Ni kwanini matajiri wa Kitanzania wengi bado hawataki kusomesha watoto wao shule za Cambridge wanakazania elimu ya Necta na vyuo vya hapa kwetu?

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Tajiri unakuta ana mabilioni lakini suala la elimu ya mtoto kwake analifanya liwe la kuiga watanzania wanaosifia elimu nzuri ni mtoto akisoma shule hizi za Necta huko boarding awe anaamka saa 11 asubuhi, apate division 1 au 2 aende kusoma UDSM.

Kwa elimu ipi hapa bongo uendelee kumsomesha mtoto wako kama pesa unazo ?

Kuna shule zipo zina mitaala ya cambridge mtoto anaunga moja kwa moja vyuo vizuri, hadi mtoto anamaliza degree yake ni kama milioni 500 hadi 900 hivi.

FAIDA ZA KUSOMESHA WATOTO SHULE ZA CAMBRIDGE
Huku mtoto hata awe na uwezo wa kawaida darasani lugha zitamkaa sawia barabara, ataongea kiingereza na kifaransa kama maji, sio hivi viingereza vya english medium vina lafudhi ya kibantu, huyo mwalimu anaefundisha ukimletea mzungu anaomba arudie rudie anachosema kila mara, mtoto ukimwekea mziki wa chris brown aandike mashairi uki google hayo mashairi ukianza kufananisha unaona bado mwepesi.

Mtoto akihitimu huku hata kama ataajiriwa basi ni ajira nzito nzito, wakihitimu vyuo wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection huwa zinawasaidia sana lakini pia hizi shule mtu anaweza awe na uwezo wa kawaida darasani lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni kimataifa, chuo kasoma huko oxford, field kafanya mashirika makubwa huko ulaya na marekani, hapa kupenya inakuwa fasta. na sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji hapa hapa Tanzania sehem kama benki kuu, bandarani, ikulu, tanapa, n.k.

Kibiashara anapata exposure kubwa sana kusafiri nje ya nchi, kukuana na wenzie wa mabara tofauti, kujua mifumo ya kidunia, n.k. kama baba anamiliki mashamba mengi ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko uingereza, hapa mtoto anaweza kutumia maarifa na connections ajifunze kufikisha mwenyewe huo mzigo pesa yote inabaki kwenye biashara ya familia.

Sasa Tajiri ana Mabilioni ni vipi elimu ya mwanae anajibana bana ?
 
Kutumia million 30 kusomesha mtoto kwa haya mataifa yetu ya kimaskini ni ujinga point iwe ni mzazi kuangalia mtoto ana uono gani wa maisha yake amuwekezee huko huko.

Ukiwa tajiri lazima (kwa kiasi kikubwa mtu awe mfanyabiashara/entrepreneur) so atafute namna ya mtoto wake kuingia kwenye circle ya hiyo biashara siyo unasomesha mtoto ulaya anarudi bongo siku ukifa hiyo biashara hajui hata aanzie wapi kuiendeleza mwisho inakufa na yeye anaishia kuwa mywa viroba.
 
Kutumia million 30 kusomesha mtoto kwa haya mataifa yetu ya kimaskini ni ujinga point iwe ni mzazi kuangalia mtoto ana uono gani wa maisha yake amuwekezee huko huko.

Ukiwa tajiri lazima (kwa kiasi kikubwa mtu awe mfanyabiashara/entrepreneur) so atafute namna ya mtoto wake kuingia kwenye circle ya hiyo biashara siyo unasomesha mtoto ulaya anarudi bongo siku ukifa hiyo biashara hajui hata aanzie wapi kuiendeleza mwisho inakufa na yeye anaishia kuwa mywa viroba.
Mkuu 30M ya Tz ni roughly 10,000 USD. Ni angalizo tuu.
 
Tajiri unakuta ana mabilioni lakini suala la elimu ya mtoto kwake analifanya liwe la kuiga watanzania wanaosifia elimu nzuri ni mtoto akisoma shule hizi za Necta huko boarding awe anaamka saa 11 asubuhi, apate division 1 au 2 aende kusoma UDSM.

Kwa elimu ipi hapa bongo uendelee kumsomesha mtoto wako kama pesa unazo ?

