UHURU: CHADEMA yapasuka

Huo ni utumbo. Kuna idadi gani ya wananchi hadi Slaa atake kuwaona watu wengi?Huo mji una watu milioni?Acha ujinga wewe na chanzo chako cha habari hizi.

Unapotoka povu na maneno ya kashfa, unayaelekeza kwa nani?

Angalia source, acha jazba, kuwa mstaarabu.
 
nimeisikia kwenye gazeti la magamba la uhuru....this is magamba kazini...
 
Ziara ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika mikoa ya Kanda ya Kusini, imehitimishwa kwa viongozi wa juu wa chama hicho, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk.
Willbroad Slaa kutofautiana.

Hali hiyo ilisababisha msuguano mkali ndani ya kikao cha ndani cha tathmini kilichofanyika mjini Ruangwa muda mfupi baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi
Likangara mjini hapa.

Kutibuana huko kulitokana na Mbowe kukataa mpango wa Dk. Slaa kutimua viongozi katika maeneo mbalimbali ambako ziara hiyo imefanyika wakiwemo viongozi karibu wote wa wilaya Ruangwa mkoani Lindi.

Kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa Chama cha Walimu (CWT) wilayani Ruangwa, ambapo Mbowe alipinga hatua ya Dk. Slaa kutaka baadhi ya viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Wilaya Abdallah Mang'onyola na mlezi wa chama hicho wilayani hapa Juma Lichonyo ambaye awali alikuwa mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho waachie madaraka.

Kikao hicho kilichoanza majira ya saa 2: 30 usiku hadi saa tano, kilifanyika baada ya kumalizika kwa mikutano ya hadhara katika maeneo mbalimbali na kupata mafanikio kidogo.

Habari za ndani za uhakika zinasema kuwa mahudhurio hafifu ya watu ndiyo yamemsukima Dk. Slaa kuamuru kufukuzwa kwa baadhi ya viongozi hao akidai wamekisaliti chama hali iliyomfanya Mbowe kupinga, akisema
mpango huo unasababisha chama kulegalega.

Kwa mujibu taarifa za uhakika mkutao huo ulilenga kufanya thathmini baada ya ziara ya viongozi wa Chadema wilayani hapa kukosa watu wengi katika mikutano yao tofauti na matarajio yao hivyo kudai ni hujuma zinafanywa na
viongozi waliowatimua.

CHANZO: NIPASHE

Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo
 
Sioni tatizo, kumbe wametofautina misimamo nilidhani wamechukuliana Wanawake kama CCM kule TBR

Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo
 
ccm kwa kuchonga tu hamjambo

Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo
 
Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo

Wewe ndo mwongo na mvivu wa kufikiri.
Nenda website ya IPP MEDIA utaikuta kama ilivyo hapa.
 
Sioni tatizo, kumbe wametofautina misimamo nilidhani wamechukuliana Wanawake kama CCM kule TBR

Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo
 
Yaani unaona aibu kutaja source ni uhuri.duh mnalionea aibu gazeti lenu la Chama.hahaha

Unataka nitaje source ya uongo?

Tatizo wanazi wa CDM wanataka siku zote habari zinazohusu chama hicho ziwe na manukato mazuri tu. Zinapokuwa na uvundo wanashindwa kukubali ukweli.

Waweza kujiridhisha kwa kutembelea IPP MEDIA.
 
Unataka nitaje source ya uongo?

Tatizo wanazi wa CDM wanataka siku zote habari zinazohusu chama hicho ziwe na manukato mazuri tu. Zinapokuwa na uvundo wanashindwa kukubali ukweli.

Waweza kujiridhisha kwa kutembelea IPP MEDIA.

Acha uongo hakuna habari kama hiyo.Jamvi limevamiwa na waongo
 
Magwanda nyie ni kaskazini tu, Kusini sahauni. Mtatoana roho bure.

Mmesikia kuna gesi ya kufa mtu huko ndio mnajidai kujipeleka?

Ukiona hivyo ujuwe kila mtu analake na hapo ndio walipopatia nafasi ya kupumulia. Kimeshanuka huko. Mzee Mtei hataki Slaa agombee tena Urais na Slaa anahakikisha anaweka timu yake itakayomtetea wakati ukifika. Mbowe kastukia, "mpaka kieleweke" .
 
Kutofautiana ni jambo la kawaida na wala si Ugonvi. Huyu mleta mada pamaoja na huyo mwandishi ni wapashkuna. Wanataka Mbowe na Slaa wasitofautiane kwani wana akili moja au wamekuwa wabunge wa magamba ambao wanaunga mkono kila jambo la Magamba hata kama ni kuuza nchi. Non sense!
 
Mpwa naona umeni-quote mbona mie sio Mod? asante kwa kunipandisha cheo
Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo
 
Back
Top Bottom