UDSM ndio chanzo cha mfubao wa Elimu Tz

WABONGO tunapeleka hella india kununua bajaji wakati tunao maprofesa wa uhandisi waliobobea. naamini ikitoka project ya kuunda kitu mithili ya bajaji itafanikiwa tu na inawezekana. kazi ilopo ni kuwapatia maprofesa wetu elimu nyingine ya kuamini kila kitu kinawezekana na mbongo pia anamudu.
 
Masanja:

Kuna msemo wa kiswahili unaosema nyani haoni .... Kuna chombo kinachoitwa Association of Commonwealth Universities. Kila mwaka kinachapicha kitabu cha Commonwealth Universities Yearbook. Ukichukua Commonwealth Universities Yearbook 1987 na kuangalia namba ya maprofesa na wenye Phd UDSM, utaona hakuna sababu za kimsingi za vyuo vingine visitoe digrii. UDSM haikuanza kama chombo chenye maprofessor na maPhd. walianza mwanzo kama vyuo vingine tu wakiwa na Phd za manati.

Na jinsi serikali ya Tanzania ilivyobahili katika matumizi, wengi waliopata Phd na kurudi kufundisha UDSM, walipata udhamini wa vyuo, mashrika na serikali kutoka nje. Na sababu kubwa ya udhamini huo kuanzisha chuo ambacho kitasaidia maendeleo ya nchi na vilevile kusaidia vyuo vingine kufikia ngazi ya kutoa digrii.

Katika mjadala huu inaonekana kabisa UDSM imekuwa kikwazo kwa vyuo vingine.

Vilevile kutumia kigezo cha ku-publish paper kama ni kigezo vya kupandisha cheo kwa vyuo vichanga ni makosa makubwa. Vyuo vyote Tanzania pamoja na UDSM ni vyuo vya undergraduate na sio research institutions, hivyo walimu hawatakuwa na paper nyingi za ku-publish. Na kama ku-publish paper ni kigezo mbona hatuoni maprofessor wa UDSM katika majarida mbalimbali ya kimataifa?

Na kutokana na kukua kwa mtandao maprofessor wengi wanaweka kazi (paper) zao kwenye mtandao. Mbona niki-google majina ya professor mahiri wa UDSM sipati kitu. Au bado wanatumia type-write kuchapisha paper zao.


Huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mchana kweupe! Paper za maprofesa wa Udsm nyingi ziko mtandaoni, labda utuambie kwamba huwafahamu hawa watu. Kwa kukusaidia tu, hebu tafuta majina haya hapa chini kwa kutumia google na ulete jibu hapa mahali kwamba hujakuta chochote mtandaoni.

1. William Rugumamu (Land Evaluation)
2. Milline Mbonile (Demography)
3. Tolly Mbwette (Civil Engineering)(nasikia kahamishiwa OUT)
4. Salome Misana (Natural Resource Management)
5. Rosalia Katapa (statistics)
6. Pius Yanda
kwa kuwataja wachache
 
Huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mchana kweupe! Paper za maprofesa wa Udsm nyingi ziko mtandaoni, labda utuambie kwamba huwafahamu hawa watu. Kwa kukusaidia tu, hebu tafuta majina haya hapa chini kwa kutumia google na ulete jibu hapa mahali kwamba hujakuta chochote mtandaoni.

1. William Rugumamu (Land Evaluation)
2. Milline Mbonile (Demography)
3. Tolly Mbwette (Civil Engineering)(nasikia kahamishiwa OUT)
4. Salome Misana (Natural Resource Management)
5. Rosalia Katapa (statistics)
6. Pius Yanda
kwa kuwataja wachache

Idimi,
Na mimi MzalendoHalisi (Raslimali za taifa) pia mkigogle mtapata machapisho yangu!

Haswa huhusiana na rushwa na uporaji wa mali ya umma!

Kwi kwi kwi!!!
 
Huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mchana kweupe! Paper za maprofesa wa Udsm nyingi ziko mtandaoni, labda utuambie kwamba huwafahamu hawa watu. Kwa kukusaidia tu, hebu tafuta majina haya hapa chini kwa kutumia google na ulete jibu hapa mahali kwamba hujakuta chochote mtandaoni.

1. William Rugumamu (Land Evaluation)
2. Milline Mbonile (Demography)
3. Tolly Mbwette (Civil Engineering)(nasikia kahamishiwa OUT)
4. Salome Misana (Natural Resource Management)
5. Rosalia Katapa (statistics)
6. Pius Yanda
kwa kuwataja wachache

Paper nyingi kwa watu uliotaja ziko publish hapo hapo UDSM au kwa au mikutano ya SADC ambao wao wenyewe ni reviewers wa paper zenyewe. Na sijaona paper yoyote inayobadilisha mchanga kuwa sambusa zaidi ya kuzungumza vitu vinavyojulikana.
 
Paper nyingi kwa watu uliotaja ziko publish hapo hapo UDSM au kwa au mikutano ya SADC ambao wao wenyewe ni reviewers wa paper zenyewe. Na sijaona paper yoyote inayobadilisha mchanga kuwa sambusa zaidi ya kuzungumza vitu vinavyojulikana.

Bin maryam
mchanga kua sambusa yawezekana bado wakabisha !!fafanua zaidi ili
iwe wazi zaidi hoja yako.

Mimi naungana na wewe sijaona paper yoyote waliyo present ya kubadilisha mchanga kua sambusa.

Haya mambo ya kukalili na kuyaelezea watu waliyokwisha gundua sio paper hizo ndio hapo kufeli kwetu kielimu kulinapojikita.

