Uamuzi wa kamati kuu ya chadema kuhusu madiwani wake Arusha

slaa ni mnafiki sana kiasi hiki, mleteni yeye tu 2015 mpate kichapo alipokuwa anasema eti atawafukuza cdm mbona kimya hadi sasa leo anaanza blah blah nyiingi wajiuzulu, kujiuzulu ni hiari ya mtu, kwa hiyo wameshindw kuwafukuza na wameamua kutuzuga kuwa wameagiza wajiuzulu, utumbo mtupu, ili kesho aseme wamegoma.
na shibuda je mbona hamsemi nyie wanafiki sana mbowe slaa wanafiki wakubwa.......hampati urais kamwe.

vueni gambga basi
 
Kupitia taarifa ya habari tbc saa kumi, Dr. Slaa ametoa tamko kuhusu sakata la umeya Arusha.Ametoa tamko kuwa Naibu meya ajiuzulu mara moja katika nafasi yake ya unaibu meya, pamoja na madiwani wote wa chadema walioteuliwa/kuchaguliwa kuongoza baadhi ya kamati wajiuzulu nafasi hizo, wabaki na udiwani peke yake.my take: CC ya chadema hawakutaka kabisa kugawana vyeo, jambo ambalo lingefanya kukosa changamoto za upinzani ndani ya baraza la madiwani Arusha. kusingekuwa na tofauti na ccm na cuf zanzibar.hata hivyo naona busara zimetumika, maana vinginevyo ilikuwa ni kuwapiga chini wote ngoma inaanza upya.
Na kuhusu gamba Shibuda waliamua je? Kama hawawezi kumwajibisha watukabidhi people's dynamics(power).
 
Naona CHADEMA wameamua kumprove wrong Nape, aliyetangaza kwamba njaa za CHADEMA ndo zimesababisha waungane huko Arusha. Aluta continua CHADEMA.
 
Kupitia taarifa ya habari tbc saa kumi, Dr. Slaa ametoa tamko kuhusu sakata la umeya Arusha.
Ametoa tamko kuwa Naibu meya ajiuzulu mara moja katika nafasi yake ya unaibu meya, pamoja na madiwani wote wa chadema walioteuliwa/kuchaguliwa kuongoza baadhi ya kamati wajiuzulu nafasi hizo, wabaki na udiwani peke yake.

my take: CC ya chadema hawakutaka kabisa kugawana vyeo, jambo ambalo lingefanya kukosa changamoto za upinzani ndani ya baraza la madiwani Arusha. kusingekuwa na tofauti na ccm na cuf zanzibar.

hata hivyo naona busara zimetumika, maana vinginevyo ilikuwa ni kuwapiga chini wote ngoma inaanza upya.

Kwa hili kamati kuu ya magwanda walilofanya ina maana kuna haya :
1. Wamekubali kuwaachia CCM watawale wao , na wao wabakie watazamaji tu . Hii ina maana wanamuachia mwenye haki aendelee kuongoza
2. Yaonyesha kuwa madiwani wa Magwanda walikuwa wako sawa kwenye muafaka wao, kwani ndio maana hawakufukuzwa, ila wao viongozi wa juu wamewapotosha na kujikomba sasa kwa kuwaambia waachie ngazi
3. Jiji la Arusha sasa litakuwa na raha mustarehe, na suala la mazungumzo halipo tena
 
Kamati kuu ya cdm imewataka madiwani wake waliochaguliwa kushika nyadhifa kwenye kamati mbalimbali za halmashauri ya jiji akiwemo nafasi ya unaibu meya kujiuzulu mara moja. Kamati ilibaini muafaka uliokuwa umefikiwa na madiwani hao haukufuata taratibu, katiba na haukuwa na baraka za chama.
Tatizo kubwa linalowasumbua Viongozi wetu ni kutokujali amani tuliyonayo,viongozi hawataki demokrasia kwa kada za chini,haiwezekani madiwani waamue kuafikiana na wkuwatumikia wananchi,Kamati kuu ya Chadema itengue,Hata huyo mbunge tunaambiwa hakupitishwa na vikao vya mkoa bali ni uamuzi wa mtu mmoja,Bado hatuna chama mbadala kwa wakati huu.Kidumu chama cha Mapinduzi
 
big up kwa uamuzi mzuri balaaaaaaaaa maaana Arusha Chedema tungeiita CCM B kama Kafu. Cha msingi sio madaraka tunachotaka maendeleo. kuna mwingine sijui nanai hapo juu anasema et Dr haitakii mema Arusha. sijajua kama anachokiongea kinatoka akilini kweli
 
slaa ni mnafiki sana kiasi hiki, mleteni yeye tu 2015 mpate kichapo alipokuwa anasema eti atawafukuza cdm mbona kimya hadi sasa leo anaanza blah blah nyiingi wajiuzulu, kujiuzulu ni hiari ya mtu, kwa hiyo wameshindw kuwafukuza na wameamua kutuzuga kuwa wameagiza wajiuzulu, utumbo mtupu, ili kesho aseme wamegoma.na shibuda je mbona hamsemi nyie wanafiki sana mbowe slaa wanafiki wakubwa.......hampati urais kamwe.vueni gambga basi
unamaono ya mapepo unahitaji maombi njoo uombewe Cdm!
 
