Nielimisheni kuhusu kesi ya Wanachama 19 wa CHADEMA

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
382
764
Hukumu ya wanachama 19 wa CHADEMA ilitolewa na Mhe. Jaji Mkeha kuhusu wanachama 19 wanaodaiwa kuwa walijipeleka Bungeni bila ridhaa ya Chama chao. Hukumu imetoka na kueleza kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA ilifuata taratibu zote kuhusu kuwafukuza.

Pili hukumu imetoka kuwa kulikuwa na dosari katika Baraza Kuu la CHADEMA. Hawakupaswa kuwemo katika Baraza Kuu wale wajumbe wa Kamati Kuu waliowapigia kura ya kuwafukuza na hivyo kuwapigia kura tena wakiwa kwenye Baraza Kuu.

Sasa swali, Ikiwa Mhe. Jaji anakubali kuwa uamuzi wa Kamatik Kuu ilikuwa ni halali, je hawa Wabunge 19 sasa wanatakiwa watoke Bungeni na kama ni rufaa wakate wakiwa nje ya Bunge au lile dosari iliyopo kwenye Baraza Kuu bado inawabeba bado kuendelea kuhudhuria Bungeni?

Nawasilisha.
 
Hukumu ya wanachama 19 wa CHADEMA ilitolewa na Mhe. Jaji Mkeha kuhusu wanachama 19 wanaodaiwa kuwa walijipeleka Bungeni bila ridhaa ya Chama chao. Hukumu imetoka na kueleza kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA ilifuata taratibu zote kuhusu kuwafukuza. Pili hukumu imetoka kuwa kulikuwa na dosari katika Baraza Kuu la CHADEMA. Hawakupaswa kuwemo katika Baraza Kuu wale wajumbe wa Kamati Kuu waliowapigia kura ya kuwafukuza na hivyo kuwapigia kura tena wakiwa kwenye Baraza Kuu. Sasa swali, Ikiwa Mhe. Jaji anakubali kuwa uamuzi wa Kamatik Kuu ilikuwa ni halali, Je hawa Wabunge 19 sasa wanatakiwa watoke Bungeni na kama ni rufaa wakate wakiwa nje ya Bunge au lile dosari iliyopo kwenye Baraza Kuu bado inawabeba bado kuendelea kuhudhuria Bungeni?. Nawasilisha.
Haya yote ni maigizo ya dola
 
Hukumu ya wanachama 19 wa CHADEMA ilitolewa na Mhe. Jaji Mkeha kuhusu wanachama 19 wanaodaiwa kuwa walijipeleka Bungeni bila ridhaa ya Chama chao. Hukumu imetoka na kueleza kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA ilifuata taratibu zote kuhusu kuwafukuza. Pili hukumu imetoka kuwa kulikuwa na dosari katika Baraza Kuu la CHADEMA. Hawakupaswa kuwemo katika Baraza Kuu wale wajumbe wa Kamati Kuu waliowapigia kura ya kuwafukuza na hivyo kuwapigia kura tena wakiwa kwenye Baraza Kuu. Sasa swali, Ikiwa Mhe. Jaji anakubali kuwa uamuzi wa Kamatik Kuu ilikuwa ni halali, Je hawa Wabunge 19 sasa wanatakiwa watoke Bungeni na kama ni rufaa wakate wakiwa nje ya Bunge au lile dosari iliyopo kwenye Baraza Kuu bado inawabeba bado kuendelea kuhudhuria Bungeni?. Nawasilisha.
Naongezea, lile la wa kuomba mahakama izuie utekelezaji wa kuwatimua uanachama, baada ya hukumu hali ipoje?
 
