Uhuru wa Tanganyika chimbuko lake ni waislamu

Nipo nje ya sehemu wanapoabudu na vimini, navizia. Hujui leo juma ngapi?
Ni kweli mkuu unazungusha round za kahawa na kashata Huku unahesabu zile shanga zenu ambazo wale dada zetu Wana ziabuse kwa kujifunga kiunoni na kuziita chachandu?
 
haleluyaaa...
Ushapandisha yale majini yenu yanayowafanya muongee lugha za ajabu ajabu ?.....
apaaapaa gholoodddsss guhudddss.ssshoooss #$$$ abwelweww kughhss....kumbe mwisho wa siku anataka michango kupitia tigo pesa...nyie watu wa ajabu sana sijui mnaishi karne ya ngapi
 
Hebu Angalieni Nyote Muulioshiriki Topic Hii, Nyote muko against Islam, Ninawafahamisha ya kuwa Wakristo, Waislamu, Hindus,Pagans, ni Watanzania na wana Haki na Nchii hii. Wacheni uzembe wa kuleta udini. Msituahribie nchi yetu.

Msisahau inteligent preachers katika kila Dini na Medhehebu wanatumia Akili nyingi Kutawal Waumini wao, na kuwatumia kwenye maslahi yao. Miaka yote ya nyuma hakukua na utata wakidini. Isipokuwa leo tunaanza< tusipoangalia tutakuwa kama wazembe waki Nigeria, Kuua Ndogo zako kwa sababu ya Dini iliyokujia kutoka kwa Wayahudi na WaArabu.
Kwa hiyo ulitaka wakubaliane na huo utumbo?
 
Kwali Udini ni shetani mwingine ambaye analitesa taifa hili. Yaani katika watu wote walioshiriki kudai uhuru wa Tanganyika huyu shekhe ameona kwamba wote walikuwa ni waislamu? Kweli Udini unamfanya mtu awe kipofu kabisa. Hivi wale waisio na dini na wakristo walioshiriki harakati za uhuru hawakuwa watu? Shame on thi sheikh.
 
Anasema wailamu tuko wengi Tanzania, lakini takwimu iliyotolewa na majuzi inaonyesha waislamu ni 32%. Anasema tunahaki ya kuwa wengi serikalini kwasababu tupo wengi

kwa hiyo moewe nafasi hata kama hakuna elimu? Na vyeo vinaenda kwa udini?
Nq dini ni waislamu tu? Mwambie imamu wachangishane kujenga shule zinazokidhi na vyuo, hivyo ndivyo vitawapa madaraka na vyeo...si wingi wala uchache na wala si maspika
 
Nipo hapa Msikiti wa Bondeni nasikiliza mawaidha ya kiislamu. Imamu analalamika kuwa waislamu wametengwa sana kielimu, wakati wao ndiyo chanzo cha kupatikana na uhuru wa Tanganyika, anasema kuwa chama cha kwanza cha Tanganyika cha TAA kiliundwa na wailamu.
Akina Hussein Makunganya walipigana kufa na kupona kuhakikisha wanalinda uislamu dhidi ya ukristo wa ujerumani.

Lakini walitengwaje Kielimu?

Nyerere pamoja na kuchukiwa Ali-nationalize Shule zote za Dini ambazo nyingi zilikuwa za dini ya Kiristo

Aliondoa Tution Fee; Akafanya Elimu kuwa Bure kwa Wote; UPE hakuna aliyetakiwa kulipa kwenda Shule

Mpaka Chuo Kikuu.

BAKWATA ikaanzishwa ili isaidie Waislamu kujinusuru hasa Vijana Waweze kuwa na dodoso ya kwenda Shule.

Sasa, Kama kila kitu kilikuwa wazi bado Imamu anailaumu TANU? BADALA ya KUJENGA ya MBELE bado mawazo ni

YA KALE? kweli tutaendelea?
 
