Uhakiki wa vyeti: Wengi watangaza kupotelewa vyeti vya elimu

kuna MTU kamaliza shule muda mlefu sana zaidi ya miaka 10 , issue ya vyeti kaamuwa kufuatilia cheti shuleni kwake kwa bahati mbaya cheti hakipo hakionekani wala aliyechukua hajulikani hakuna mahala popote waliposain kuonyeshe cheti kuna MTU kachukua.
 
Ana uhakika gani kama hao watu wametumia vyeti fake?

Mkikamatwa mkapelekwa mahakamani mnalalamika demokrasia inaminywa.
Mkuu nadhani aliwaza kwa sauti juu ya sababu ya ongezeko la matukio ya kuporelewa na vyeti katika awamu hii tofauti na hali halisi ilivyokuwa ikisikika.kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake juu ya mtazamo wake juu ya hali hii.kwa maoni yako unasemajw juu ya hili? Na sio kukosoa mawazo ya watu kwani yeye ameshirikisha wana JF ikiwa ni sehemu ya kupata mtazamo wao juu ya hili.Tiririka na wewe
 
Hamuna kitu hapo hiyo ni janja ya nyani tu, hao jamaa bwana kwa ninavyo amini ni wale waliokuwa wamegawa vyeti vyao kwa watu wengine,yaani walimpa mtu cheti ili apate kazi kwenye sekita nyingine wakati huo na wao wanafanya sekita nyingine.Kwa hiyo hayo matangazo ni mbinu za kujinasua endapo cheti kimoja kikigongana na mtu mwingine ili kikinuka waseme kwamba tulipotelewa na taarifa ipo polisi na tulisha toa hadi tangazo.Ni hayo tu.
Mkuu wewe ni mjanja sana. Ulichokisema ndiyo ukweli wenyewe.
 
image.jpeg
Wimbi la kupotelewa vyeti limeongezeka ee...
 
Wasituletee ujinga, yaani miaka yote hiyo walikuwa hawajui wamepoteza vyeti?Pumbavu tunaruka nao hivyo hivyo.
 
Inawezekana, uzuri namba za vyeti vyao zinajulikana, NECTA watatoa ushirikiano
 
Back
Top Bottom