Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,908
- 30,253
Samahani kama nimekugusa Mohamed Said, nawashauri ndugu zetu waislamu waache kulalamika. Chukueni hatua za kuwakomboa vijana.
Muungwana yeyote akisikia matusi atafanya haya, aidha ataondoka mahali pale au atamnasihi atukanae.
Sijui kuguswa umekusudia nini.
Mimi nimekunasihi uwe na adabu sikutaka kuondoka.
Ndiyo maana sasa nakunasihi tena.
Taka radhi tu na tuendelee mbele.