Paper mtu anatakiwa agundua na ku propose idea yake na aidefendi idea yake hizo ndizo paper.
Mfano wa paper ni kama ya mwana mahesabu FOURIER mfaransa,sio mtu eti unaandika paper kuelezea SPECTRUM ambayo ipo tayari,Andika spectrum na uongelee kitu ambacho bado hakijapata kuongelewa.
Ama uandike paper kupinga kitu fulani na kudefendi idea yako.

Otherwise hizi paper zingine ni za kudumaza tu Elimu yetu.Na kudidimiza uchumi wetu.
 
WABONGO tunapeleka hella india kununua bajaji wakati tunao maprofesa wa uhandisi waliobobea. naamini ikitoka project ya kuunda kitu mithili ya bajaji itafanikiwa tu na inawezekana. kazi ilopo ni kuwapatia maprofesa wetu elimu nyingine ya kuamini kila kitu kinawezekana na mbongo pia anamudu.
heshima mkuu
Hiyo namba ya walio na phd ni kidogo mno inaonyesha wanaofundisha wenye phd ni kama 1000 na tuchukulie haraka haraka hiyo namba tuizidishe kwa mbili na kufanya watanzania wenye phd ni 2000 hayo ni makadirio.

Na nyuo vyetu kila mwaka vinatoa watu wenye phd wachache mnooo.
Na hii yote ni mfuomo dume uliojengwa na udsm na ili kunusuru hali hii lazima jitihada za makusudi zichukuliwe na za haraka zaidi.

Ukienda ktk nchi zinazoendelea kwa kasi ama zilizoendelea utagudua ktk nchi hizo kila mji una university zaidi ya tatu na wanafunzi wanaomaliza university ktk mji mmoja tu inazidi karibu mara mbili ya wanafunzi wanaomaliza university nchini tz.

Cha kujiuliza tz ni nchi ya mwazo mwazo ktk afrika kupata uhuru na udsm imejengwa siku nyingi lakini cha kushangaza hadi miaka ya karibuni kabisa tulikua na chuo kikuu kimoja na kama sikosei pia tz yawezekana ikishika namba tano bora za mwisho ktk afrika kwa kua na university chache.

Hii yote ni ukiritimba wa udsm kuzuia kupata vyuo vikuu vingi na matokeo yake udsm imefelisha elimu ya juu tz na consequese lake ni kufeli kwa uchumi wetu kunakopelekea watu kukosa huduma mhimu.
 
Paper nyingi kwa watu uliotaja ziko publish hapo hapo UDSM au kwa au mikutano ya SADC ambao wao wenyewe ni reviewers wa paper zenyewe. Na sijaona paper yoyote inayobadilisha mchanga kuwa sambusa zaidi ya kuzungumza vitu vinavyojulikana.

Sijaelewa ulichochangia hapa! Hujajibu hoja za jamaa. Hebu angalia maneno mekundu niliyoyawekea bold, ujue jamaa alikuwa hajaona nini kutoka mtandaoni. Ukipata jibu njoo ujibu hoja hapa.
Tuendelee kuelimishana mkuu!
 
Sijaelewa ulichochangia hapa! Hujajibu hoja za jamaa. Hebu angalia maneno mekundu niliyoyawekea bold, ujue jamaa alikuwa hajaona nini kutoka mtandaoni. Ukipata jibu njoo ujibu hoja hapa.
Tuendelee kuelimishana mkuu!

IDIMI:

Sijachukua Phd lakini kwa shule niliyokwenda nimeshaandika papers.

Paper publication hata hapa Marekani ni siasa. Maprofessor wakubwa wana-recycle paper zao. Na kuongeza idadi ya paper, paper moja inachangiwa na waandishi zaidi ya wawili wakati kichwa kilichofanya kazi ni kimoja. Na hicho nimekiona kwa kuangalia CV za maprofessor uliotaja. Zimejaa paper zenye washikaji.

Na hili kuweza ku-publish paper, ma-professor wengi wana-submit katika Journal ndogondogo au za University zao na wao wakiwa kama reviewers. Moja ya maprofessor ulioweka hapo, zaidi ya 75% paper zake zimetolewa na UDSM.

Kuwa Mwalimu wa University na wakati huohuo reseacher wa ku-publish paper kunahitaji muda, pesa na nyenzo. Shule niliyosoma mwalimu anafundisha vipindi viwili tu kwa wiki na muda uliobaki anafanya research. Kwa mtaji huo ni lazima paper za nguvu zije.

Mwalimu wa Mzumbe, DIT au vyuo chochote cha elimu ya juu Tanzania ana madarasa makubwa, pesa kiduchu na muda mwingi anatumia akiwa darasani na wanafunzi, huo muda wa kufanya research na kuandika paper hatatoa wapi? Hivyo unaposema Mwalimu wa Mzumbe kaandika paper tatu, je mmeangalia workload ya Mwalimu wa Mzumbe.

Mimi ni mzalendo na kwa uzoefu wangu wa kusoma nje nimeona nchi za wenzetu zina uzalendo mkubwa katika mambo ya elimu. Wayahudi waliokuwa Urusi kuna waliokataliwa kujiunga na university. Na walichofanya ni kujifunza wenyewe majumbani. Walipohamia Israel, walipewa kozi fupi na kupewa digrii zao na wengine ni Maprofessor wakubwa. Hivi mtu ajisomee mwenyewe nyumbani anaweza kupewa digrii hapo UDSM?

Kuna wayahudi na wahindi kibao wanaofundisha vyuo vikubwa hapa Marekani na wakati wa summer wanarudi kwenye nchi zao za jadi kufundisha. Kwanini maprofessor wa UDSM wasijitume kwenda kusaidia kuinua maendeleo ya vyuo vingine kama vile Mzumbe?

