UDOM kuandamana kwenda Bungeni

IS IT RIGHT

  • WHY

    Votes: 1 100.0%
  • WHAT TO DO

    Votes: 1 100.0%

  • Total voters
    1
Nna wasiwasi na uwezo wako wa kufiria!..
uwezo wangu wa kufikiri unapoanzia ndio wako unapoishia. Mnagoma goma kipumbavu na migomo isiyo na impact yoyote. wenzenu UDSM wakigoma wanagoma kwa hoja then impact ya migomo yao huwa ni kubwa na yenye tija kwa wanavyuo wote, nyie mnagoma upuuzi, eti MNATAKA KUONANA NA WAZIRI MKUU, NON SENSE!
 
Serikali ya wanafunzi ya chuo kikuu cha dodoma imeridhia wanafunzi kuandamana kesho kuelekea bungeni kwa ajili ya kupinga hatua ya kunyimwa kwa mara nyingine fursa ya kufanya mafunzo kwa vitendo (Field) katika likizo inayotarajia kuanza soon.
ikumbukwe kwamba kuliwahi kutokea mgomo wa aina hii na mawaziri watatu wakakodi ndege hadi dodoma kwa ajili ya kusuluhisha, na kuahidi kuwa kuanzia sasa wale ambao walikuwa hawaendi field wataanza kwenda mwaka huu. lakini sasa muda umekaribia na uongozi wa chuo umewatangazia tena kwamba hakuna field. Sasa ndipo uongozi wa serikali umeamua wanafunzi wafanye maandamano kwenda bungeni kudai haki yao na kulalamika serikali kuwapa ahadi ya uongo.

This is typical of democracy,which is infact a combination of two words, demon and crasia.Crasia in Latin means rule or authority.So democracy means rule or authority of demons.Remember that the God of Jacob is authoritarian.The pretended rule by the people,the so called democracy is hipocricy of the devil!
 
kwani wakiwa dom isue za kielimu huwa wanaziriport bungeni? na nihatua gani viongozi wao walisha zifanya za kuonana na waziri kiasi kwamba waende bungeni.

Field hata wakienda huwa waliowengi wala haziwasaidii ila tu wanajitakia pesa. Mimi ofisini kwangu aliwahi kuja mwanafunzi wa field nikamuuliza huko chuoni kwao ni mambo gani wanataka afundishwe ktk kipindi chake cha field akashindwa kujibu, toka siku hiyo nikagundua hii nyanja nayo inatakiwa ifanyiwe kazi, kwani bado ni kiini macho kinachopelekea upotevu mkubwa wa pesa.
Mwanafunzi anachukua pesa za field na huko field haendi na hata akienda hakuna anachojifunza.
Kwa mfano kozi zingine ni za kifedha ivi ni kampuni gani utaenda kufanya field waweze kukuruhusu kuingia kwenye system zao hali ya kuwa wewe si muajiliwa?

Napatwa na wasiwasi kama unaelewa unachokiongea! Au pengine ni elimu yako ndogo kuliko huyo uliyeletewa umfundishe.... Inawezekana hata wewe hujui unachokifanya ofisini kwako ndo maana ukataka kujulishwa cha kumfundisha huyo mwanafunzi. Au pia yawezekana huelewi maana ya Field practical.... Kwa kifupi, ni mafunzo ya kazi kwa vitendo hivyo ulitakiwa umwonyeshe na umfundishe unachokifanya wewe kila siku unapokuja ofisini kwako ili nae atakapomaliza chuo akafanye hivyo mahali atakapoajiriwa! Ni wazi kuwa mwanafunzi anapoletwa ofisini kwako kwa mafunzo ujue anasomea fani inayohusiana na kazi za ofisi yako. Kama hujui cha kumfundisha basi ni wazi kuwa hujui wajibu wako! Tafadhali kama inawezekana jiondoe mapema kabla hujaondolewa....... Unaona uchungu akipewa hizo hela za Field mbona huoni uchungu kwa mshahara wa bure unaolipwa wakati hujui unachokifanya ofisini kwako?????
 