Kuna shule zipo zina mitaala ya cambridge mtoto anaunga moja kwa moja vyuo vizuri, hadi mtoto anamaliza degree yake ni kama milioni 500 hadi 900 hivi.

FAIDA ZA KUSOMESHA WATOTO SHULE ZA CAMBRIDGE
Huku mtoto hata awe na uwezo wa kawaida darasani lugha zitamkaa sawia barabara, ataongea kiingereza na kifaransa kama maji, sio hivi viingereza vya english medium vina lafudhi ya kibantu, huyo mwalimu anaefundisha ukimletea mzungu anaomba arudie rudie anachosema kila mara, mtoto ukimwekea mziki wa chris brown aandike mashairi uki google hayo mashairi ukianza kufananisha unaona bado mwepesi.

Mtoto akihitimu huku hata kama ataajiriwa basi ni ajira nzito nzito, wakihitimu vyuo wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection huwa zinawasaidia sana lakini pia hizi shule mtu anaweza awe na uwezo wa kawaida darasani lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni kimataifa, chuo kasoma huko oxford, field kafanya mashirika makubwa huko ulaya na marekani, hapa kupenya inakuwa fasta. na sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji hapa hapa Tanzania sehem kama benki kuu, bandarani, ikulu, tanapa, n.k.

Kibiashara anapata exposure kubwa sana kusafiri nje ya nchi, kukuana na wenzie wa mabara tofauti, kujua mifumo ya kidunia, n.k. kama baba anamiliki mashamba mengi ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko uingereza, hapa mtoto anaweza kutumia maarifa na connections ajifunze kufikisha mwenyewe huo mzigo pesa yote inabaki kwenye biashara ya familia.

Sasa Tajiri ana Mabilioni ni vipi elimu ya mwanae anajibana bana ?
Inawapa uzoefu wa kupambana na mazingira waliyomo.
 
Tajiri unakuta ana mabilioni lakini suala la elimu ya mtoto kwake analifanya liwe la kuiga watanzania wanaosifia elimu nzuri ni mtoto akisoma shule hizi za Necta huko boarding awe anaamka saa 11 asubuhi, apate division 1 au 2 aende kusoma UDSM.

Kwa elimu ipi hapa bongo uendelee kumsomesha mtoto wako kama pesa unazo ?

Kuna shule zipo zina mitaala ya cambridge mtoto anaunga moja kwa moja vyuo vizuri, hadi mtoto anamaliza degree yake ni kama milioni 500 hadi 900 hivi.

FAIDA ZA KUSOMESHA WATOTO SHULE ZA CAMBRIDGE
Huku mtoto hata awe na uwezo wa kawaida darasani lugha zitamkaa sawia barabara, ataongea kiingereza na kifaransa kama maji, sio hivi viingereza vya english medium vina lafudhi ya kibantu, huyo mwalimu anaefundisha ukimletea mzungu anaomba arudie rudie anachosema kila mara, mtoto ukimwekea mziki wa chris brown aandike mashairi uki google hayo mashairi ukianza kufananisha unaona bado mwepesi.

Mtoto akihitimu huku hata kama ataajiriwa basi ni ajira nzito nzito, wakihitimu vyuo wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection huwa zinawasaidia sana lakini pia hizi shule mtu anaweza awe na uwezo wa kawaida darasani lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni kimataifa, chuo kasoma huko oxford, field kafanya mashirika makubwa huko ulaya na marekani, hapa kupenya inakuwa fasta. na sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji hapa hapa Tanzania sehem kama benki kuu, bandarani, ikulu, tanapa, n.k.

Kibiashara anapata exposure kubwa sana kusafiri nje ya nchi, kukuana na wenzie wa mabara tofauti, kujua mifumo ya kidunia, n.k. kama baba anamiliki mashamba mengi ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko uingereza, hapa mtoto anaweza kutumia maarifa na connections ajifunze kufikisha mwenyewe huo mzigo pesa yote inabaki kwenye biashara ya familia.