Kuna mtu katoa mfano wa Auditing kuwa wanafunzi wa UDSM wanafanya vizuri kuliko wa Mzumbe. Makampuni ya Tanzania mengi ya watu wenye Mentality za namna moja. Mwanafunzi anapopata ajira ya kwanza, hana uzoefu wowote wa kazi (Entry level) na anatakiwa apewe mwaka mmoja wa kujifunza kazi. Kwa mtaji huu mwanafunzi wa UDSM, Mzumbe, DIT wakipewa mwaka mmoja wa kujifunza (Entry Level), baada ya mwaka mmoja itakayotumia ni talent tu.
 
Mfubao wa elimu tanzania ulisababishwa na nyerere, maamizu yake ndiyo yaliyokuwa chanzo cha kufa kwa elimu Tanzania. Alihakikisha kuwa shule zote zilikuwa chini ya serikali na zina-fundisha "ujamaa na kujitegeme", wakati hao serikali wenyewe walikuwa bado mbumbumbu, nyerere alikuwa na maamuzi mabovu sana, kwenye karibu kila nyanja.

Hicho chuo kikuu chenyewe kinachoongelewa (UDSM), ilikuwa si wazo la nyerere wala la serikali yake, hicho kilikuwa ni chuo kilichobuniwa na waislam, East afrika Muslim Walfare Society na kilikuwa kifadhiliwe na H. H. The Aga Khan, ambae tunaona mpaka leo jinsi shule zake, Agha Khan, zilivyo. Na sasa wanaanzisha tena chuo kikuu cha Aga Khan, kipo jikoni.
 
Mfubao wa elimu tanzania ulisababishwa na nyerere, maamizu yake ndiyo yaliyokuwa chanzo cha kufa kwa elimu Tanzania. Alihakikisha kuwa shule zote zilikuwa chini ya serikali na zina-fundisha "ujamaa na kujitegeme", wakati hao serikali wenyewe walikuwa bado mbumbumbu, nyerere alikuwa na maamuzi mabovu sana, kwenye karibu kila nyanja.

Hicho chuo kikuu chenyewe kinachoongelewa (UDSM), ilikuwa si wazo la nyerere wala la serikali yake, hicho kilikuwa ni chuo kilichobuniwa na waislam, East afrika Muslim Walfare Society na kilikuwa kifadhiliwe na H. H. The Aga Khan, ambae tunaona mpaka leo jinsi shule zake, Agha Khan, zilivyo. Na sasa wanaanzisha tena chuo kikuu cha Aga Khan, kipo jikoni.

Lakini nyerere aling'atuka mwaka 1985 na bado baada ya hapo kuna nchi kadhaa zilikua hazijapata uhuru kwa namna nyingine zilipata uhuru baada ya 1985 lakini leo zinatuzidi kwa kila kitu.
 
Hivi wandugu na wadau mnaojua maana ya Elimu kwa kuonyesha namna mnavyotambua unyeti wa chuo pekee bora Tanzania na Afrika ya Mashariki (i.e. UDSM); kwa nini mnabishana na watu walioathirika na ugonjwa mbaya unaoitwa "Inferiority Complex"..?? Waacheni waongee weeee, mpaka wachoke. Kisha muwaulize sababu za wao kutokwenda Mlimani hata wakaenda kwenye hivyo vyuo vyao...!! Watajitetea kwa sababu kede kede, lakini ukweli ni kuwa, hawana marks za kuwatumbukiza pale kwenye kitovu cha elimu ya bongo. Wewe piga one yako ya maana halafu uniambie kama utaenda DIT au CBE au TIA au IAA au Mzumbe. Obviously utaenda mlimani. Na ukumbuke kuwa Mlimani ni chuo cha 64 kwa ubora duniani. Kwa hiyo mnapoongea muwe mnalikumbuka hilo, then rank your so called Universities if not colleges.

Sasa kujustify hilo wanaanza kukiponda chuo cha wataalamu wa nchi. Uzembe wa outputs za mlimani, sio judgements za kusema kuwa mlimani ni pumba, uzembe ni mtu mwenyewe na sio chuo..!! Mnajua kesi ya Anderson (kampuni ya kimataifa ya ukaguzi iliyofilisiwa) dhidi ya Enron..?? Unajua kuwa waliofanya utumbo walitoka katika chuo kinachoheshimika duniani (i.e. Havard University)...?? Sasa hapo ni swala la chuo au ni uzembe binafsi. Kuna mapungufu ndio, pale mlimani, but hayo ni kutokana na utanzania wetu, na ukiuconsider utanzania wetu, utagundua mchemsho unakoanzia.

Muwe wapole na kukubali ukweli kuwa mlimani kinaheshimika East Africa.
 
Hivi wandugu na wadau mnaojua maana ya Elimu kwa kuonyesha namna mnavyotambua unyeti wa chuo pekee bora Tanzania na Afrika ya Mashariki (i.e. UDSM); kwa nini mnabishana na watu walioathirika na ugonjwa mbaya unaoitwa "Inferiority Complex"..?? Waacheni waongee weeee, mpaka wachoke. Kisha muwaulize sababu za wao kutokwenda Mlimani hata wakaenda kwenye hivyo vyuo vyao...!! Watajitetea kwa sababu kede kede, lakini ukweli ni kuwa, hawana marks za kuwatumbukiza pale kwenye kitovu cha elimu ya bongo. Wewe piga one yako ya maana halafu uniambie kama utaenda DIT au CBE au TIA au IAA au Mzumbe. Obviously utaenda mlimani. Na ukumbuke kuwa Mlimani ni chuo cha 64 kwa ubora duniani. Kwa hiyo mnapoongea muwe mnalikumbuka hilo, then rank your so called Universities if not colleges.

