pesa na kufanya dhifa ya taifa na mashoga wanayo
Hebu tuondolee ujinga hapa na elimu yako ya Malampaka. Wewe unadhani hata hyo dhifa isingekuwepo hiyo hela ndo ingepelekwa huko UDSM? Mbona unashindwa kutofautisha majukumu ya taasisi za utawala? Kwa hiyo kesho utasema hata chai inayonywewa Ikulu wangepewa wanafunzi. Matatizo hayatatuliwi kwa njia isiyo endelevu na ya jazba kama yako!