Anasema wailamu tuko wengi Tanzania, lakini takwimu iliyotolewa na majuzi inaonyesha waislamu ni 32%. Anasema tunahaki ya kuwa wengi serikalini kwasababu tupo wengi

Nadhani uhuru ulikuwa ni kwa watanganyika, si kwa waislamu, na waliokuwa wanatawaliwa hawakuwa waislamu ni watanganyika

uwingi si kigezo cha kutawala kama ingekuwa hivyo wanawake ni wengi kuliko wanaume, wasio na elimu ni wengi kuliko wenye elimu....kwa hiyo wingi, hata kama upo, si sababu. Kuna waislamu wengi tu hapa Tanzania wako competent na wana uwezo mkubwa wa kufanya kazi, siasa uchwara zimewaweka pembeni.
 
sasa uhuru na dini vinaingiliana wapi na wapi?tanzania haina dini

Baada ya uhuru waislamu walibaki kwenye vijiwe vya kahawa na kuuza kashata, huku wenzao wakibukua wapate elimu ya kuwaongoza/kuwatawala waislamu kwi kwi kwi bwahaaaa!!!!
 
Nipo hapa Msikiti wa Bondeni nasikiliza mawaidha ya kiislamu. Imamu analalamika kuwa waislamu wametengwa sana kielimu, wakati wao ndiyo chanzo cha kupatikana na uhuru wa Tanganyika, anasema kuwa chama cha kwanza cha Tanganyika cha TAA kiliundwa na wailamu.
Akina Hussein Makunganya walipigana kufa na kupona kuhakikisha wanalinda uislamu dhidi ya ukristo wa ujerumani.
elimu akhera kwanza
 
Ni kweli mkuu unazungusha round za kahawa na kashata Huku unahesabu zile shanga zenu ambazo wale dada zetu Wana ziabuse kwa kujifunga kiunoni na kuziita chachandu?

Katika vijana wa Nape huyu zomba is the worst. Kidogo Ritz anajitahidi kujenga hoja.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya uhuru waislamu walibaki kwenye vijiwe vya kahawa na kuuza kashata, huku wenzao wakibukua wapate elimu ya kuwaongoza/kuwatawala waislamu kwi kwi kwi bwahaaaa!!!!

Bwana Mungi kuwa mstaarabu na onyesha kuwa umeleleka kwenu. Onyesha angalau adabu chembe katika maandishi yako. Sifa ya ukumbi huu ni ukumbi wa "Great Thinkers."

Nini kilitokea baada ya uhuru. Tafadhali soma hapa chini:

"Baada ya uhuru kupatikana mwaka 1961 Waislam waliamini kuwa hali yao ya baadae katika serikali huru itakuwa nzuri. Mwaka 1962 ukaitishwa mkutano wa Waislam wa nchi nzima kujadili nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru. Taasisi zifuatazo zilihudhuria mkutano huo: East African Muslim Welfare Society (EAMWS), Daawat Islamiyya, Jamiatul Islamiya fi Tanganyika, Jamiatul Islamuyya ëAí[1]na Muslim Education Union. Mkutano ule ulikubaliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kuanzisha idara ya elimu chini ya EAMWS. Waislam hawakusubiri serikali itimize ahadi yake ya kurekebisha upogo uliokuwepo wa elimu kati ya Waislam na Waislam. Waislam walianzisha mipango yao wenyewe ili isaidiane na juhudi ya serikali. Mipango ikatayarishwa ya kujenga shule Tanganyika nzima na mwishowe kujenga Chuo Kikuu cha kwanza kwa Waislam katika Afrika ya Mashariki. Mkutano ukamchagua Tewa Said Tewa waziri wa serikali, mwanasiasa wa TAA na mmoja wa wale wazalendo kumi na saba walioanzisha TANU kuwa mwenyekiti wa EAMWS kwa upande wa Tanganyika.
Huu ndiyo ukawa mwanzo wa uadui kati ya Waislam na serikali ambayo ilikuwa mikononi mwa Wakristo. Uelewano uliodumu wakati wa kudai uhuru ukaanza kutoweka na siasa zikachukua sura mpya ya uhasama, kutoaminiana na kutafutana kati ya jamii hizi mbili. Kisa cha hali hii mpya ikiwa ni sababu ya Waislam kutaka kuondoa hali ya kikoloni iliyowakandamiza kwa miaka mingi. Waislam waliona kuwa hili lilikuwa ni jambo lisilokuwa na pingamizi kufanyika. Uhuru ili uwe na maana ni lazima Waislam wajitoe ndani ya unyonge waliogubikwa na wakoloni. Kwa upande wa Wakristo hali hii ilisababisha hofu kuu nyoyoni mwao."

Haya maneno Bwana Mungi yanatoka katika kitabu changu. Ukipenda tunaweza Insha Allah tukaendelea na somo hili.
 
Bwana Mungi kuwa mstaarabu na onyesha kuwa umeleleka kwenu. Onyesha angalau adabu chembe katika maandishi yako. Sifa ya ukumbi huu ni ukumbi wa "Great Thinkers."

