Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Earthmover

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
22,795
20,040
Leo Babati Mjini.

Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Mhe. Tundu Lissu kuanzia leo Oktoba 18, 2020 ataanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Chanzo: BAVICHA TAIFA

1603030323844.png


1603028168887.jpeg


Asanteni Babati

Tukutane 3010 kujipongeza...



Chadema haitanii ndivyo tunavyoweza kusema.Kama Kuna aliyedhani Tundu Lissu anabeep alikosea Sana.

Zikiwa zimebaki siku 10 kupiga Kura Chadema imezidi kushangaza wapinzani wake.

Mgombea wake wa Urais Tundu Lissu ameanza Rasmi Leo kutumia Chopa ili aweze kufika katika maeneo yote yakiyobaki yenye idadi kubwa kwa wapiga kura.

Kwa mujibu wa tafiti kadhaa mgombea wa Chadema Tundu Lissu anatarajiwa kupata ushindi wa zaidi ya asilimia 60%

Tundu Lissu amepata ufuasi mkubwa kutoka kwa Wafanyakazi na Wafanyabiashara.Wafanyakazi wakiwa wanalaani sheria Kandamizi na Haramu iliyopitishwa na serikali ya CCM kwamba anapoacha kazi ya kuajiriwa mtu hata Kama ana miaka 30 ni sharti asubiri afikishe miaka 60 ndipo apate haki yake ya mafao.

Kuhusu wafanyabiashara wengi wanalaani Kodi kubwa na wafanyabiashara ndogondogo kuuziwa vitambulisho vya elfu 20.

Lissu ameapa akiingia madarakani atafutilia mbali sheria zote Haramu na Kandamizi kwa wananchi
View attachment 1604134View attachment 1604135View attachment 1604136
 
1)kapigana na Jiwe vita vya ardhini Jiwe amejitoa vitani hatmaye katangaza hataenda kwa walima korosho, mashambulizi ya Lissu ktk vita vya ardhini yameacha hekaheka na taharuki kubwa huko CCM.

2.Lissu kapigana vita vya majini kukishambulia kisiwa cha ukerewe na viunga vyake , kwa kutumia mtumbwi(dhow) baada ya Adui kublock kivuko, Lissu mpiganaji asiyechoka alijitosa mazimazima kuishambulia Nansio kwa mtumbwi na kuacha hekaheka kubwa CCM.

3: Baada ya kampeni za Leo Babati Fied marshal Tundu Antiphas Mghwai Lissu ataanza mashambulizi kutokea Angani na maeneo yaliyokusudiwa(Targeted areas ni Tanga, pemba, Unguja, kanda ya nyasa, mtwara, Arusha, karatu, na mengine mengi, maadui zake wanaonekana kulemewa ktk vita hivi kwani mpiganaji wao indaiwa yuko Garage akimwaga Oil na kuweka Lubricant mpya ktk tyre.


Freedom is coming,Let us move together on 28/10/2020.

vote for Chadema, ACT, vote for president Tundu Antiphas Mghawi Lissu.
20201008_215322.jpg
 
Wakuu, jana niliumiza kichwa sana ni jinsi gani kesho tarehe 19 octoba Lissu ataweza kufanya mikutano sita kwa siku hiyo moja kuanzia Manyara mpaka Moshi mjini kisha aende Pemba.
Jibu hili hapa. Sasa ni rasmi kamanda anaanza safari ya Chopa. Tukutane angani.

Kwa takribani siku tisa zijazo Tundu Lissu kwa kutumia Chopa ametangaza rasmi kuwa atafanya mikutano 450. Kila lakheri mbeba maono!
20201018_165207.jpg
20201018_165213.jpg


20201018_170632.jpg
 
Hatimaye Chadema wamefuata nyayo za CCM na sasa wamekodi chopa itakayotumiwa na Tundu Lisu.

Wajumbe wengine wa timu ya kampeni wataendelea kutumia usafiri wa magari wakiwemo akina shehe Ponda.
Ikumbukwe zimebakia siku 10 tu kabla ya siku ya uchaguzi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakuu, jana niliumiza kichwa sana ni jinsi gani kesho tarehe 19 octoba Lissu ataweza kufanya mikutano sita kwa siku hiyo moja kuanzia Manyara mpaka Moshi mjini kisha aende Pemba.
Jibu hili hapa. Sasa ni rasmi kamanda anaanza safari ya Chopa. Tukutane angani.

Kwa takribani siku tisa zijazo Tundu Lissu kwa kutumia Chopa ametangaza rasmi kuwa atafanya mikutano 450. Kila lakheri mbeba maono!
View attachment 1604099View attachment 1604100

View attachment 1604105
Kwa siku 9, Mikutano 450

Hiyo ni mikutano 50 kwa siku

Sijui hii ni sawa na na sekunde ngapi kwa kila mkutano😁😁😁😁😁
 
Chadema haitanii ndivyo tunavyoweza kusema.Kama Kuna aliyedhani Tundu Lissu anabeep alikosea Sana.

Zikiwa zimebaki siku 10 kupiga Kura Chadema imezidi kushangaza wapinzani wake.

Mgombea wake wa Urais Tundu Lissu ameanza Rasmi Leo kutumia Chopa ili aweze kufika katika maeneo yote yakiyobaki yenye idadi kubwa kwa wapiga kura.

Kwa mujibu wa tafiti kadhaa mgombea wa Chadema Tundu Lissu anatarajiwa kupata ushindi wa zaidi ya asilimia 60%

Tundu Lissu amepata ufuasi mkubwa kutoka kwa Wafanyakazi na Wafanyabiashara.Wafanyakazi wakiwa wanalaani sheria Kandamizi na Haramu iliyopitishwa na serikali ya CCM kwamba anapoacha kazi ya kuajiriwa mtu hata Kama ana miaka 30 ni sharti asubiri afikishe miaka 60 ndipo apate haki yake ya mafao.

Kuhusu wafanyabiashara wengi wanalaani Kodi kubwa na wafanyabiashara ndogondogo kuuziwa vitambulisho vya elfu 20.

Lissu ameapa akiingia madarakani atafutilia mbali sheria zote Haramu na Kandamizi kwa wananchi
IMG-20201018-WA0092.jpg
IMG-20201018-WA0091.jpg
IMG-20201018-WA0089.jpg
 
Back
Top Bottom