Mkuu hao ndugu hawatoki bungeni hapa ni zuga kwani tumebakiza muda mchache sana kuingia uchaguzi hivyo kitakacho fanyika busara zitatumika chama kitapewa billion of money na kuhaudiwa baadhi ya majimbo baada ya hapo kesi itaendeshwa kimzaha mzaha mpk uchaguzi na kina mdee watagombea kwa tiketi ya chadema Tena maisha yataendelea
 
Shida ya hii kesi ni kwamba serikali Ina upande wake. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Halafu ni kama Dola inatumia hii kesi kuiadhibu CHADEMA au lugha nyepesi kuikomoa.
 
Hukumu ya wanachama 19 wa CHADEMA ilitolewa na Mhe. Jaji Mkeha kuhusu wanachama 19 wanaodaiwa kuwa walijipeleka Bungeni bila ridhaa ya Chama chao. Hukumu imetoka na kueleza kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA ilifuata taratibu zote kuhusu kuwafukuza.

Pili hukumu imetoka kuwa kulikuwa na dosari katika Baraza Kuu la CHADEMA. Hawakupaswa kuwemo katika Baraza Kuu wale wajumbe wa Kamati Kuu waliowapigia kura ya kuwafukuza na hivyo kuwapigia kura tena wakiwa kwenye Baraza Kuu.

Sasa swali, Ikiwa Mhe. Jaji anakubali kuwa uamuzi wa Kamatik Kuu ilikuwa ni halali, je hawa Wabunge 19 sasa wanatakiwa watoke Bungeni na kama ni rufaa wakate wakiwa nje ya Bunge au lile dosari iliyopo kwenye Baraza Kuu bado inawabeba bado kuendelea kuhudhuria Bungeni?

Nawasilisha.
Kwanza hizo Dosari Muheshimiwa Judge yeye kazitowa wapi!? Kama kazitoa kwenye Katiba ya CDM yuko sawa,lakini kama kajiamulia tu,hapo bado pagumu!!
 
Hukumu ya wanachama 19 wa CHADEMA ilitolewa na Mhe. Jaji Mkeha kuhusu wanachama 19 wanaodaiwa kuwa walijipeleka Bungeni bila ridhaa ya Chama chao. Hukumu imetoka na kueleza kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA ilifuata taratibu zote kuhusu kuwafukuza.

Pili hukumu imetoka kuwa kulikuwa na dosari katika Baraza Kuu la CHADEMA. Hawakupaswa kuwemo katika Baraza Kuu wale wajumbe wa Kamati Kuu waliowapigia kura ya kuwafukuza na hivyo kuwapigia kura tena wakiwa kwenye Baraza Kuu.

Sasa swali, Ikiwa Mhe. Jaji anakubali kuwa uamuzi wa Kamatik Kuu ilikuwa ni halali, je hawa Wabunge 19 sasa wanatakiwa watoke Bungeni na kama ni rufaa wakate wakiwa nje ya Bunge au lile dosari iliyopo kwenye Baraza Kuu bado inawabeba bado kuendelea kuhudhuria Bungeni?

Nawasilisha.
 
Lissu alichukia baada ya mkewe na mchepuko wake kuachwa kwenye uteuzi, akawaundia fitna
 
Jisomee uamuzi wenyewe badala ya kuandikia mate
 

Attachments

  • In the Matter of an Application for Orders of Certiorali Mandamus and Prohibition by Halima Ja...pdf
    2.4 MB · Views: 5
Naongezea, lile la wa kuomba mahakama izuie utekelezaji wa kuwatimua uanachama, baada ya hukumu hali ipoje?
Mkuu hao ndugu hawatoki bungeni hapa ni zuga kwani tumebakiza muda mchache sana kuingia uchaguzi hivyo kitakacho fanyika busara zitatumika chama kitapewa billion of money na kuhaudiwa baadhi ya majimbo baada ya hapo kesi itaendeshwa kimzaha mzaha mpk uchaguzi na kina mdee watagombea kwa tiketi ya chadema Tena maisha yataendelea

Wewe usipotoshe. Mahakama imekubali kuwa wale sio wanachama wa CHADEMA. Shida ipo wapi?
 
Back
Top Bottom