Sasa kujustify hilo wanaanza kukiponda chuo cha wataalamu wa nchi. Uzembe wa outputs za mlimani, sio judgements za kusema kuwa mlimani ni pumba, uzembe ni mtu mwenyewe na sio chuo..!! Mnajua kesi ya Anderson (kampuni ya kimataifa ya ukaguzi iliyofilisiwa) dhidi ya Enron..?? Unajua kuwa waliofanya utumbo walitoka katika chuo kinachoheshimika duniani (i.e. Havard University)...?? Sasa hapo ni swala la chuo au ni uzembe binafsi. Kuna mapungufu ndio, pale mlimani, but hayo ni kutokana na utanzania wetu, na ukiuconsider utanzania wetu, utagundua mchemsho unakoanzia.

Muwe wapole na kukubali ukweli kuwa mlimani kinaheshimika East Africa.

acha pumba, nionyeshe data zinazoonyesha UDSM ni ya 64 duniani. pia hatuoneani kebei, kuna watu wanaenda iriboru f4 na point seven, na bado wanazungusha, huku watu wengine wanaenda shule za kawaida na wanafanya vizuri kuliko.

pia usiongee kwa jaziba, watu wengi sasa hivi wanapenda sana kwenda Mzumbe na vyuo vingine, hayo yanaonekana katika competition. inasemekana baadhi ya course MU kama huna point 3-6 hupati admition, hii ni kama Bachelor of accounting and financing, na sheria. ila udsm becom unapata. unajua kuna propaganda nyingi sana huwezi elewa. ila wale wanaopiga kelele kuwa tuwe na chuo kimoja, mbona South Africa inavyuo ving na bado inafanya kazi vizuri? UDSM wengi wanpigia kelele kuwa wa 23 bora Africa, sawalakini for the benefit of our country, and its people vipi? mbona wakenya wanavyuo vingi tu na bado utendaji kazi wao unasemekana kuwa mzuri kuliko tanzania Refer sakata la PEPSI wiki hili.

Nimejifunza mengi sana, Mkamap na Bi Mariam, endelea kutufungua macho, wanaotapika watapike hapa hapa.

Nimegundua kwa nini viongozi wetu wanakuwa Mazezeta, Nimegundua kwa nini Licha ya Kikwete kuitimu UDSM, akatamani kuanzisha chuo chake dodoma, nimejua kwa nini Mkapa alikuwa anawaponda sana Udsm na malecturer wake. nasikia kwenye uongozi wake alienda mara maja tu kuonea na wanafunzi na walimu. nimejua kwa nini Muungwana alisema hatuna wataalam, licha ya kuwa tuna chuo kikongwe.

ninachokijua ni kwamba, hawa jamaa hufundisha nidham ya jeshi, kuwa ukinipinga ninakukamata. uo uzezeta uendelea mpaka kazini. kuwa ukinipinga ninakukamata. ndiyo maana mikataba mingi ya nchi inasainiwa kana kwamba hatuna wataalam, sababu ya nidham ya uzezeto. kuna faida gani chuo kuwa cha kwanza na nchi ikaendelea kuwa na watu masikini. kazi ni kuanzisha maandamano ya siasa badala ya Mikataba mibovu,na utendaji mbovu. leo nasikia wameandamana. mbona hawaandamani kupinga mikataba mibovu. hatuna wasomi kabisa. wanajua kuandamana na kupinga siasa za kenya wakati siasa zao ni mbaya kuliko za kule wanakoona. wanafiki sana hawa.

tuwe macho ila uzuri hawa watu wanasoma.

si kweli kuwa UDSM tunapendelewa kuajiriwa, hata wa Mzumbe wanaajiriwa sana mpaka sisi wa udsm tumebadirika na kusema eti It is because they are cheaply paid. hawa vijana wa MU DIt IFM nk huwa wanachapa kazi na hawana siasa kazini ndiyo maana wanaajiriwa sana, wala sio kwa sababu they are cheaply paid.
 
Hivi wandugu na wadau mnaojua maana ya Elimu kwa kuonyesha namna mnavyotambua unyeti wa chuo pekee bora Tanzania na Afrika ya Mashariki (i.e. UDSM); kwa nini mnabishana na watu walioathirika na ugonjwa mbaya unaoitwa "Inferiority Complex"..?? Waacheni waongee weeee, mpaka wachoke. Kisha muwaulize sababu za wao kutokwenda Mlimani hata wakaenda kwenye hivyo vyuo vyao...!! Watajitetea kwa sababu kede kede, lakini ukweli ni kuwa, hawana marks za kuwatumbukiza pale kwenye kitovu cha elimu ya bongo. Wewe piga one yako ya maana halafu uniambie kama utaenda DIT au CBE au TIA au IAA au Mzumbe. Obviously utaenda mlimani. Na ukumbuke kuwa Mlimani ni chuo cha 64 kwa ubora duniani. Kwa hiyo mnapoongea muwe mnalikumbuka hilo, then rank your so called Universities if not colleges.

Sasa kujustify hilo wanaanza kukiponda chuo cha wataalamu wa nchi. Uzembe wa outputs za mlimani, sio judgements za kusema kuwa mlimani ni pumba, uzembe ni mtu mwenyewe na sio chuo..!! Mnajua kesi ya Anderson (kampuni ya kimataifa ya ukaguzi iliyofilisiwa) dhidi ya Enron..?? Unajua kuwa waliofanya utumbo walitoka katika chuo kinachoheshimika duniani (i.e. Havard University)...?? Sasa hapo ni swala la chuo au ni uzembe binafsi. Kuna mapungufu ndio, pale mlimani, but hayo ni kutokana na utanzania wetu, na ukiuconsider utanzania wetu, utagundua mchemsho unakoanzia.

Muwe wapole na kukubali ukweli kuwa mlimani kinaheshimika East Africa.

Mhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Pole
harafu ukumbuke na walimu wako wanayasoma haya
 
Hivi wandugu na wadau mnaojua maana ya Elimu kwa kuonyesha namna mnavyotambua unyeti wa chuo pekee bora Tanzania na Afrika ya Mashariki (i.e. UDSM); kwa nini mnabishana na watu walioathirika na ugonjwa mbaya unaoitwa "Inferiority Complex"..?? Waacheni waongee weeee, mpaka wachoke. Kisha muwaulize sababu za wao kutokwenda Mlimani hata wakaenda kwenye hivyo vyuo vyao...!! Watajitetea kwa sababu kede kede, lakini ukweli ni kuwa, hawana marks za kuwatumbukiza pale kwenye kitovu cha elimu ya bongo. Wewe piga one yako ya maana halafu uniambie kama utaenda DIT au CBE au TIA au IAA au Mzumbe. Obviously utaenda mlimani. Na ukumbuke kuwa Mlimani ni chuo cha 64 kwa ubora duniani. Kwa hiyo mnapoongea muwe mnalikumbuka hilo, then rank your so called Universities if not colleges.

Sasa kujustify hilo wanaanza kukiponda chuo cha wataalamu wa nchi. Uzembe wa outputs za mlimani, sio judgements za kusema kuwa mlimani ni pumba, uzembe ni mtu mwenyewe na sio chuo..!! Mnajua kesi ya Anderson (kampuni ya kimataifa ya ukaguzi iliyofilisiwa) dhidi ya Enron..?? Unajua kuwa waliofanya utumbo walitoka katika chuo kinachoheshimika duniani (i.e. Havard University)...?? Sasa hapo ni swala la chuo au ni uzembe binafsi. Kuna mapungufu ndio, pale mlimani, but hayo ni kutokana na utanzania wetu, na ukiuconsider utanzania wetu, utagundua mchemsho unakoanzia.

Muwe wapole na kukubali ukweli kuwa mlimani kinaheshimika East Africa.

haya mawazo si ya undergraduate student. kuna utumbo mwingi sana. soma tena uone na uedit mwenyewe.
 
Mhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Pole
harafu ukumbuke na walimu wako wanayasoma haya


Uganda: Makerere University Ranking Up

The Monitor (Kampala)




Email This Page

Print This Page

Comment on this article



The Monitor (Kampala)

8 February 2008
Posted to the web 7 February 2008

Kampala

MAKERERE University has significantly moved up the rankings of the top 100 universities in Africa.

According to the latest rankings of world universities updated in January 2008, the 86-year old university is now placed at number 47th, seven steps up from where it was last year.

Makerere is also the only Ugandan university that features on the list. The Uganda Christian University that was 97th in 2007 is off the current ratings.

The highest ranked University in East Africa is Strathmore University Nairobi at number 21. Others are University of Dar es Salaam (22), University of Nairobi (25), Egerton University (33) and National University of Rwanda (44).

link
http://allafrica.com/stories/200802070959.html

nyie pigeni kelele tuuuu Angalieni wa kenya wanavyowekeza elimu ya juu na hawa ndio tishio ktk soko la ajira afrika mashariki nani anabisha
Udsm inaua elimu yetu badirisheni hiyo mental come on!!!!!!!!
 
Uganda: Makerere University Ranking Up

The Monitor (Kampala)




Email This Page

Print This Page

Comment on this article



The Monitor (Kampala)

8 February 2008
Posted to the web 7 February 2008

Kampala

MAKERERE University has significantly moved up the rankings of the top 100 universities in Africa.

According to the latest rankings of world universities updated in January 2008, the 86-year old university is now placed at number 47th, seven steps up from where it was last year.

Makerere is also the only Ugandan university that features on the list. The Uganda Christian University that was 97th in 2007 is off the current ratings.

The highest ranked University in East Africa is Strathmore University Nairobi at number 21. Others are University of Dar es Salaam (22), University of Nairobi (25), Egerton University (33) and National University of Rwanda (44).

link
http://allafrica.com/stories/200802070959.html

nyie pigeni kelele tuuuu Angalieni wa kenya wanavyowekeza elimu ya juu na hawa ndio tishio ktk soko la ajira afrika mashariki nani anabisha
Udsm inaua elimu yetu badirisheni hiyo mental come on!!!!!!!!

UDSM ktk rank ya dunia ni ya 4081 hii ndio mnaitegemea kweli ilete changes???
unajua unaweza ukawa wa kwanza kwa wajinga ,hawa ma prof wa udsm nao pumba tupu haiwezekani wawe wamebobea university iwe ya 4081