Sasa Tajiri ana Mabilioni ni vipi elimu ya mwanae anajibana bana ?
Kwangu mimi naona ukiwa na hela inabidi uweke watoto karibu. Usubiri hadi wakue. Yaani unakua nao(you grow with them), Bia 🍺 yao ya kwanza kunywa inakuwa pamoja nawe. Unamfundisha kuhusu wanawake na maisha kwa ujumla . Siku hizi hakuna Jando hii kitu wazazi wanachukulia poa. Ili kutimiza haya yote inabidi usiwe na watoto wengi. Ukishakuwa na watoto wengi inakuwa ngumu kuwa nao karibu. Wayahudi mtoto akishakuwa na miaka 13 anachukuliwa mtu mzima. Huku Tanzania unakuta mtu yupo form six hajui kupika. Au unakuta mtu yupo chuo halafu mapenzi yanamtesa.
 
Tajiri unakuta ana mabilioni lakini suala la elimu ya mtoto kwake analifanya liwe la kuiga watanzania wanaosifia elimu nzuri ni mtoto akisoma shule hizi za Necta huko boarding awe anaamka saa 11 asubuhi, apate division 1 au 2 aende kusoma UDSM.

Kwa elimu ipi hapa bongo uendelee kumsomesha mtoto wako kama pesa unazo ?

Kuna shule zipo zina mitaala ya cambridge mtoto anaunga moja kwa moja vyuo vizuri, hadi mtoto anamaliza degree yake ni kama milioni 500 hadi 900 hivi.

FAIDA ZA KUSOMESHA WATOTO SHULE ZA CAMBRIDGE
Huku mtoto hata awe na uwezo wa kawaida darasani lugha zitamkaa sawia barabara, ataongea kiingereza na kifaransa kama maji, sio hivi viingereza vya english medium vina lafudhi ya kibantu, huyo mwalimu anaefundisha ukimletea mzungu anaomba arudie rudie anachosema kila mara, mtoto ukimwekea mziki wa chris brown aandike mashairi uki google hayo mashairi ukianza kufananisha unaona bado mwepesi.

Mtoto akihitimu huku hata kama ataajiriwa basi ni ajira nzito nzito, wakihitimu vyuo wanapata wepesi wa kuaminiwa na mashirika ya Kimaifa kama UN, UNHCR, UNICEF, connection huwa zinawasaidia sana lakini pia hizi shule mtu anaweza awe na uwezo wa kawaida darasani lakini anazungumza lugha tatu tofauti na zote ni kimataifa, chuo kasoma huko oxford, field kafanya mashirika makubwa huko ulaya na marekani, hapa kupenya inakuwa fasta. na sidhani kama kuna hasara endapo mtoto akisoma shule hizi na akaja kupata ulaji hapa hapa Tanzania sehem kama benki kuu, bandarani, ikulu, tanapa, n.k.

Kibiashara anapata exposure kubwa sana kusafiri nje ya nchi, kukuana na wenzie wa mabara tofauti, kujua mifumo ya kidunia, n.k. kama baba anamiliki mashamba mengi ya mihogo anawauzia wahindi elf 10 kwa debe wao wanaenda kuuza laki 2 huko uingereza, hapa mtoto anaweza kutumia maarifa na connections ajifunze kufikisha mwenyewe huo mzigo pesa yote inabaki kwenye biashara ya familia.

Sasa Tajiri ana Mabilioni ni vipi elimu ya mwanae anajibana bana ?
Ni kwl unayoongea.....je una ushahidi upi Kuthibitishia haya uyasemayo???


Umefanya research kwa matajiri wangapi???upo close na matajiri wangapi????
 
Umetumia njia gani kufahamu kuwa matajiri hawasomeshi watoto wao shule za kimataifa? Jaribu kutafuta makundi ya watoto wa ki-Tanzania wanaosoma shule kama Tanganyika (IST), Braeburn na Dar es Salaam International Academy (DIA). Hizi ndizo shule zenye ada ndefu sana hapa Tanzania kwa wastani ni zaidi ya Tshs. milioni 40 kwa mwaka.

Unajua kwa nini hizo shule kila mwaka bado zipo? Maana yake zina wateja ukiondoa expatriate maana hili ndilo kundi kubwa lenye watoto huko. Unafikiri ni wa-Tanzania wa kundi gani wanaomudu kusomesha watoto wao shule hizo? Ukiona mzazi mwenye mfuko mpana anajibana ktk elimu ya watoto wake labda pesa zake ni za wizi au kuna njia ya ajabu anazipata zinampa masharti. Hakuna mzazi mwenye akili timamu na pesa anayo ampeleke mwanae shule ya kawaida.
 
Back
Top Bottom