Uhuru wa Tanganyika chimbuko lake ni waislamu

Akina Hussein Makunganya walipigana kufa na kupona kuhakikisha wanalinda uislamu dhidi ya ukristo wa ujerumani.
Hahaha....upigane dhidi ya ukristo wa ujerumani????!!!! Hata Nzi hawezi kuwaza huo upuuzi! Unapigana na ukristo?! Nani aliwahi kufanikiwa kwenye vita aina hiyo?
 
mmmmmhh acha fitna ushoga unaongoza sana pwani tanga,znz,pemba,mombasa kwakifupi sehem za taarabu haya nambia hao n dini gan km sio islamic eeh..watoto wenu wa kike wa kipemba na kiarabu wanatoa tigo ili kutunza bikra siku akiolewa aonekane anajitunza kumbe takataka...we chunguza mashoga wooote watoto wa kiislam oh aunt ally,aunt sudi,aunt dullar hahahaha sijawahi sikia aunt john


Aunt Ezekiel....
 
Hilo somo linawafaa wagomea sensa

Bwana Pangolin,

Ningeweza nikakupuuza lakini huenda maneno yangu yakakusaidia hata katika maisha yako ndani ya jamii.

Hapa msemaji katoa jeuri na kebehi dhidi ya wazee wangu kuwa walikuwa wameshughulishwa na kahawa na kashata.

Tusi lile nimeona nilijibu kiungwana na majibu ninetoa.
Wewe unaturudisha pale pale tulipotoka kwa kauli zisizokuwa na uungwana.

Msomi makini "Great Thinker" angalau kwa uchache angeendeleza pale nilipoishia hata kwa kuuliza swali mathalan baada ya hayo nini kilifata.
 
Waweshaambiwa waende shule.

TAMKO LA MAASKOFU KATOLIKI LILISEMA

Suala la ukosefu wa ajira,
hasa miongoni mwa
vijana, liangaliwe kwa
makini kwani linaweza
kuwa moja ya sababu
zinazowafanya vijana wengi kujiingiza katika
vikundi vya kidini
vinavyojenga chuki na
kutoa matumaini ya
uongo;
 
Nimekukubali mkuu..
Mkirindi[/QUOTE said:
.. Sisi Waafrika tumesahau asili yetu,tumevamia vita vya Wazungu(Ukristo) dhidi ya Waarabu(Waislamu). Turejeshe 'Ubuntu' wetu walioturithisha babu zetu. Let us emancipate ourselves from mental slavery..
 
Nimekukubali mkuu.... Sisi Waafrika tumesahau asili yetu,tumevamia vita vya Wazungu(Ukristo) dhidi ya Waarabu(Waislamu). Turejeshe 'Ubuntu' wetu walioturithisha babu zetu. Let us emancipate ourselves from mental slavery..

UPO TAYARI KUTAMBIKIA MKUU? Unachinja Mbuzi halafu unamweka kwenye pango bila kumla?

UPO TAYARI KUTOA KAFARA HASA ALBINO ATAKAPOKUWA AMEZALIWA

UPO TAYARI KUMTUMIKIA MTEMI NA KUNAJISIWA ILI KUWALINDA WAKE ZAKE?

UPO TAYARI KURITHI MIKOBA YA BIBI AU BABU YA UGANGA?

UPO TAYARI KUNYWA DAMU MBICHI NA NYAMA MBICHI
 
Bwana Mungi kuwa mstaarabu na onyesha kuwa umeleleka kwenu. Onyesha angalau adabu chembe katika maandishi yako. Sifa ya ukumbi huu ni ukumbi wa "Great Thinkers."

Nini kilitokea baada ya uhuru. Tafadhali soma hapa chini:

"Baada ya uhuru kupatikana mwaka 1961 Waislam waliamini kuwa hali yao ya baadae katika serikali huru itakuwa nzuri. Mwaka 1962 ukaitishwa mkutano wa Waislam wa nchi nzima kujadili nafasi ya Uislam katika Tanganyika huru. Taasisi zifuatazo zilihudhuria mkutano huo: East African Muslim Welfare Society (EAMWS), Daawat Islamiyya, Jamiatul Islamiya fi Tanganyika, Jamiatul Islamuyya ëAí[1]na Muslim Education Union. Mkutano ule ulikubaliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kuanzisha idara ya elimu chini ya EAMWS. Waislam hawakusubiri serikali itimize ahadi yake ya kurekebisha upogo uliokuwepo wa elimu kati ya Waislam na Waislam. Waislam walianzisha mipango yao wenyewe ili isaidiane na juhudi ya serikali. Mipango ikatayarishwa ya kujenga shule Tanganyika nzima na mwishowe kujenga Chuo Kikuu cha kwanza kwa Waislam katika Afrika ya Mashariki. Mkutano ukamchagua Tewa Said Tewa waziri wa serikali, mwanasiasa wa TAA na mmoja wa wale wazalendo kumi na saba walioanzisha TANU kuwa mwenyekiti wa EAMWS kwa upande wa Tanganyika.
Huu ndiyo ukawa mwanzo wa uadui kati ya Waislam na serikali ambayo ilikuwa mikononi mwa Wakristo. Uelewano uliodumu wakati wa kudai uhuru ukaanza kutoweka na siasa zikachukua sura mpya ya uhasama, kutoaminiana na kutafutana kati ya jamii hizi mbili. Kisa cha hali hii mpya ikiwa ni sababu ya Waislam kutaka kuondoa hali ya kikoloni iliyowakandamiza kwa miaka mingi. Waislam waliona kuwa hili lilikuwa ni jambo lisilokuwa na pingamizi kufanyika. Uhuru ili uwe na maana ni lazima Waislam wajitoe ndani ya unyonge waliogubikwa na wakoloni. Kwa upande wa Wakristo hali hii ilisababisha hofu kuu nyoyoni mwao."