Kama una elimu ya chuo kikuu sidhani kama uliipata kwenye vyuo vyetu vya tanzania.
Nimesoma UDSM 4 years, nimegoma sana bt niligoma kwa hoja na nilifanikiwa. UDOM toka muanze migomo yenu mnayotofautiana kati ya college/school mmeishafanikisha upi?Wenzenu toka College of informatics and virtual science waligomea hili hili mwezi april mkawaacha wakafukuzwa wenyewe leo mnaleta hoja ya migomo yenu ya kipumbavu humu, sasa WAZIRI MKUU YUPO JAMIIFORUMS? Ooh tunaenda BUNGENI! Upuuzi, Wajinga ndio waliwao. Poleni sana!
 
uwezo wangu wa kufikiri unapoanzia ndio wako unapoishia. Mnagoma goma kipumbavu na migomo isiyo na impact yoyote. wenzenu UDSM wakigoma wanagoma kwa hoja then impact ya migomo yao huwa ni kubwa na yenye tija kwa wanavyuo wote, nyie mnagoma upuuzi, eti MNATAKA KUONANA NA WAZIRI MKUU, NON SENSE!

Mimi ni zao la UDSM..inawezekana unayosema kuhusu UDOM kuwa na migomo bila kuji organise ni ukweli kabisa...lakini hii isiwe sababu ya wewe kuchukulia hivyo kila hawa UDOM wanapokuwa na mgomo...Kuna mtu anaitwa Piere amechangia hii post,embu nenda kasome post yake kama bado hauoni sabau ya wao kugoma na hasa kuelekea Bungeni,lengo likiwa kuonana na Waziri Mkuu then utapost unachoona wanakosea...
 
Mijitu form six inafeli inakwenda chuo cha kata halafu inataka kupata privilidge kama vipanga wa UD. Leteni ugoko hizo MP wafanye mazoezi nyambaff
 
lengo si kwenda bungen mtoa maada lengo la wanafunzi ni kwenda kumuona bwa mkubwa pinda na mwenzake kawambwa ambao waliweka sahihi kwenye maazimio ya mnamo mwez desemba mwaka jana kuwa wanafunzi wote lazima waende field yaan mafunzo kwa vitendo. Hivyo wanaenda huko kumtaka mkubwa mizengo na mwenzake kawambwa kuthibitisha kwamba waliudanganya au la na kama walikuwa hawana hakika kwanin waliweka sahih katika maazimio waliyokubaliana. NB lengo c kuonana na wabunge naomba ileweke hivyo.
NIMEKUELEWA VYEMA MKUU, HAPO MPO SAWA KABISA but kuna wenzenu hawaelewi, wanapost upupu!
 
Hii mijitu mipuuzi sana eti nia ni kumuona waziri mkuu, kwanini wasiende wawakilishi wao tena Dodoma kuna ofisi ya waziri mkuu.
 
Napatwa na wasiwasi kama unaelewa unachokiongea! Au pengine ni elimu yako ndogo kuliko huyo uliyeletewa umfundishe.... Inawezekana hata wewe hujui unachokifanya ofisini kwako ndo maana ukataka kujulishwa cha kumfundisha huyo mwanafunzi. Au pia yawezekana huelewi maana ya Field practical.... Kwa kifupi, ni mafunzo ya kazi kwa vitendo hivyo ulitakiwa umwonyeshe na umfundishe unachokifanya wewe kila siku unapokuja ofisini kwako ili nae atakapomaliza chuo akafanye hivyo mahali atakapoajiriwa! Ni wazi kuwa mwanafunzi anapoletwa ofisini kwako kwa mafunzo ujue anasomea fani inayohusiana na kazi za ofisi yako. Kama hujui cha kumfundisha basi ni wazi kuwa hujui wajibu wako! Tafadhali kama inawezekana jiondoe mapema kabla hujaondolewa....... Unaona uchungu akipewa hizo hela za Field mbona huoni uchungu kwa mshahara wa bure unaolipwa wakati hujui unachokifanya ofisini kwako?????

