwili hauna kitu unakuwa active saana ku absorb virutubisho muhim.

Na ndio maana utakuta kwamba wale wanao Swali Swala ya Taraweh(Suala Ndefu),hunywa Uji tu au Chai ya viungo na chapati au andazi moja au mbili kisha kujiona kuwa na nguvu saana,ili kuweza kuwa mwepesi katika Swala ya Taraweh.Ili baada ya swala wakati wa daku ndio aweze kula vizuri maana mwili utakuwa umefunguka vizuri kupokea mlo mkubwa.

Ila wale wanaofakamia kula saana,basi swala hii kwao huwa ni uvivu saana kuiweza.

Vyakula vya ziada kama
Tambi
Viazi
Njugu Mawe
Maharage
Dengu
Chooko au choroko
Kunde
Maboga
Vipopoo(hasa huku kwetu Zanzibar)
NK

Sio kwamba vinatumika saana,ila sema tu mfumo wa manunuzi na Maisha ndio unapelekea iwe hivyo. Na pia watu wengi wavivu kuvipika miezi ya kawaida.

Ndio maana unakuta miezi ya kawaida ni waliii, ugaliiii, ukipata bahati ndizii. Sasa ni vyakula vilivyo common saana.ndio maana mwezi huu watu hupenda kubadilisha

Ila kama akitokea mtu mjanja kwa nyie mliopo Dar akapika aina ya vyakula mchanganyiko kama hivi kwenye mgahawa wake, amini usiamini atapiga hela ndefu kweli.

Ila sie tumefanya mazoea ya milo iliyo common

Kwa wale Mliopo Zanzibar kuna Mgahawa unaitwa Lukmaan, pale unakuta vyakula aina mbali mbali sana kwa kadri ya uwezo wao. Na jamaa ukienda pale watu kibao hadi pa kukaa unapakosa. Na wazungu telee

So, kama upo Dar na umeona vyakula hivyo vinapendwa basi chukua Fursa mungu amekufungulia kwamba. Baada ya Ramadhani anzisha biashara ya namna hiyo kwa vyakula hivyo, na utatoka tu.

Hoja kubwa ni kwamba watu wanapenda kupika vyakula vyepesi kupika, wali, maharage, ugali.

Sasa vile vyakula vinavyomchukulia mtu muda anaona havina issue. Na Hii ipo mpaka Majumbani kwetu na ndio imetubadilisha mfumo wa kula.

We muulize mtu lini Amekula Njugu mawe au Msusa wa Karanga, utakuta mtu anakuambia sijala miaka kumi au nilipoenda mkoa fulani.
 
Yaani katika vyakula ambavyo vinatakiwa kuliwa ndio hivi vinavyopatikana sasa yaani ingekuwa ndio miezi yote tunakula hivi vyakula tusingesikia maradhi ya ajabu ajabu na mapresha vyakula vya asili.

Uko sawa mkuu, misosi yote ya mwezi huu iko poa na salama kwa kiasi kikubwa. Ila kuna tatizo la sukari, karibu kila unachogusa kina sukari nyingi, sidhani kama iko poa hii!
 
Back
Top Bottom