mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 548
- 128
"ni heri kufa ukiwa umesimama kwa kutetea haki kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti kwa kubembeleza vyeo"
hakika ya Dr Slaa ni mshari asiyependa amani itawale Arusha.
Hakika Dr Slaa ni balaa kubwa kwa mustakabali wa amani na maendeleo ya Arusha mjini. Hakika watu kama hawa hawastahki hata kidogo kupewa madaraka ya aina yoyote huko nchini kwenu.
slaa ni mnafiki sana kiasi hiki, mleteni yeye tu 2015 mpate kichapo alipokuwa anasema eti atawafukuza cdm mbona kimya hadi sasa leo anaanza blah blah nyiingi wajiuzulu, kujiuzulu ni hiari ya mtu, kwa hiyo wameshindw kuwafukuza na wameamua kutuzuga kuwa wameagiza wajiuzulu, utumbo mtupu, ili kesho aseme wamegoma.
na shibuda je mbona hamsemi nyie wanafiki sana mbowe slaa wanafiki wakubwa.......hampati urais kamwe.
vueni gambga basi
wewe sio mzima, wakakupime. Umeambiwa dr slaa anafanya maamuzi binafsi? Cdm sio sawa na magamba kama ulikuwa hujui
Madiwani wale waliozungua mlango wa nyuma wakafanya chaguzi ndio wanapaswa kujiuzuru!busara busara ni kitu adimu saana kwa viongozi wa chademasasa kusema madiwani wote wa chadema wajiuzulu,wanamkomoa nani?????sasa huku si ndo kumwaga mboga???????
Madiwani wale waliozungua mlango wa nyuma wakafanya chaguzi ndio wanapaswa kujiuzuru!
busara busara ni kitu adimu saana kwa viongozi wa chadema
sasa kusema madiwani wote wa chadema wajiuzulu,wanamkomoa nani?????
sasa huku si ndo kumwaga mboga???????
Nimeipenda sn hii kaka..!"ni heri kufa ukiwa umesimama kwa kutetea haki kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti kwa kubembeleza vyeo"
Umeibukia wapi? Mbona pendekezo kama hili hujalitoa kwa mapacha watatu mara mmoja wao alipojiuzulu?Kama kweli angewaambia wajiuzulu na Udiwani, anaogopa nini? kurudiwa kura?
CDM wameudumaza mji wa Arusha kibiashara saizi watu wanaukimbia kwa kuogopa fujo na vurungu za wahuni! Mimi mwenyewe nilikuwa na mpango kufungua biashara ya utalii lakini huu mgogoro umenifanya nisitishe kwanza. Ata watalii wamepungua sana wanaogopa kuvamiwa na wahuni wa CDM, Wamiliki wa mahoteli ya kitalii wanalia wateja hamna mbugani
Hivi barubaru ni nini? Kikwetu barubaru ni makalio ya nyani!Busara ya cdm imezidi ya magamba by far sidhani kama magamba walitegemea kitu kama hiki. Kama hawa madiwani watakaidi amri hii ndipo utakapojua kuwa cdm hailei wachumia tumbo kama magamba.hakika ya Dr Slaa ni mshari asiyependa amani itawale Arusha.Hakika Dr Slaa ni balaa kubwa kwa mustakabali wa amani na maendeleo ya Arusha mjini. Hakika watu kama hawa hawastahki hata kidogo kupewa madaraka ya aina yoyote huko nchini kwenu.