link
http://www.webometrics.info/top100_continent.asp?cont=africa

CONTINENT RANK

UNIVERSITY

COUNTRY

. . WORLD RANK


1 UNIVERSITY OF CAPE TOWN Flag of za 349
2 RHODES UNIVERSITY Flag of za 624
3 STELLENBOSCH UNIVERSITY Flag of za 653
4 UNIVERSITY OF PRETORIA Flag of za 686
5 UNIVERSITY OF THE WITWATERSRAND Flag of za 703
6 UNIVERSITY OF THE WESTERN CAPE Flag of za 1,115
7 UNIVERSITY OF SOUTH AFRICA Flag of za 1,307
8 UNIVERSITY OF KWAZULU NATAL Flag of za 1,309
9 AMERICAN UNIVERSITY IN CAIRO Flag of eg 1,691
10 UNIVERSITE DE LA REUNION Flag of re 1,705
11 NELSON MANDELA METROPOLITAN UNIVERSITY Flag of za 2,137
12 UNIVERSITY OF THE FREE STATE Flag of za 2,383
13 CAIRO UNIVERSITY Flag of eg 2,492
14 UNIVERSITE CHEIKH ANTA DIOP DE DAKAR Flag of sn 3,038
15 UNIVERSITY OF ZIMBABWE Flag of zw 3,453
16 UNIVERSITE ABDELMALEK ESSADI Flag of ma 3,664
17 INSTITUT UNIVERSITAIRE DE FORMATION DES MAITRES DE LA REUNION Flag of re 3,681
18 UNIVERSITY OF MAURITIUS Flag of mu 3,723
19 UNIVERSITY OF JOHANNESBURG Flag of za 3,895
20 UNIVERSITE CADI AYYAD Flag of ma 3,962
21 STRATHMORE UNIVERSITY NAIROBI Flag of ke 3,989
22 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Flag of tz 4,081
23 UNIVERSITY OF NAMIBIA Flag of na 4,084
24 POLYTECHNIC OF NAMIBIA Flag of na 4,163
25 UNIVERSITY OF NAIROBI Flag of ke 4,205
26 UNIVERSIDADE EDUARDO MONDLANE Flag of mz 4,266
27 ARAB ACADEMY FOR SCIENCE & TECHNOLOGY AND MARITIME TRANSPORT Flag of eg 4,302
28 AIN SHAMS UNIVERSITY Flag of eg 4,407
29 ECOLE MOHAMMADIA D'INGENIEURS Flag of ma 4,774
30 AL AKHAWAYN UNIVERSITY IFRANE Flag of ma 4,790
31 MANSOURA UNIVERSITY Flag of eg 4,822
32 ADDIS ABABA UNIVERSITY Flag of et 4,850
33 EGERTON UNIVERSITY Flag of ke 4,962
34 INSTITUT AGRONOMIQUE ET VETERINAIRE HASSAN II Flag of ma 5,149
35 NORTH WEST UNIVERSITY Flag of za 5,195
36 UNIVERSITE ABOU BEKR BELKAID TLEMCEN Flag of dz 5,331
37 UNIVERSITE DE OUAGADOUGOU Flag of bf 5,422
38 GERMAN UNIVERSITY IN CAIRO Flag of eg 5,719
39 TSHWANE UNIVERSITY OF TECHNOLOGY Flag of za 5,739
40 UNIVERSITY OF BOTSWANA Flag of bw 5,772
41 ZAGAZIG UNIVERSITY Flag of eg 5,786
42 UNIVERSITY OF BENIN Flag of ng 5,994
43 UNIVERSITE DE BATNA Flag of dz 6,011
44 NATIONAL UNIVERSITY OF RWANDA Flag of rw 6,053
45 CAPE PENINSULA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY Flag of za 6,262
46 UNIVERSITY OF KHARTOUM Flag of sd 6,398
47 MAKERERE UNIVERSITY Flag of ug 6,413
48 MOGADISHU UNIVERSITY Flag of so 6,445
49 UNIVERSITY OF FORT HARE Flag of za 6,478
50 ECOLE SUPERIEURE PRIVEE D'INGENIERIE ET DE TECHNOLOGIES Flag of tn 6,492
51 FACULTE DES SCIENCES RABAT Flag of ma 6,496
52 UNIVERSITY OF GHANA Flag of gh 6,576
53 UNIVERSITY OF ZULULAND Flag of za 6,594
54 ASSIUT UNIVERSITY Flag of eg 6,653
55 UNIVERSITE MOHAMMED PREMIER OUJDA Flag of ma 6,737
56 ECOLE NATIONALE SUPERIEURE D'INFORMATIQUE ET D'ANALYSE DES SYSTEMES ENSIAS Flag of ma 6,790
57 UNIVERSITY OF ZAMBIA Flag of zm 7,016
58 AWOLOWO UNIVERSITY Flag of ng 7,017
59 FACULTE DE MEDECINE & PHARMACIE Flag of ma 7,180
60 UNIVERSITE VIRTUELLE DE TUNIS Flag of tn 7,347
61 UNIVERSITE D'ALGER Flag of dz 7,377
62 ECOLE DU PATRIMOINE AFRICAIN Flag of bj 7,391
63 AMOUD UNIVERSITY Flag of so 7,432
64 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE Flag of tz 7,481
65 UNIVERSITE SIDI MOHAMED BEN ABDELLAH FES Flag of ma 7,506
66 AFRICAN VIRTUAL UNIVERSITY Flag of ke 7,532
67 SUDAN UNIVERSITY OF SCIENCE & TECHNOLOGY Flag of sd 7,624
68 MANGOSUTHU TECHNIKON Flag of za 7,629
69 UNIVERSITY OF MALAWI Flag of mw 7,630
70 UNIVERSITE DES SCIENCES ET DE LA TECHNOLOGIE HOUARI BOUMEDIENE Flag of dz 7,724
71 UNIVERSITE M'HAMED BOUGARA DE BOUMERDES Flag of dz 7,820
72 FACULTE DES SCIENCES TETOUAN Flag of ma 7,825
73 INSTITUT SUPERIEUR DE L'INFORMATION ET DE LA COMMUNICATION Flag of ma 7,877
74 GARYOUNIS UNIVERSITY Flag of ly 7,884
75 MOI UNIVERSITY Flag of ke 7,911
76 UNIVERSITE DE BLIDA Flag of dz 7,962
77 UNIVERSITE SENGHOR D'ALEXANDRIE Flag of eg 8,032
78 KWAME NKRUMAH UNIVERSITY OF SCIENCE & TECHNOLOGY Flag of gh 8,039
79 UNIVERSITY OF BURAO Flag of so 8,108
80 ECOLE NATIONALE POLYTECHNIQUE D'ALGER Flag of dz 8,114
81 UNIVERSITE MOHAMMED V SOUISSI Flag of ma 8,131
82 AL AZHAR AL-SHARIF ISLAMIC RESEARCH ACADEMY Flag of eg 8,135
83 PAN-AFRICAN UNIVERSITY Flag of ng 8,160
84 MONASH UNIVERSITY SOUTH AFRICA Flag of za 8,228
85 INSTITUT DE FORMATION EN TECHNOLOGIE ALIMENTAIRE Flag of ma 8,229
86 UNIVERSITE HASSAN II AIN-CHOCK Flag of ma 8,276
87 AMERICAN UNIVERSITY OF KINSHASA Flag of cd 8,286
88 VAAL UNIVERSITY OF TECHNOLOGY Flag of za 8,309
89 UNIVERSITE CHOUAIB DOUKKALI Flag of ma 8,320
90 UNIVERSITE DE NOUAKCHOTT Flag of mr 8,409
91 CENTRAL UNIVERSITY OF TECHNOLOGY Flag of za 8,445
92 UNIVERSITY OF TANTA Flag of eg 8,480
93 UNIVERSITE DJILLALI LIABES Flag of dz 8,511
94 COLLEGE OF MEDICINE UNIVERSITY OF MALAWI Flag of mw 8,535
95 UNIVERSIDADE CATOLICA DE ANGOLA Flag of ao 8,548
96 CENTRE AFRICAIN D'ETUDES SUPERIEURES EN GESTION SENEGAL Flag of sn 8,598
97 MINUFIYA UNIVERSITY Flag of eg 8,599
98 INSTITUT NATIONAL DE FORMATION EN INFORMATIQUE Flag of dz 8,634
99 UNIVERSITE ABDELHAMID IBN BADIS MOSTAGANEM Flag of dz 8,657
100 UNIVERSITY OF IBADAN Flag of ng 8,661
Universities 1 to 100 of 100
Nobel Prize for Tim Berners Lee
Support the campaign: copy this banner in your website
StatCounter - Free Web Tracker and Counter
Statistics Creative Commons License

