LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Huyo Sheikh ubongo wake ni wa makamasi? Anadai waislamu wasiichague cdm, kwa maana hiyo wangeichagua cuf au ccm! Kisha anadai kuwa Wakristo ni makafiri, akasahau kuwa Wagombea wa cuf na ccm ni Wakristo! Kwa maana hiyo Waislamu wachague UPDP kwa kuwa mgombea ni mwislamu! Shame on Shekh!