Freeman Mbowe nyamaza au Ingia CCM 100% maana wewe ni mtoa taarifa

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,111
2,746
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.

Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?

Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa

Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.

Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
 
Sijui kwanini wengi wanalalamika Mbowe kupewa na Samia hizo pesa kwaajili ya mchango wa kanisa.

Tatizo ni ile mindset ya siasa za kukunjana mashati ndio bado naiona vichwani mwa wengi, ajabu imefikia hatua kuamini hakuna jema lolote linaloweza kufanywa kati ya wanasiasa wa pande hizi mbili, huu ni ujinga ambao ni lazima ufutwe vichwani.

Hawa wanasiasa nao ni wanadamu, wana hisia za kibinadamu, hivyo msitarajie waishi kama wanyama mbugani kila wakati kuwindana, vyema mkumbuke, hata wanyama nao kuna wakati simba akiwa ameshiba humuona swala na kumuacha aende zake.

Swali la Samia alizipata wapi zile pesa, hilo mimi jibu sina, lakini kama alikuwa nazo na akaamua kutoa, ndio ameshatoa, uchoyo nao sio sifa, ndio maana wakasema kutoa ni moyo..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mleta uzi punguza bangi. Mbowe ni mtu mwenye busara sio kama Mdude. Mbowe anaifahamu hii nchi kuliko viongozi wengi wa serikali. Hawezi kuitanguliza CHADEMA kabla ya Tanzania. Acha siasa za chuki zisizo na tija. Watu hawawezi kuishi kama maadui hadi kwenye maisha ya kawaida. CHADEMA na CCM zinapambana kisiasa kwa hoja sio hadi kwenye shughuli za kijamii kama ujenzi wa kanisa
 
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.

Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?

Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa

Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.

Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Sasa wewe CHAWA unawashwa na nini?
Kama huna cha kuandika funga mdomo wako ubakie na kazi ya kudaka matonge unayotafutiwa na shemeji yako.
 
Mleta uzi punguza bangi. Mbowe ni mtu mwenye busara sio kama Mdude. Mbowe anaifahamu hii nchi kuliko viongozi wengi wa serikali. Hawezi kuitanguliza CHADEMA kabla ya Tanzania. Acha siasa za chuki zisizo na tija. Watu hawawezi kuishi kama maadui hadi kwenye maisha ya kawaida. CHADEMA na CCM zinapambana kisiasa kwa hoja sio hadi kwenye shughuli za kijamii kama ujenzi wa kanisa
Upo sahihi sana mkuu na ukiona mtu analazimisha siasa ziwe chanzo cha uhasama kwenye jamii basi huyo ndiyo adui mkubwa kwa watanzania.
 
Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali,
JIWE kaondoka alishindwa kumbadilisha misimamo yake pamoja na hujuma lukuki, itakuwa wewe kijana. Yule ni zaidi ya Kamati kuu ya CCM, lile ni Jeshi aka JABARI la Siasa za Bongo na Africa.
 
Mleta uzi punguza bangi. Mbowe ni mtu mwenye busara sio kama Mdude. Mbowe anaifahamu hii nchi kuliko viongozi wengi wa serikali. Hawezi kuitanguliza CHADEMA kabla ya Tanzania. Acha siasa za chuki zisizo na tija. Watu hawawezi kuishi kama maadui hadi kwenye maisha ya kawaida. CHADEMA na CCM zinapambana kisiasa kwa hoja sio hadi kwenye shughuli za kijamii kama ujenzi wa kanisa
Ndani ya familia ya Mbowe kuna CCM na CHADEMA na maisha yanaenda, yeye anataka uadui
 
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.

Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?

Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa

Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.

Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Kumbe kanisa la KKKT ni mali ya Mbowe, nilikuwa silijui hilo, pia Chadema haijaanza leo kutumia chopa, kuhamasishana kushiriki jambo fulani haina maana kuwa wewe ndiye mwenye shughuri na Mbowe hana madaraka yoyote ndani ya KKKT.
 
Comrade Makonda hakuongea kwa bahati mbaya wala kukurupuka, aliongea ukweli mtupu. Freeman Mbowe, Ntobi, Salim Mwalimu, na Bonifas Mwita ni baadhi tu, ya watoa taarifa ndani ya Chadema. Imefika muda tuseme kila kitu kwa uwazi kwamba, Chadema ina wazalendo wachache. Wengine wote wachumia tumbo na watoa Taarifa wakiongozwa na Freeman Mbowe.

Majuzi, Mr. Mbowe akita KKKT NSHARA Machame, alitangaza hadharani kwamba, Rais Samia alitoa mchango wa TZS 150million, ambayo kwa lugha nyingine ni “Endorsement” ya Rais Samia 2025. Mbowe amewatangazia watanzania kwamba mgombea wake 2025 ni Samia Suluhu Hassan. Bila kumung’unya maneno niulize maswali mawili tuu. Zile Toyota Landcruiser Mr. Mbowe alizitoa wapi? Na ile Chopper, fedha zake zilitoka wapi?

Kadhalika, Mr. Freeman Mbowe aliwaalika Covid-19 wakiongozwa na Mr. Alima Mdee kwenye hiyo harambee ikimaanisha kwamba, kwa muda mrefu, Mr. Mbowe amekuwa akiwakumbatia COVID-19 ndani ya CDM. Jiulizeni, Tulia Ackson anatoa wapi jeuri ya kuwakumbatia hao COVID-19? Wote wanalindwa na Mr. Freeman Mbowe na hawakwenda KKKT NSHARA Machame Kimakosa. Wote walienda kueneza mema ya viongozi wa CCM kwa mualiko wa Mr. Mbowe..Kwa maana hiyo, Mr. Mbowe na Covid-19 ni kitu kimoja. Kadhalika Samia na Mbowe ni kitu kimoja. Mbowe ni mtoa taarifa

Tukiwa wana CCM. Hawa watu wa CHADEMA wanatukera. Either waingie CCM au wanyamaze. Sisi hatuwataki maana wanaonyesha kufanya siasa za makueni. wanaunga mkono siasa za makundi. Wanamuunga mkono kundi la Samia.

Mr. Freeman Aikeli Mbowe, chagua moja. Baki ndani ya CDM mazima, au njoo ccm kundi la Samia 100%. Hatupendi unalolifanya maana unawavuruga Chadema na wana CCM vilevile. Kama umeshiba asali, basi jiuzulu uenyekiti na kukaa kimya, ila sisi hatukutaki ndani ya CCM. Tunajua lengo lako, ni kutengeneza ukaribu tena na Rais Samia, maana taarifa zilikufikia za Samia kuchukia ulivyomponda majukwaani baada ya kula hela zake za kukodi Elicopter na Magari ya Mikutano mikoani.
Wazalendo ndani ya CDM Wana maumivu makali mnoo.
 
JIWE kaondoka alishindwa kumbadilisha misimamo yake pamoja na hujuma lukuki, itakuwa wewe kijana. Yule ni zaidi ya Kamati kuu ya CCM, lile ni Jeshi aka JABARI la Siasa za Bongo na Africa.
Mbowe anataka haonewe uruma na Samia amwachie kiti cha ubunge jimbo la Hai maisha yaendelee, Tanganyika tunakuja kupata upinzani wa kweli kizazi hiki cha Mbowe/Zitto kikitoweka maana hawa Sio wanasiasa bali wajasilisiasa, Siasa wanaifanya kama ujasiriamali wao wanaangalia furusa kwa watawala, halafu wanakuja na maneno mepesi eti Siasa sio uhadui, labda wawadanganye wajingawajinga ambao hawajui mambo ya Siasa,ukiwa mwanasiasa kwelikweli lazima uwe adui wa watawala.Mbowe kaisha ramba asali tusidanganyane.
 
Back
Top Bottom