Tunaomba ccm ife kivyake isife na Tanzania yetu.Kwani vyama vitapita lkn Tanzania itabaki.Hivi itakuwaje kama viongozi wa kikristo nao wakitoa muongozo wa kupiga kura kwa waumini wao? Kila mpenda umoja na amani anatakiwa aiche ccm ife kibudu mwisho wake umewadia!