Haya maneno Bwana Mungi yanatoka katika kitabu changu. Ukipenda tunaweza Insha Allah tukaendelea na somo hili.

Samahani kama nimekugusa Mohamed Said, nawashauri ndugu zetu waislamu waache kulalamika. Chukueni hatua za kuwakomboa vijana.
 
Last edited by a moderator:
Naamini katika mila zote zenye kuheshimu utu wa binadamu(google 'Ubuntu') bila shaka kuna baadhi ya imani zisizofaa kwa baadhi ya jamii waweza ita makabila,pia zipo tamaduni nyingi zinazofaa. Kama ilivyo katika jamii hizo za Kizungu na Kiasia hivyo kama dini inakuwa chanzo za mgawanyiko baina ya ndugu wa damu (Africans) lazima tutie walakini katika hilo.. Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,ye anawapenda wote,mambo ya dini na madhehebu tumeweka wanadamu,nyingi kwa maslahi binafsi. Let us open our eyes..
 
Nipo hapa Msikiti wa Bondeni
nasikiliza mawaidha ya kiislamu. Imamu analalamika kuwa waislamu
wametengwa sana kielimu, wakati wao ndiyo chanzo cha kupatikana na uhuru
wa Tanganyika, anasema kuwa chama cha kwanza cha Tanganyika cha TAA
kiliundwa na wailamu.
Akina Hussein Makunganya walipigana kufa na kupona kuhakikisha wanalinda
uislamu dhidi ya ukristo wa ujerumani.

Ili kuicha nchi yetu salama, yafaa upuuzi wa wapuuzi upuzwe!
 
So what? Wamnataka tuwashikilie suruali zao fupi na kuwapeleka darasani akati hawataki? Elimu ni chaguo ambalo hawaoni umuhimu wake so tuwasaidieje? Kutwa wanawaza kuoa, na kuolewa, kucheza ngoma, kula pilau, juice ya miwa, kupaka hina, kukaa vibarazani, kunywa kahawa na halua, kucheza mduara.

Majungu ndo usiseme hadi kwenye nyumba za kuabudu mnahubiri chuki tu dhidi ya dini nyingine. Wengi wenu ni maji kupwa maji kujaa hakuna kuwaza elimu ni dini tu na kukariri aya. Juzi nilikua mitaa ya ILALA BOMA, eti kuna kujana amehifadhi (KARIRI) Kurani yote hadi aya na kurasa......
MI nikashangaa kwa nini kijana kama huyu asipelekwe shule akameze vitabu labda akaja kusaidia hapo mbeleni kielimu? Wanamtembeza misikitini kumshangaa na ndo fahari yao.!
 
Anatolea mfano matokeo ya mwaka huu kuwa ni waislamu saba tu waliofaulu kwa alama D kati ya wote waliofanya mtihani, wengine wote wamefeli. Anasema tatizo ni mfumo ukristo katoliki upo kazini. Lakini amekiri kuwa wenzetu wakristo wanasoma kwa bidii sana ili wafaulu.

Kumbe anajua kua HAWASOMI? sasa watafauluje? Akili kumkichwa aache kujitapikia na kutoka nje katika umma kudanganya
 
Anasema wailamu tuko wengi Tanzania, lakini takwimu iliyotolewa na majuzi inaonyesha waislamu ni 32%. Anasema tunahaki ya kuwa wengi serikalini kwasababu tupo wengi

Huyu hana elimu ni lini 32% ikawa kubwa kuliko 60% au ndo anaonyesha kakimbia umande?
 
Nawaonea huruma wakristo na waislamu wote wa nchini kwetu, mmechotwa akili zenu na dini ambazo zililetwa ili kuwapumbaza akili babu zenu nanyi mnaendelea kuzikumbatia na kutengana...kwa kweli mashujaa wetu wa kweli kina Kinjekitele na Mkwawa na wenzao wanatikisika makaburini maana walipigana na kutoa mhanga maisha yao ili sisi wa sasa angalau tufunguke macho na kuwa na upeo wa kuheshimu mila na dini zetu asilia sio kufuata hizi za waarabu na wazungu/wayahudi.

Fungukeni macho na moyo muone ukweli fuateni asili zenu, huu uislamu na ukristo ni ulimbukeni wa hali ya juu!! na sasa mnabishana na kuzozana, Shame on you...angalieni wenzenu wachina, wajapani, wahindi kwao wanaabudu dini zao miaka yote hawana huu ulimbukeni toka mashariki ya kati...waachieni waarabu na uislamu wao, na wazungu/wayahudi na ukristo wao sisi tuna dini zetu asilia na matambiko yetu, tuyafuate na kujikomboa kifikra!
 
Nilisikiliza redio yao,shekhe mmoja akasema eti wakristo mambo yao yanatangazwa sana kwenye vyombo vya habari,wakatolea mfano swala la Dr ulimboka.hapo ndipo nilipogundua hawa jamaa wamechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom