Mtuturas
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 458
- 859
Imekuwa kawaida kipindi cha Mfungo wa ramadhani viongozi wa serikali, taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kufuturisha.
Sasa basi ili kuondoa dhana ya upendeleo au double standard ni vyema basi katika kipindi hiki cha Mfungo wa Kwaresma basi futari ikaandaliwa pia na taasisi hizo.
Ni vyema Ikulu ikaandaa kitu kama hiki nakumbuka Rais Magufuli pamoja ni mkristu alifuturisha Ikulu. Mawaziri, Ma RC na Ma DC na nyie pia muandae futari ya namna hii Kwa wadau wenu ili kuboresha mahusiano Kwa kutumia Mfungo wa Kwaresma.
Na nyie maaskofu ie TEC andaeni futari kipindi hiki muwaalike viongozi wenzenu wa kiserikali au Waislamu mjumuike pamoja kwenye futari. Kama Bakwata wanavyowaalika kwenye futari wanazoanda kipindi cha Mfungo wa Ramadhani.
Na taasisi nyingine kama voda, tbl muandae futari kipindi hiki cha Kwaresma kama mnavyofanya kipindi cha Ramadhani.
Mwisho nawatakia Mfungo mwema wa Kwaresma wakristu wote.
Sasa basi ili kuondoa dhana ya upendeleo au double standard ni vyema basi katika kipindi hiki cha Mfungo wa Kwaresma basi futari ikaandaliwa pia na taasisi hizo.
Ni vyema Ikulu ikaandaa kitu kama hiki nakumbuka Rais Magufuli pamoja ni mkristu alifuturisha Ikulu. Mawaziri, Ma RC na Ma DC na nyie pia muandae futari ya namna hii Kwa wadau wenu ili kuboresha mahusiano Kwa kutumia Mfungo wa Kwaresma.
Na nyie maaskofu ie TEC andaeni futari kipindi hiki muwaalike viongozi wenzenu wa kiserikali au Waislamu mjumuike pamoja kwenye futari. Kama Bakwata wanavyowaalika kwenye futari wanazoanda kipindi cha Mfungo wa Ramadhani.
Na taasisi nyingine kama voda, tbl muandae futari kipindi hiki cha Kwaresma kama mnavyofanya kipindi cha Ramadhani.
Mwisho nawatakia Mfungo mwema wa Kwaresma wakristu wote.