The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Mkuu The Invincible umesahau Mwanahalisi
Kuna Mwanahalisi na Raia Mwema pia (yanayotoka kwa wiki)
Mkuu The Invincible umesahau Mwanahalisi
chema chajiuza, kibaya chajitembeza;
hizo toilet paper arusha huwa hata hazionekani; mwananchi wako juu balaa.
Gazeti la CCM Uhuru linaongoza kwa habari kwamba CDM imepasuka na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu mkuu Dr Wilbroad Slaa wamerushiana maneno makali katika kikao cha siri mwandishi anachodai amenasa habari zake zote.Pia gazeti limeendelea kudai kwamba mikutano ya CDM mikoa ya kusini imekosa wahudhuriaji na wazee wamekikataa chama hicho kwa madai ya ukabila uliokithiri.
My Take:
Mimi ninadhani ni bora CCM ikahangaika kutekeleza ilani yake ya uchaguzi kuliko kupika propaganda ambazo hazina mashiko tena kwa Watanzania.Pia wanapaswa kujua kwamba watanzania wanakiamini CDM kama chama na sio kwa ajili ya Personalities za watu.Hivi utamdanganya nani kwamba mikutano ya CDM inasusiwa wakati kila siku watu wanaona umati wa watu kwenye mikutano yake kupitia taarifa za habari ITV?
mkubwa!ukisikia mtu anakuambia yafuatayo
Kaa vizuri katika mkao wa kungojea matoke ndio utajua nani MFA MAJI na nani SIKIO LA KUFA.kumbuka nyuma walisha sema eti
- Mfa maji haishi kutapatapa
- Sikio la kufa halisikii dawa
- Chadema ni chama cha ukanda-walipoenda Lindi na mtwara wamebaki wanaumbuka wao
- Wakasema chadema inaogopa Dsm-walikaja jangwani aibu ikawashika
- Wakasema chadema ni chama cha msimu-M4C inawaumbua
- Wakajalibu kuiga jangwani-wameishia kupata aibu
Uhuru haliuzi,wanafoji habari za Chama kiongozi CDM,ili walau wapate wateja hawajui wao ni sawa na mwehu.MTAANI HATULITAKI TENA LABDA WATUPE BURE TUSOKOTEE TUMBAKU.