kama unapanga kuwa mtumishi wa serikali,mimi vyangu sijui hata viliyeyukiaga wapi vile vya primary na seckipindi hiki unatakiwa ulinde vyeti vyako kuliko wakati mwingine wowotd
Possibly..ndugu zao ni AskariAu wanajiami vyeti vyao vilitumika na watu wengine wanawamwaga ndugu zao