bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Serikali ya wanafunzi ya chuo kikuu cha dodoma imeridhia wanafunzi kuandamana kesho kuelekea bungeni kwa ajili ya kupinga hatua ya kunyimwa kwa mara nyingine fursa ya kufanya mafunzo kwa vitendo (Field) katika likizo inayotarajia kuanza soon.
ikumbukwe kwamba kuliwahi kutokea mgomo wa aina hii na mawaziri watatu wakakodi ndege hadi dodoma kwa ajili ya kusuluhisha, na kuahidi kuwa kuanzia sasa wale ambao walikuwa hawaendi field wataanza kwenda mwaka huu. lakini sasa muda umekaribia na uongozi wa chuo umewatangazia tena kwamba hakuna field. Sasa ndipo uongozi wa serikali umeamua wanafunzi wafanye maandamano kwenda bungeni kudai haki yao na kulalamika serikali kuwapa ahadi ya uongo.
ikumbukwe kwamba kuliwahi kutokea mgomo wa aina hii na mawaziri watatu wakakodi ndege hadi dodoma kwa ajili ya kusuluhisha, na kuahidi kuwa kuanzia sasa wale ambao walikuwa hawaendi field wataanza kwenda mwaka huu. lakini sasa muda umekaribia na uongozi wa chuo umewatangazia tena kwamba hakuna field. Sasa ndipo uongozi wa serikali umeamua wanafunzi wafanye maandamano kwenda bungeni kudai haki yao na kulalamika serikali kuwapa ahadi ya uongo.