King junior
Member
- Apr 8, 2011
- 63
- 12
hawa ndio inasemekana ndio waanzilishi wa mgomo, kama umeiona lists hata rais wao yupo na ndio wa kwanza. Hali ni tete, wamekutana saa mbili usiku kulijadili suala hilo la kufukuzwa wenzao.walifanya nini hadi wakafutwa wao peke yao na si wote..?!!