Huyo Mr. Mak hafai hata kuwa mwalimu, iweje mwanafunzi aje kujifuna kwako then yeye ajue cha kufundishwa? kama anajua kulikuwa na haja gani ya mwanafunzi kwenda field? Mwalimu ndiye ambaye anatakiwa kuwafundisha wanafunzi walioenda kwake kujifunza na ndo anaweza kuwa na syllabus ya kazi anayoifanya ili kuwasaidia wanafunzi, na huyo hopely atakuwa gamba tu.
 
Mgomo una mgawanyiko sana wapo wanaenda field na wengine hawaendi field kuna kozi hazina umhimu wa field!
 
Nimesoma UDSM 4 years, nimegoma sana bt niligoma kwa hoja na nilifanikiwa. UDOM toka muanze migomo yenu mnayotofautiana kati ya college/school mmeishafanikisha upi?Wenzenu toka College of informatics and virtual science waligomea hili hili mwezi april mkawaacha wakafukuzwa wenyewe leo mnaleta hoja ya migomo yenu ya kipumbavu humu, sasa WAZIRI MKUU YUPO JAMIIFORUMS? Ooh tunaenda BUNGENI! Upuuzi, Wajinga ndio waliwao. Poleni sana!
Good!wape ukweli,success ya migomo ya chuo huwa inataka umoja,udsm migomo ilikuwa inaeleweka na hata impact zake znaonekana hadi sasa..fanyeni UE mrudi kwenu tu.
 
lengo si kwenda bungen mtoa maada lengo la wanafunzi ni kwenda kumuona bwa mkubwa pinda na mwenzake kawambwa ambao waliweka sahihi kwenye maazimio ya mnamo mwez desemba mwaka jana kuwa wanafunzi wote lazima waende field yaan mafunzo kwa vitendo. Hivyo wanaenda huko kumtaka mkubwa mizengo na mwenzake kawambwa kuthibitisha kwamba waliudanganya au la na kama walikuwa hawana hakika kwanin waliweka sahih katika maazimio waliyokubaliana. NB lengo c kuonana na wabunge naomba ileweke hivyo.
Kama waliweka Sahihi huo ni Mkataba wangewapeleka hawa Vihiyo Mahakamani moja kwa moja.
 
Niliongea na Dr. Mmoja wa Udom ni kiongozi pale,nikamuuliza kuhusu hili suala la field,alichonijibu ni kuwa,wao kama Udom ktk mtaala wao wameona ni sawa hizo shahada ziwe hivyo,na ktk Prospectus ya udom wameainisha na kila mwombaji anasoma na akiridhika anaomba,sasa wanashangaa leo huyo mwanachuo adai field,udsm ni tofauti na Saut,udom au hata mzumbe,kila chuo kinatoa shahada yake,na ndio sabb wakati wa graduation wanasema'kwa mamlaka niliyopewa na kutunuku shahada ya ? Ya chuo kikuu cha Dodoma,'so kumbe kila chuo kina shahada yake.msijifananishe na chuo kingne.
 
Miaka 4 is nothing, umeongea mapumba mjomba.Wenzako miez 2 wanafanya mambo ya msingi. Ninamashaka hata ktk malez ya watoto wako.
 
Maandamano yanatarajia kuanza saa kumi alfajiri kesho jumatatu kuanzia jengo la utawala UDOM kuelekea viwanja vya bunge mjini Dodoma. Wanafunzi wanaombwa wajitokeze kwa wingi na wasihofie lolote kwani wanapigania haki yao na ni kwa ajili ya maisha yao na manufaa ya taifa zima. Maandamano haya ni ya amani, so Polisi tafadhali, tafadhali, tafadhali jamani, ohoooooo!!!!!
 
Back
Top Bottom