Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Uku cc Mwanza 2liyaona toka kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana pamoja na magazeti yote yaliyokuwa yakitoa habari za Babu wa Loliondo walikuwa wakiyatoa copy hayo magazeti kisha chini wakiandika kwa Markpen ''WAISLAM KATAENI HUYO BABU''' kuhusu uchaguzi walisema ''WAISLAM KUWA MAKINI NA MWANAHALISI NA HAO CHADEMA''hayo kwao co mageni.