Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Kwa mara ya kwnza nimeona wanafunzi wa chuo kikuu wanagoma kwa siku ya kwanza na kuletewa FFU, na fFU inaanza kufyatua mabomu na kukamata watu!!Nimehuzunika sana kuona hizi picha
Ni katika serikali ya kichwa nazi chenye PhD kadhaa peke yake nimeona hii!!