Nini kilitokea baada ya uhuru. Tafadhali soma hapa chini:

"Baada ya uhuru kupatikana mwaka 1961 Waislam waliamini kuwa hali yao ya baadae katika serikali huru itakuwa nzuri. Mwaka 1962 ukaitishwa mkutano wa Waislam wa nchi nzima kujadili nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru. Taasisi zifuatazo zilihudhuria mkutano huo: East African Muslim Welfare Society (EAMWS), Daawat Islamiyya, Jamiatul Islamiya fi Tanganyika, Jamiatul Islamuyya ëAí[1]na Muslim Education Union. Mkutano ule ulikubaliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kuanzisha idara ya elimu chini ya EAMWS. Waislam hawakusubiri serikali itimize ahadi yake ya kurekebisha upogo uliokuwepo wa elimu kati ya Waislam na Waislam. Waislam walianzisha mipango yao wenyewe ili isaidiane na juhudi ya serikali. Mipango ikatayarishwa ya kujenga shule Tanganyika nzima na mwishowe kujenga Chuo Kikuu cha kwanza kwa Waislam katika Afrika ya Mashariki. Mkutano ukamchagua Tewa Said Tewa waziri wa serikali, mwanasiasa wa TAA na mmoja wa wale wazalendo kumi na saba walioanzisha TANU kuwa mwenyekiti wa EAMWS kwa upande wa Tanganyika.
Huu ndiyo ukawa mwanzo wa uadui kati ya Waislam na serikali ambayo ilikuwa mikononi mwa Wakristo. Uelewano uliodumu wakati wa kudai uhuru ukaanza kutoweka na siasa zikachukua sura mpya ya uhasama, kutoaminiana na kutafutana kati ya jamii hizi mbili. Kisa cha hali hii mpya ikiwa ni sababu ya Waislam kutaka kuondoa hali ya kikoloni iliyowakandamiza kwa miaka mingi. Waislam waliona kuwa hili lilikuwa ni jambo lisilokuwa na pingamizi kufanyika. Uhuru ili uwe na maana ni lazima Waislam wajitoe ndani ya unyonge waliogubikwa na wakoloni. Kwa upande wa Wakristo hali hii ilisababisha hofu kuu nyoyoni mwao."

Haya maneno Bwana Mungi yanatoka katika kitabu changu. Ukipenda tunaweza Insha Allah tukaendelea na somo hili.
Hilo somo linawafaa wagomea sensa
 
Tanganyika iliwekwa chini ya uangalizi wa serikali ya Uingereza, kwa sharti kuwa tutakapokuwa tayari kuwa na viongozi wasomi wapewe nchi yao chini ya viongozi Watanganyika na hivyo ndivyo ilivyofanyika, hatukuwa koloni la nchi yeyote, ndiyo maana Nyerere alifunga safari kwenda UNO kuwapa taarifa kuwa tupo tayari sasa kuingoza nchi yetu wenyewe, akapewa.

Ni sawa sawa na miradhi wanayoachiwa watoto ambao kiumri bado hawataweza kusimamia mali zilizoachwa na baba yao. Mahakama/familia huteua mmoja wa wana familia kusimamia mali hadi watoto wakuwe ndipo wakabidhiwe mali zao kuendesha maisha.
 
Nipo hapa Msikiti wa Bondeni nasikiliza mawaidha ya kiislamu. Imamu analalamika kuwa waislamu wametengwa sana kielimu, wakati wao ndiyo chanzo cha kupatikana na uhuru wa Tanganyika, anasema kuwa chama cha kwanza cha Tanganyika cha TAA kiliundwa na wailamu.
Akina Hussein Makunganya walipigana kufa na kupona kuhakikisha wanalinda uislamu dhidi ya ukristo wa ujerumani.
Mkuu Mungi hawa jamaa sijui wana pepo gani, ukiwasikiliza unatakiwa uwahurumie tu maana kwa mtu mwenye akili ya kawaida hawezi hata kuwasikiliza kwa dk 5, mwisho watasema wao ndio waliomtibu Nyerere kwa pesa ya waislam..Niliwahi kumsikia Sheikh mmoja akisema wao ndio walioanzisha Chadema wakaporwa na Mtei baada ya kuandaa kila kitu. Mwenye akili timamu siyo wakusikiliza hawa waropokaji
 
Back
Top Bottom