CINDOC-CSIC© 2008
Top
 
Hivi wandugu na wadau mnaojua maana ya Elimu kwa kuonyesha namna mnavyotambua unyeti wa chuo pekee bora Tanzania na Afrika ya Mashariki (i.e. UDSM); kwa nini mnabishana na watu walioathirika na ugonjwa mbaya unaoitwa "Inferiority Complex"..?? Waacheni waongee weeee, mpaka wachoke. Kisha muwaulize sababu za wao kutokwenda Mlimani hata wakaenda kwenye hivyo vyuo vyao...!! Watajitetea kwa sababu kede kede, lakini ukweli ni kuwa, hawana marks za kuwatumbukiza pale kwenye kitovu cha elimu ya bongo. Wewe piga one yako ya maana halafu uniambie kama utaenda DIT au CBE au TIA au IAA au Mzumbe. Obviously utaenda mlimani. Na ukumbuke kuwa Mlimani ni chuo cha 64 kwa ubora duniani. Kwa hiyo mnapoongea muwe mnalikumbuka hilo, then rank your so called Universities if not colleges.

Sasa kujustify hilo wanaanza kukiponda chuo cha wataalamu wa nchi. Uzembe wa outputs za mlimani, sio judgements za kusema kuwa mlimani ni pumba, uzembe ni mtu mwenyewe na sio chuo..!! Mnajua kesi ya Anderson (kampuni ya kimataifa ya ukaguzi iliyofilisiwa) dhidi ya Enron..?? Unajua kuwa waliofanya utumbo walitoka katika chuo kinachoheshimika duniani (i.e. Havard University)...?? Sasa hapo ni swala la chuo au ni uzembe binafsi. Kuna mapungufu ndio, pale mlimani, but hayo ni kutokana na utanzania wetu, na ukiuconsider utanzania wetu, utagundua mchemsho unakoanzia.

Muwe wapole na kukubali ukweli kuwa mlimani kinaheshimika East Africa.

Kishazi:

Ranking zina maana yake na zina vigezo vingi. Kuna ranking ya department, kuna ranking ya methodologies, kuna ranking ya graduate program, kuna ranking ya MBA, kuna ranking publication na research, kuna ranking ya student newpapers n.k

Hivyo unaposema UDSM inaongoza katika Afrika mashariki inaongoza kwa vigezo gani? Sio unalopoka ranking bila kujua ni kigezo gani?
na kama unataka ranking za university. Wachina wameshafanyia kazi ranking za universities dunia. Nenda kwenye hii website na angalia UDSM hiko wapi:

http://ed.sjtu.edu.cn/rank/2005/ARWU2005Main.htm

Halafu bila aibu unaleta mambo ya division one. Moja ya sababu za kuzorota kwa elimu ni hizo division zenu. Umeshindana kupata nafasi ya kwenda sekondari kwa kutumia ushindani, umepata nafasi ya kwenda high school kwa kutumia division na umepata nafasi ya kwenda university kwa kutumia division. Ngazi zote za elimu ulizopita ilibidi ushinde hili kupata nafasi ya kuendelea mbele na matokeo yake unajenga Superiority complex na kushindwa kujenga profession itakayokusaidia wewe na jamii yako maishani.

Unaposema tuwe wapole kwa sababu mlimani inaheshimika Afrika mashariki sioni sababu zote. Katika mijadala ya kuunda jumuia ya Afrika mashariki watu wa Mlimani mlipinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kuwa wahitimu wa kutoka Uganda na Kenya watawapiga magori. Kama wewe ni superior kwanini unashindwa kumwaga material kwa simple english tu?
 
acha pumba, nionyeshe data zinazoonyesha UDSM ni ya 64 duniani. pia hatuoneani kebei, kuna watu wanaenda iriboru f4 na point seven, na bado wanazungusha, huku watu wengine wanaenda shule za kawaida na wanafanya vizuri kuliko.

pia usiongee kwa jaziba, watu wengi sasa hivi wanapenda sana kwenda Mzumbe na vyuo vingine, hayo yanaonekana katika competition. inasemekana baadhi ya course MU kama huna point 3-6 hupati admition, hii ni kama Bachelor of accounting and financing, na sheria. ila udsm becom unapata. unajua kuna propaganda nyingi sana huwezi elewa. ila wale wanaopiga kelele kuwa tuwe na chuo kimoja, mbona South Africa inavyuo ving na bado inafanya kazi vizuri? UDSM wengi wanpigia kelele kuwa wa 23 bora Africa, sawalakini for the benefit of our country, and its people vipi? mbona wakenya wanavyuo vingi tu na bado utendaji kazi wao unasemekana kuwa mzuri kuliko tanzania Refer sakata la PEPSI wiki hili.