Wewe sio mzima, wakakupime. Umeambiwa Dr Slaa anafanya maamuzi binafsi? CDM sio sawa na magamba kama ulikuwa hujui
slaa ni mnafiki sana kiasi hiki, mleteni yeye tu 2015 mpate kichapo alipokuwa anasema eti atawafukuza cdm mbona kimya hadi sasa leo anaanza blah blah nyiingi wajiuzulu, kujiuzulu ni hiari ya mtu, kwa hiyo wameshindw kuwafukuza na wameamua kutuzuga kuwa wameagiza wajiuzulu, utumbo mtupu, ili kesho aseme wamegoma.na shibuda je mbona hamsemi nyie wanafiki sana mbowe slaa wanafiki wakubwa.......hampati urais kamwe.vueni gambga basi
 
hakika ya Dr Slaa ni mshari asiyependa amani itawale Arusha.Hakika Dr Slaa ni balaa kubwa kwa mustakabali wa amani na maendeleo ya Arusha mjini. Hakika watu kama hawa hawastahki hata kidogo kupewa madaraka ya aina yoyote huko nchini kwenu.
shari ipo kwa ccm-jk, msaidie kutuambi umeme tunapataje? kutunyima umeme ni zaidi ya kutukatakata kwa panga!!!! mnatia aibu na vibarua vya kutetea misukule, tunataka umeme!!
 
Mzee wa Busara naheshimu busara zako lakini pia ningetegemea mchango ulioweka mbele maslahi na mtazamo wa Tanzania tuitakayo miaka michache ijayo. Binafsi siegemei upande wowote katika siasa za Arusha ila kama mwenyeji wa Arusha pia ningependa haki itendeke na si kuburuzwa na wachache kwa maslahi yao. Tumeona leo matunda ya kuburuzwa, tunayoshuhudia DODOMA jioni hii ni siasa za kufunika hata pale ambapo hapafai. Naheshimu maamuzi ya CC ya CHADEMA na kwa sababu ndo kilichopewa mamlaka inabidi iwe hivyo na yeyote mwenye maono na aliyetanguliza maslahi ya wengi ataona hivyo la ni mambo yale yale. Kuhusu madiwani wa chadema hawana chaguo zaidi ya kuachia kama chama kilivyoamrisha na si vinginevyo. Kuhusu swala la Shibuda, nafikiri Dr. Slaa amesema siku nyingi na amerudia tena leo alipowasilisha taarifa ya CC kwamba kuna taratibu ndani ya chama na lazima zifuatwe. Kwamba swala la mbunge kuna kamati ya wabunge na kama wakishindwa watalifikisha kwao sasa bado hawajashindwa na kaweka wazi kanuni na sheria za chadema zilitungwa kabla hata ya Shibuna na si kwamba zililengwa kwaajili yake. Hakuna aliyejua kama angejiunga. In short tuwe objective kutokana na mazingira na si hisia zetu.
 
CHama ni ni chama makini sana na pia busara na hekma wanazitumia kwa hili na hasa kwa baraza la wazee
 
slaa ni mnafiki sana kiasi hiki, mleteni yeye tu 2015 mpate kichapo alipokuwa anasema eti atawafukuza cdm mbona kimya hadi sasa leo anaanza blah blah nyiingi wajiuzulu, kujiuzulu ni hiari ya mtu, kwa hiyo wameshindw kuwafukuza na wameamua kutuzuga kuwa wameagiza wajiuzulu, utumbo mtupu, ili kesho aseme wamegoma.
na shibuda je mbona hamsemi nyie wanafiki sana mbowe slaa wanafiki wakubwa.......hampati urais kamwe.

vueni gambga basi

Maamuzi yaliyotangazwa ni ya kamati,siyo yake
 
hakika ya dr slaa ni mshari asiyependa amani itawale arusha.

Hakika dr slaa ni balaa kubwa kwa mustakabali wa amani na maendeleo ya arusha mjini. Hakika watu kama hawa hawastahki hata kidogo kupewa madaraka ya aina yoyote huko nchini kwenu.
mbona unatuamulia mkuu wakati wewe si mwananchi au ndo ninyi alikaida
"No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."
Julius Kambarage Nyerere
 
busara busara ni kitu adimu saana kwa viongozi wa chadema

sasa kusema madiwani wote wa chadema wajiuzulu,wanamkomoa nani?????

sasa huku si ndo kumwaga mboga???????
 
wapenda vyeo utawajua tu? msimamo ni bora kuliko vyeo
wazungu walikuwa tayari kumpa mandela kitu chochote aache kupigania anachokiamini
lakini alikataa na leo hii dunia nzima inamuheshimu.
 
tatizo ni watu wanakimbilia kwenye posho na maslahi binafisi badala kujali wananchi kweli watu wameuawa hapo juzi
lakini kwa sababu ya malofa na njaaa zao wanakimbilia muhafaka wa kijinga wanapelekwa mbeya kwenda kujifunza sijui
huko mbeya nini hasa wanakwenda kujifunza ,yaani hao kweli ndiyo wanademokrasia bila shaka hao ni kama kaka yao
john shibuda
 
Back
Top Bottom