Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Ogah and TzPride,
nadhani mnaufahamau fika ule usemi
"do not argue with a fool because when people see you they ill not know the difference" I guess you get my drift,.............
Mkamap,
I am sorry maelezo yako toka mwanzo ni hafifu kitaaluma, kihoja, hata katika kujieleza haujatulia kabisa. Details zako na heading uliyoweka havilingani. Kama unataka kutoa changamoto ya kuendeleza elimu basi spend less time hating and more time contributing, Masua is a well respected Professor, be a better professor than him then challenge his choices and decisions that he once made there you will make a difference rather than spending time insulting people.
This is my last post to you. I need this energy more than you know!
PEACE
Unajua wewe hapa unatumia evidence na logic katika arguments zako wakati mwenzenu mkamap anatumia roho (emotions), sasa hapo mtakesha. Hata hivyo nafikiri shule uliyokwisha kuitoa ni kubwa na watakuwa wameshaelimika sema tu inabidi waendelee ili mjdala huu usife. Kudos sana and keep it up!