Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,595
- 7,871
Unachoshindwa kuelewa ni ahadi iliyotolewa ya kuwafukuza uanachama pindi itapojulikana kuwa walikula dili na CCM.Je,walikula dili na CCM?Hivi barubaru ni nini? Kikwetu barubaru ni makalio ya nyani!Busara ya cdm imezidi ya magamba by far sidhani kama magamba walitegemea kitu kama hiki. Kama hawa madiwani watakaidi amri hii ndipo utakapojua kuwa cdm hailei wachumia tumbo kama magamba.