Nimejifunza mengi sana, Mkamap na Bi Mariam, endelea kutufungua macho, wanaotapika watapike hapa hapa.

Nimegundua kwa nini viongozi wetu wanakuwa Mazezeta, Nimegundua kwa nini Licha ya Kikwete kuitimu UDSM, akatamani kuanzisha chuo chake dodoma, nimejua kwa nini Mkapa alikuwa anawaponda sana Udsm na malecturer wake. nasikia kwenye uongozi wake alienda mara maja tu kuonea na wanafunzi na walimu. nimejua kwa nini Muungwana alisema hatuna wataalam, licha ya kuwa tuna chuo kikongwe.

ninachokijua ni kwamba, hawa jamaa hufundisha nidham ya jeshi, kuwa ukinipinga ninakukamata. uo uzezeta uendelea mpaka kazini. kuwa ukinipinga ninakukamata. ndiyo maana mikataba mingi ya nchi inasainiwa kana kwamba hatuna wataalam, sababu ya nidham ya uzezeto. kuna faida gani chuo kuwa cha kwanza na nchi ikaendelea kuwa na watu masikini. kazi ni kuanzisha maandamano ya siasa badala ya Mikataba mibovu,na utendaji mbovu. leo nasikia wameandamana. mbona hawaandamani kupinga mikataba mibovu. hatuna wasomi kabisa. wanajua kuandamana na kupinga siasa za kenya wakati siasa zao ni mbaya kuliko za kule wanakoona. wanafiki sana hawa.

tuwe macho ila uzuri hawa watu wanasoma.

si kweli kuwa UDSM tunapendelewa kuajiriwa, hata wa Mzumbe wanaajiriwa sana mpaka sisi wa udsm tumebadirika na kusema eti It is because they are cheaply paid. hawa vijana wa MU DIt IFM nk huwa wanachapa kazi na hawana siasa kazini ndiyo maana wanaajiriwa sana, wala sio kwa sababu they are cheaply paid.


Mushobozi:

Mimi sina bifu na UDSM lakini siku zote napinga myth. Chuo kikubwa kabisa katika nchi kinatoa wahitimu 3000 kwa mwaka na bado watu wanaona mafanikio. Hayo sio mafanikio katika nchi yenye watu 34 Millioni na zaidi.

Kwenye website za UNESCO, zinaonyesha kabisa kuwa watanzania wanajiandikisha kwa wingi katika elimu ya msingi (700,000). Idadi ya wanaofanya mitihani ya O level ni 50,000. Na wanaomaliza High school ni 20,000. Na wanaomaliza UDSM 3,000. Kwa uwiano wa wanaojiandikisha shule za msingi na wale wanaomaliza universities, Tanzania hipo nyuma sana hata kwa standard za Afrika.

Katika maendeleo ya sasa wahitimu wa vyuo vya juu ndio wanaoleta maendeleo. Katibu muhtasi mwenye digrii anamsaidia vizuri sana bosi wake kuliko yule anayejua kupiga chapa tu.

Na ukiangalia zaidi ni kuwa nchi za dunia ya tatu zenye kufaidika na wawekezaji kutoka nje ni zenye wasomi kwa sababu wasomi wataleta ufanisi wa kazi.

Nchi kama Tanzania isiyo na wasomi itaendelea kwa miaka mingi ijayo kupata wawekezaji katika sekta za madini au uchumaji maliasili. Katika sekta hizi siku zote atakeondoka na bonge nono ni mwekezaji tu.
 
Mfubao wa elimu tanzania ulisababishwa na nyerere, maamizu yake ndiyo yaliyokuwa chanzo cha kufa kwa elimu Tanzania. Alihakikisha kuwa shule zote zilikuwa chini ya serikali na zina-fundisha "ujamaa na kujitegeme", wakati hao serikali wenyewe walikuwa bado mbumbumbu, nyerere alikuwa na maamuzi mabovu sana, kwenye karibu kila nyanja.

Hicho chuo kikuu chenyewe kinachoongelewa (UDSM), ilikuwa si wazo la nyerere wala la serikali yake, hicho kilikuwa ni chuo kilichobuniwa na waislam, East afrika Muslim Walfare Society na kilikuwa kifadhiliwe na H. H. The Aga Khan, ambae tunaona mpaka leo jinsi shule zake, Agha Khan, zilivyo. Na sasa wanaanzisha tena chuo kikuu cha Aga Khan, kipo jikoni.

Zomba, Zomba. Hata hapa unaingiza udini? Waliotafuta kiwanja wakina Chief Patrick Kunambi walikuwa waislamu? Huyo Aga Khan leo mmemuona muislamu? Hawa waismaili si kila siku mlikuwa mnawakataa! Leo nongwa. Hivi ni nani alimzuia Aga Khan kuanzisha Chuo Kikuu? Mbona mlipewa nafasi Chang'ombe na hamna kilichofanyika isipokuwa kuweka jiwe la msingi? na hicho cha Morogoro ambacho mmepewa? Si mkatoliki mwingine aliyewapa? Huyo Nyerere unayemlani, si ndiye aliyezifanya shule zoteziwe wazi kwa watanzania wote, bila kujali dini wala rangi? Si huyo huyo alitufanya Tanzania tuwe na moja ya the highest literacy rate Afrika? Mchukie Nyerere na wakristu lakini muogope Mungu wako!
 
Back
Top Bottom